jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
...utabiri ulisomea wapi!Uzuri wengine tulikuwa tunawesema hivi hivi NCCR wanatuona maboya! Sasa Chadema itakuwa worse kuliko NCCR.
CDM kupotezwa kwenye ramani ya siasa za tz itasababishwa na rafu wanazochezewa wapinzani na chama tawala, pamoja na nguvu ya polisi na tume ya uchaguzi kukibeba chama tawala, lakini sio kwa kuchokwa na wananchi.