Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
Pepo lako ni berzebul mkuu wa mashetani wewe, nakutabilia kupigwa lisasi na wewe kabla hujaiona mauti ili uonje utamu wa uovu!
 
Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?

Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Sita enzi za uhai wake pia alijenga ofisi kubwa ya mbunge jimboni kwake
 
Mwenyezi Mungu aliyemnusuru na kifo cha dhahiri amuongoze katika safari yake ya kurejea katika hai yake ya kawaida. Tunamshukuru Mungu kuwa hakuna risasi iliyopenya kwenye kichwa chake na kuathiri ubongo wake.
 
Unateseka??


Siteseki nawaonea imani mnavyohangaika kuuza bidhaa isiyouzika, I mean labda hiyo nguvu mngeiwekeza hapa nyumbani ingewaongezea hata idadi ya Wabunge/ Madiwani, huyo Tundu Lisu atafilisi tu lkn hatoleta jipya!
 
Nawaona manguli wa Idhaa ya Kiswahili walivyo na furaha isiyo na kifani
 
Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?

Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Wauwaji wanaumbuka Hahahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...

Umbumbumbu unakutesa, Hard talk ina global audience, sema Stephen Sucker hawezi kumuhoji mtu anayesema kingereza bomu eti "interprenyuta" mfyuu!
 
Back
Top Bottom