Lofa wewe.
Mtanzania mwingine ninayemkumbuka kuhojiwa na BBC Hard Talk ni Lazaro Nyalandu...Magufuli na "kingeleza" chake cha kinanilii atakoma kwa wivuYule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame
View attachment 995391
In God we Trust
======
Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.
Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
Wewe ni adui namba 1 wa waafrika kwa kuwa una fikra za kitumwa.Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?
Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika vitu anavyokosea sana jiwe.ni roho ya uuaji na ukatili wa hali ya juu pia chuki dhidi ya walio na pesa.hajui kuwa watu wenye utajiri walikuepo duniani hats kabla ya Yesu kujaUnafikiri ni sawa na wewe jamvi la wageni?
In God we Trust
Wafanye jitihada za kuongeza wabunge na madiwani wakati kila siku mnahangaika kuwaua na kuwafunga?
Nchi ipo katika laana kwa sababu shetani na mawakala wake wanahangaika kutekeleza mapenzi ya shetani. Hakuna kiongozi mwenye roho ya Mungu anayeua watu wake, kuteka au kuwapoteza watu. Maombi yetu kwa Mungu yawe ni kuondokana na roho ya shetani kwa watawala wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna taarifa kwamba 85% ya viongozi wa awamu hii wakiwemo vijana kwa wazee wanaishi kwa ARVS , hivi ni kweli hii jamani ?Wajiombee wenyewe CD4 zisiwashuke.
Shudu ndio linaloendesha nchi hii kwa sasa,sasa moja ya lengo la Lissu ni Viongozi wa A5 wawekewe vikwazo Vya Shudu ili wakati wa kampeni wawe nanabebwa kwenye mifuko wa Rambo.Kuna taarifa kwamba 85% ya viongozi wa awamu hii wakiwemo vijana kwa wazee wanaishi kwa ARVS , hivi ni kweli hii jamani ?
Kila uzi wa Lissu unaingiza pua lako.
Mleta Uzi kasema Jumatatu ijayo,Jumatatu ijayo takuwa tarehe 21/1/2019.muda gani mzee!?
Jaribio la kununua Lissu is the most cowardly act ever committed on the soil of this country. Kama mwanahabari mmoja nguli alipata kuandika kuwa aliifanyia hivyo ni msaliti mkubwa kwa taifà hili. Binafsi naamini kuna siku atajulikana.
Lofa wewe.
Kuna taarifa kwamba 85% ya viongozi wa awamu hii wakiwemo vijana kwa wazee wanaishi kwa ARVS , hivi ni kweli hii jamani ?
huna hata aibu wewe kima muuaji?Lofa wewe.
Kwenda zako huko.huna hata aibu wewe kima muuaji?
mmevunja wenyewe na unatamani umuone na magongo ufurahi sio!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lofa mkubwa wewe bavichaa.