Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
- Thread starter
- #41
Mbona umeni-underestimate kiasi hicho? Yaani niwaulize anti-Lissu pekee badala ya pia pro-Lissu pia? All right, kama unafahamu jambo lolote la maendeleo alilofanya Tundu Lissu au mipango yoyote ya maendeleo aliyo nayo (zaidi ya kupinga michango ya maendeleo) hebu iweke wazi hapa, usipinge hoja kishabiki tu! Mimi namfagilia Lissu kwa kazi nzuri anayoifanya Bungeni, lakini huko Jimboni ni "sound" tuuuu! Usilete hoja za kitoto kwamba eti "waliokaa miaka 20 wamefanya nini!"ulichofanya ni sawa na kuwauliza mashabiki wa Yanga kuwa Berko na Kaseja nani mkali, obvious jibu litakuwa Berko ni mkali. Probably na wewe wananchi uliowahoji ni wa chama tofauti na cha Lissu.Halafu kuhusu Lissu kutofanya kitu jimboni kwake. Weka propaganda pembeni na ujiulize swali hili. Hao wabunge waliokaa majimboni kwao miaka 20 wamefanya nini? Sasa ndio umgeukie Lissu na mwaka wake mmoja