Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

Aqisg8xj3q2kiWSqsDSGckP9i4ObLeIrDmHlV5xmL6oW.jpg
 
Dr.Slaa katuangusha sana kwa kujifanya haoni manufaa ya kumpokea Lowassa.

Mkuu hata wewe unaweza kuchotwa na hekaya za Lizaboni? Achana naye huyu, leo ni siku ya nne kwa saa 24 yupo JF anaanzisha hili linafuata hili kuhusu Chadema, Slaa na Lowassa. Mpaka hata ukimshtua ghafla mgombea wa ccm ni nani anaweza kusema ni JK maana kesha msahau Magufuli. Huyo achana nae
 
Last edited by a moderator:
Unaota ndoto ya mchana mkuu dr.slaa hawezi ondoka chadema hata cku moja
 
Magufuli anauzika kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka. Pole yenu nyie Team Mafisadi



Sasa kwanini unaangaika na Lowassa asiyeuzika??????


Tuacheni jamani, ushapata breakfast hapo Lumumba
 
Lizabon nimejaribu kufuatilia thread zako nyingi Lakini Mwisho wa siku umebaki kushindwa, ulisema Lowasa hawezi kutoka ccm Leo Yupo wapi?.Hivyo naona unapoteza Muda wako kwa kuibua mada zisizo na mashiko.Utakalia kigogo Mwaka huu.
 
Alichosema Mdau Lizaboni huwenda ni sahihi maana ktk uzi mzima sijaona anayempinga zaidi ya kumshushia matusi. Keep it up Lizaboni usihofu maana 'mti uzaaao matunda ndio upopolewao'. Wanange tu hao wapenda ufisadi.
 
Ahsante sana mkuu! watakupuuza kwenye maandishi yao tu lakini si miyoni
 
Mtaongea sana kuhusu cdm, ila mwaka huu kazi mnayo, mbona hamsemi kihusu wimbi la rushwa linalowagubika?
 
Maamuzi yote hufanyika kwenye vikao halali vya chama na Dr slaa alikuwepo wakatoka na muafaka mmoja kuwa wamkaribishe lowassa na aje apeperushe kiti cha urais hii ni baada ya lowassa kujieleza vzr kwa kila swali walilomuuliza ndio maana kikao cha kamati kuu kikatoka na kauli moja awe lowassa baada ya hapo slaa anarudi nyumbani kwake anabadilisha mawazo baada ya kupokea vishawishi vya mke wake. Hii siyo njia nzr ya kuendesha taasisi. Ina maana slaa angekuwa rais angefanya maamuzi kulikangana na interest za mke wake. Kama ndio hiv slaa nenda tu maana mshumbusi anakuyumbisha. Hufai kuwa kiongozi wa nchi.
 
Narudia tena hii ni riwaya kama riwaya zako zote unazoletaga hapa
Riwaya hii ilitakiwa iwe UWAZI au IJUMAA
 
Baada ya mambo kuharibika mbona ccm mmeacha kumtambulisha magufuri mikoani ikakomea mikoa michache tu na misheni ikayeyuka baada ya NEC kuwapa soma bado wakati WA kampeni. Mleteni arusha.
 
Dr.Slaa katuangusha sana kwa kujifanya haoni manufaa ya kumpokea Lowassa.

Kinyume chake kaonyesha sio mwanasiasa mbabaishaji, anasimamia anachokiamini.

Huwezi kusema Lowassa mwizi na fisadi alafu kesho tena unampigia kampeni awe Rais,utaonekana zuzu.
 
mtaa wa lumumba bado wanajifariji. hahahaha! hata dr. slaa atashangaa
 
Back
Top Bottom