MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,439
Uzuri wengine tulikuwa tunawesema hivi hivi NCCR wanatuona maboya! Sasa Chadema itakuwa worse kuliko NCCR....hutaki atoe maoni yake sio, unataka afunge mdomo ili wewe na wenzako muendelee kupiga makelele yenu Mbowe dikteta sijui na nini!, kama Mbowe huwa anajiteua mwenyekiti peke yake!, wacha ushamba.