Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

Hivi ccm haijakuona tu kama unafaa kurithi mikoba ya Tambwe Hizza? Kwa propaganda uko njema sana Mkuu!
 
Hamna muda wa kumunadi mgombea wenu ila mpo bize na chadema.
Vichwa havifanyi kazi.
 
Dr.Slaa katuangusha sana kwa kujifanya haoni manufaa ya kumpokea Lowassa.

Kwa nini mnakuwa wepesi hivyo wa kuchotwa name propaganda za ccm? Sidhani kama Dr. Slaa anaweza kuhama kirahisi hivyo!
 
Na wewe mkuu wa wilaya utarithi nafasi ya Nape Musa Nnauye baada ya Nape kukamatwa na Takukuru na hivyo kuchafua heshima ya chama mbele ya jamii, Hongera!! chanzo lumumbaboys.....teh....teh...!
 
Mbn hausemi ni boss wako maembe ndo kahonga pesa hahaaa alaf kapigwa chini vile vile
 
Dr.Slaa katuangusha sana kwa kujifanya haoni manufaa ya kumpokea Lowassa.

Kwa nini mnakuwa wepesi hivyo wa kuchotwa name propaganda za ccm? Sidhani kama Dr. Slaa anaweza kuhama kirahisi hivyo!
 
.......tathmini ya kisiasa inaonesha faida kubwa kwa Lowassa kuliko kuzira kwa Slaa, Mnyika na wenzaooooo... imekula kwao, waende ACT
 
Tamaa ya madaraka na pesa zimewadhalilisha MBOWE na LISSU. Dr. Endelea na msimamo wako.
 
hivi Lizaboni unahisi CCM itatawala milele?? Tambua wewe ni mfaidika wa utawala uliopo....furahi, ila tambua kila kilicho na mwanzo akikosi mwisho

Hatubadiliki na machapisho yako, badala ya kuja hapa na kutueleza mazuri ya mgombea wako....we ni kueleza hisia za kile unachokiombea kwa UKAWA kiwe.

Utalia sanaaaa

Tuko na LOWASA............tuko na UKAWA
 
Last edited by a moderator:
.......tathmini ya kisiasa inaonesha faida kubwa kwa Lowassa kuliko kuzira kwa Slaa, Mnyika na wenzaooooo... imekula kwao, waende ACT
Sasa majembe yenu yanabaki kuwa LOWASSA, ROSTAM, CHENGE NA KARAMAGI. Hkika siasa ni mchezo mchafu
 
Back
Top Bottom