Hahaha.......Jf bhana full burudaniTuma na picha ya marinda yake baada ya kushughulikiwa na Amsterdam.
Kila unachofanya Duniani kina matokea yake,ukipambana na serikali yoyote matokeo ni kifo au uhame nchi husika.Kwaiyo kupiga Mtu risasi 16 na mtu kutembelea vyuma it just normal things
Sasa Magufuli amehama Tanzania milele.Kila unachofanya Duniani kina matokea yake,ukipambana na serikali yoyote matokeo ni kifo au uhame nchi husika.
Ndiyo maana Mwandishi Asange anawindwa na Marekani mpaka Leo kwa sababu za kudukua mawasiliano yake.
Umesema "kwa vile mpo kwenye maridhiano"Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Mkuu yeye Lissu si alikuwa anapambana na serikali, sasa wewe ulitarajia apewe tuzo gani zaidi ya hiyo.position yourself katika mazingira ya lisu au kaka/mdogo wa watu waliopotezwa enzi za jamaa kama ben saa nane na wengine wengi, achilia mbali walioteswa na jpm as mfariji mkuu alipotezea tu...... Kwa Lisu hata ibada za kumuombea polisi waliwafuata watu katika nyumba za ibada wasimuombee lisu apone. Kimsingi utawala wa jpm ulitaka Lisu afe tu.....then try to adjust your lame argument
Ndiyo mkome kuabuduNa yeye na wewe mtabaiki hapa Tanzania milele?
Ngoja tuoneKikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa...
Maridhainoyalianza kutafutwa hata kabla ya JPM hajawa raisi wala kufikiria kuwaUmesema "kwa vile mpo kwenye maridhiano"
Unafikiri hayo maridhiano ni kutengenza uharibifu uliosababishwa na nani?
Kama ni uharibifu uliosababishwa na Magu, unadhani kungekuepo na jambo la maridhiano katika uhai wa mtu yule yule anaeharibu na kuufurahia uharibifu?
Jibu ni Hapana!!
Kwani wewe kifo cha shetani Magufuli hukufurahia? Au ndiyo ile ya kujionyesha mbele ya machawa wenzako kuwa ulisikitika kifo chake!Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita...
Mimi nisingeshangaa maana kila unachofanya kina matokeo hasi au chanya. Serikali yoyote Duniani ina mipango yake, sasa ukitokea wewe unapinga mipango yake, unafikiri nini kitakupata, aidha ufe au upone kwa kukimbia nchi. Unafikiri Kambona alikuwa mjinga kukimbia nchi baada ya mission yake ya kupinga sera za serikali kubuma!Mfano lissu angekuwa baba yako halafu akapigwa risasi zile ungemfurahia magufuli?
Hahahah eti Hayati, ila kuna watu mna roho za pekee, yaani Jiwe unamwita HayatiTundu lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake ,kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM .
A big YES!Does that justify his celebration upon the death of JPM?
Sio msemaji wa Mr. Lissu, binafsi its a YES, hujui wewe uchungu wa kuondolewa kwa mpendwa wako bila ya kuwa nI closure yake, mtoa hoja umeshawahi kuamka asubuhi na kujiuliza familia ya Mr. Saanane wanaishi vipi, wakoje au nawe ndio katili usiejali jirani yako yukojeDoes that justify his celebration upon the death of JPM?
Unafurahia nini kana kwamba Magufuli ndiye wa kwanz ana wa mwisho kufa?Kwani wewe kifo cha shetani Magufuli hukufurahia? Au ndiyo ile ya kujionyesha mbele ya machawa wenzako kuwa ulisikitika kifo chake!
Kumbuka hata machawa wa CCM walishangilia na kuchekea chooni kifo cha mshenzi yule sasa sisi wengine ni nani tusimshukuru Mungu kwa kutuondolea nduli yule!