Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
hivi Lizaboni unahisi CCM itatawala milele?? Tambua wewe ni mfaidika wa utawala uliopo....furahi, ila tambua kila kilicho na mwanzo akikosi mwisho
Hatubadiliki na machapisho yako, badala ya kuja hapa na kutueleza mazuri ya mgombea wako....we ni kueleza hisia za kile unachokiombea kwa UKAWA kiwe.
Utalia sanaaaa
Tuko na LOWASA............tuko na UKAWA
Hatubadiliki na machapisho yako, badala ya kuja hapa na kutueleza mazuri ya mgombea wako....we ni kueleza hisia za kile unachokiombea kwa UKAWA kiwe.
Utalia sanaaaa
Tuko na LOWASA............tuko na UKAWA
Last edited by a moderator: