Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
Mungu mkubwa lie kufika studio akina na pumping ni jambo la kusema Haleluya Magufuli hivi amewahi hata kuitajika kwa interview na BBC
 
Haijawahi kutokea kiumbe anayejiamini na jasili kama mh lissu
Bila kumung'unya maneno huyu mtu ni jasiri. Tena jasiri kweli kweli kuliko huyu anaeogopa hata maandamano au mijadala Ila ni bingwa wa kupiga mikwala akiwa kwenye TV.
Hivi ni mtanzania gn mwingine angepigwa lisasi mchana kweupe hata 2 tu angesimama tena jukwaani au kurudi tz?

In God we Trust
 
asisahau kwenda CNN,aljazeera,deutchwere,France 24,Birmingham news,na viclip kibao YouTube atakuwa kama bazooka baada ya hapo maisha mengine yataendelea. bila tabu pia asisahau wampe na pa kuishi kama yule Dada wa kiarabu ili tuinjoi story zake tokea huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ataenda kama maisha yataendelea sawa lakini angalau Magufuli amekuwa kwamba si Mungu hawezi kuamua kifo cha Mtu kama Mungu hajapenda
 
Nimefurahi amepona, ili ajionee namna Watanzania wanavyojiletea maendeleo ya kueleweka kupitia serikali ya nchi yao Tanzania, ingawa yeye( Lissu) alitaka watanzania hawa hawa wawekewe vikwazo vya kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia na kila mahali Tanzania itengwe. Hasa hili ndilo lilikuwa ombi langu kuwa apone aje aone kuwa watanzania tuna uwezo wa kuendesha mambo yetu bila kuingiliwa na wennyeghiliba anaowatetemekea yeye. Asante Mungu kwa kumponya Lissu.
 
Mwongo mkubwa wewe, angekuwa na pesa angepanga NHC ?
Hahahaha jamaa fukara hana hata pesa za kumlipa wakili wake ana tembeza bakuli!
Hahahaha chadrama ovyo kabisa walahi
Utoto wa bashite bwana hushangazi kabisa tangu ujuwe kutumia choo unangebe kama nini
 
Kwani KFW walimaliza muda wao au waliamua kukimbia utawala wenu?
Nimefurahi amepona, ili ajionee namna Watanzania wanavyojiletea maendeleo ya kueleweka kupitia serikali ya nchi yao Tanzania, ingawa yeye( Lissu) alitaka watanzania hawa hawa wawekewe vikwazo vya kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia na kila mahali Tanzania itengwe. Hasa hili ndilo lilikuwa ombi langu kuwa apone aje aone kuwa watanzania tuna uwezo wa kuendesha mambo yetu bila kuingiliwa na wennyeghiliba anaowatetemekea yeye. Asante Mungu kwa kumponya Lissu.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom