imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Kumkashifu lissu unaona fahari.Halafu ukijibiwa unaanza kulia lia kwa Mods.
Kumkashifu lissu unaona fahari.Halafu ukijibiwa unaanza kulia lia kwa Mods.
Kama CCM iliweza kukwepa vikwazo kwenye mauaji ya ZnZ ile mwaka 2000 na Kupita uchaguzi wa ZnZ 2015 kibabe vile. Basi mfahamu hii strategy haitafanya kazi hadi mjue waliweza vipi kuwatuliza hao wazungu.Yule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame
View attachment 995391
In God we Trust
======
Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.
Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
Kumkashifu kivipi?Kumkashifu lissu unaona fahari.
Muhutu to be precisse!Huyo jamaa ni mnyarwanda
In God we Trust
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
Kama CCM iliweza kukwepa vikwazo kwenye mauaji ya ZnZ ile mwaka 2000 na Kupita uchaguzi wa ZnZ 2015 kibabe vile. Basi mfahamu hii strategy haitafanya kazi hadi mjue waliweza vipi kuwatuliza hao wazungu.
Kila uzi wa Lissu unaingiza pua lako.Kumkashifu kivipi?
hahahahahaa hatari kaka mkubwa!Yaani leo hii wasiyo julikana wanaona mwanzo wao wa kujulikana ndiyo unakaribia
In God we Trust

Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...






Mkuu ninao uhakika hujaelewa kinacho zungumzwa.Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?
Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂 amekuwa Too much!
#My God Iz Awesome![]()
Kwani huyo lisu wako ameacha kutembea na magongo?Kila uzi wa Lissu unaingiza pua lako.
Chumbani Kwa Bi. Mkubwa Wako.Magongo kayaficha wapi sasa?
Mkuu unataka kumu ambaruty mwenzio?? Sio vzr mkuu.Sasa ndio anaingia Ikulu,anipe amri nikutafute huku halafu nikupakae kilainishi.
Kama huna jibu funga domo lako.Chumbani Kwa Bi. Mkubwa Wako.