Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
BBC Africa inasikika Afrika tu mkuu huko majuu watu hawana time na hizi news za Afrika ni malimbukeni tu wa huku ndio hufuatilia hizo news.Majuu watu wanaangalia tu ''utabiri wa hali ya hewa''kama leo kutakuwa na ice ,storm au barabara ina traffic jam n.k.Lissu anamjua tu huyo Kikeke,huyo dada na akina Kipanya
 
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
umemuona Mwamba huyooo
haya leteni Jiwe lenu
Screenshot_2019-01-15_191219.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
..mwacheni Lissu aeleze yaliyomkuta.

..mwanasiasa yeyote aliyepata matatizo kama ya Mh.Lissu lazima atatafutwa na vyombo mbalimbali vya habari ili wamhoji.

..wanaostahili lawama ni MAGAIDI waliomshambulia, na siyo Mh.Lissu anayeeleza mateso aliyopitia.
Siyo wanastahili lawama, wanastahili kupelekwa mbele ya mahakama wahukumiwe.
 
Chupi zimeanza kuwabana sasa
BBC Africa inasikika Afrika tu mkuu huko majuu watu hawana time na hizi news za Afrika ni malimbukeni tu wa huku ndio hufuatilia hizo news.Majuu watu wanaangalia tu ''utabiri wa hali ya hewa''kama leo kutakuwa na ice ,storm au barabara ina traffic jam n.k.Lissu anamjua tu huyo Kikeke,huyo dada na akina Kipanya

In God we Trust
 
Siyo wanastahili lawama, wanastahili kupelekwa mbele ya mahakama wahukumiwe.

..kweli.

..michango ya baadhi ya wachangiaji ni kana kwamba wamesahau kuwa Mh.Lissu ni mhanga wa shambulizi la KIGAIDI.

..inashangaza na kusikitisha jinsi baadhi ya wachangiaji wanavyomdhihaki.
 
Siteseki nawaonea imani mnavyohangaika kuuza bidhaa isiyouzika, I mean labda hiyo nguvu mngeiwekeza hapa nyumbani ingewaongezea hata idadi ya Wabunge/ Madiwani, huyo Tundu Lisu atafilisi tu lkn hatoleta jipya!
jiwe lazima nafsi imsute kila akiona huyu jamaa anapumua hakutarajia kuona akiwa hai,ndo maana anafeli kwa mambo mengi ni kwasababu ya damu ya huyu mzalendo wa kweli
 
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
 
Wasiompenda watazima TV zao maana Mungu kawaumbua mazima,mwenye record ya Lisu ya kitu chochote alichoanzisha huyu mh akashindwa atuwekee hapa kama kumbukumbu,nijuavyo Mimi kwa uelewa wangu hajawahi kushindwa hivyo hata wabaya wake wakatili kama mawe wameshindwa swali ni je nia yake ya kuwania kiti cha ukuu atashindwa?
Napata picha kuwa Mungu alimnusuru kifo katika mazingira Yale ili aje ampe madaraka muhimu baada ya "Sauli" kuharibu
 
Hao ndiyo walivyo lelewa na chama chao maana hawana hata chepe ya huruma
..kweli.

..michango ya baadhi ya wachangiaji ni kana kwamba wamesahau kuwa Mh.Lissu ni mhanga wa shambulizi la KIGAIDI.

..inashangaza na kusikitisha jinsi baadhi ya wachangiaji wanavyomdhihaki.

In God we Trust
 
Kabisa kabisa mungu ana mpango mkubwa na lissu
Napata picha kuwa Mungu alimnusuru kifo katika mazingira Yale ili aje ampe madaraka muhimu baada ya "Sauli" kuharibu

In God we Trust
 
asisahau kwenda CNN,aljazeera,deutchwere,France 24,Birmingham news,na viclip kibao YouTube atakuwa kama bazooka baada ya hapo maisha mengine yataendelea. bila tabu pia asisahau wampe na pa kuishi kama yule Dada wa kiarabu ili tuinjoi story zake tokea huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom