Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Mpashe huyo mramba viatu wa chakubanga
Kwani pure siku hizi zina maana. Kazi moja ambayo serikali ya awamu ya tano imefankiwa sana kuifanya ni kuwaaminisha Watanzania kuwa kura zao hazina maana. Inahitajika muujiza wa Mungu kuwafanya raia kupiga kura. Uchaguzi utakuwa unashirikisha tu mabalozi wa mashina ya ccm.

In God we Trust
 
Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?

Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vizuri tukajadili issues badala ya watu!! Uwanja wa chato mbona hushangai tena kwa fedha za umma!! Hacha unafiki k ww!!!!
 
Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?

Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa fair !! Hacha ujinga!!! Uwanja wa kimataifa chato???
 
Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?

Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe matter-core kweli,kila siku unalalamika kuwa "Chadema hawana ofisi" leo hii wameanza kwa kujenga ofisi ndogo kwenye jimbo umeamua kuharisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ndyo mambo ya ccm!
tapatalk_1546149925693.jpeg
tapatalk_1545834318963.jpeg
tapatalk_1547284369477.jpeg
tapatalk_1545924939249.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ana kifua kipana sana hata katikati ya mateso aliyopitia aliweza kutabasamu kuwatia watu moyo ...

Lingekuwa lile dubwana ndio limekula mvua za risasi kama Lisu sijui na jisura lake lile kama angeweza tabasamu

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyalandu alisimulia hilo tabasamu alipomtembelea kwa Mara ya Kwanzaa mini Nairobi. Hivyo ndiyo alivyoumbwa. Nadhani bilo tabasamu ndilo lililomvusa Nyalandu na kuamua kujitenga na mshikamano katika uovu.
 
Back
Top Bottom