Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
- Thread starter
- #461
Huyu ni zaidi ya mchawi au nikati ya walio husika kufanya jaribu la kumuua mh lissu
In God we Trust
Mkuu ni vigumu sna mtu wmenye akili timamu kusoma aya zako hizi bila kukutukana ! kwa sababu yaekea wazazi wako walikusaidia sana hadi ukamaliza darasa la saba ...lakini Naona Elimu hiyo uliyojaliwa haijakusaida!
In God we Trust