Chama kikuu kimoja cha upinzani? You mean kuungana na akina Cheyo, Mrema, Lipumba, Shibuda nk. You must be joking.Whether u like it or not: sisi wananchi tulio wengi tunapoteza imani kila siku zinavyokwenda. Hivyo kwa kiasi kikubwa hatutokaa foleni kubariki najisi itayofanywa. Sababu kubwa kama hizi za mh Lissu vyama vya upinzani hamko tayarikuunganisha nguvu (alliance). Na njia kepee ya kuunganisha alience ni kwa kuuwa vyama vyote vilivyopo na kuwa na chama kipya kikuu cha upinzani.
Mko tayari kusikiliza kilio cha wananchi au mpo tayari kusikiliza matumbo yenu.