Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa.
Wanamfanyia kitu mbaya sana ,yaani kusema lazima kinuke ndiyo unamfanyia hivyo?Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa.
NI MUHIMU LISU AKAWA NA ADABU KIDOGO MAHAKAMANI VINGINEVYO ATASOTA MNO KOROKORONI KABALA YA HUKUMU YA MILELE HAJITOKATundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa.

Watabana sana miguu ila ipo siku wataachia. Na wakiachia tu na mimba ndani!Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa.
NI MUHIMU LISU AKAWA NA ADABU KIDOGO MAHAKAMANI VINGINEVYO ATASOTA MNO KOROKORONI KABALA YA HUKUMU YA MILELE HAJITOKA![]()
tuliza mihemko na porojo gentlemanThen ndio maji yatatoka mikoa yote? Mshahara wako utaongezeka?
Folen za dar zitapungua?
Shule zote zitakuwa na vyoo.?
Wizi na ufisadi ndio vitapungua?

Mwambie Baba yako kwenu Huko kijinini aache uchawi alafu ukishamaliza Rudi Kwa TUNDU LISSUNI MUHIMU LISU AKAWA NA ADABU KIDOGO MAHAKAMANI VINGINEVYO ATASOTA MNO KOROKORONI KABALA YA HUKUMU YA MILELE HAJITOKA![]()
Lissu asikae kimya ili tujue uongo/ukweli wa hao Jamhuriya.Wanasheria wa Lissu wangekubaliana jamaa aamue kukaa kimya,,ili hao jamuhuri watimize hyo adhma waliyo ipanga ya kumfunga kwa haraka badala kuendelea kupoteza muda wakati hukumu waliyo ipanga lazima waitekeleze.. Lisuu Amepambana imetosha,,rekodi zipo.
tuliza mihemko na porojo gentleman![]()
POLEPOLE 😔 🥺 ALISEMA IVYO IVYO KOSA LA POLEPOLE LILIKUA NINI?! UNAJUA DUNIA SIO SEHEMU YA MILELE..NI MUHIMU LISU AKAWA NA ADABU KIDOGO MAHAKAMANI VINGINEVYO ATASOTA MNO KOROKORONI KABALA YA HUKUMU YA MILELE HAJITOKA![]()
GENTLEMAN,POLEPOLE 😔 🥺 ALISEMA IVYO IVYO KOSA LA POLEPOLE LILIKUA NINI?! UNAJUA DUNIA SIO SEHEMU YA MILELE..
GENTLEMAN NAONA UPO KAZINI NDUGU ILA MOYONI NAJUA UNAJUA DUNIA INAJUA..

HIYO NI POROJO USELESS GENTLEMANNimeuliza Tu
Maybe lissu akiendelea kukaa jela ndio wachina watatoa Msaada wa hela za kujenga uwanja

GENTLEMAN,GENTLEMAN,
KAZI YANGU NI KUELEZA UKWELI MTUPU TENA KWENYE MAMABO YA MSINGI TU,
JUKUMU HILO HALICHOSHI KWASABABU NI KWA NEEMA NA BARAKA ZA MUNGU TU NA SI VINGINEVYO.
ISHI NA UKWELI HUO MTUPU GENTLEMAN PAMOJA NA WADAU WENGINE WA JF![]()
gentleman,GENTLEMAN,
Siku 307 kesi imesikilizwa mara 14, gentleman wanasheria na wadau mbali mbali wameshaur na for sure lissu ni tishio kwa mama SAMIA na CHAWA WAKE WOTEEEEEEE HUKO CCM.
Haina tija Lissu kuendelea kusota GEREZANI kwa mashitaka ya michongo..
Kila mwenye nia njema na hili taifa anajua kua kwenye hili CCM inazidi kupoteza MVUTO NA KUAMINIWA NA watanzania wengi (majority)

Encerramos esta discussão de maneira educada e civilizada...gentleman,
huyo ni kibaraka muhaini,
kusota korokoroni ni haki ya muhaini yeyote yule duniani, na for sure anastahili hata kukaa zaidi ya siku elf2 bila chochote kuskizwa dhidi yake, ili iwe fundisho kwa waropokaji vibaraka wengine wenye tabia nonsense kama huyo muhaini.
suala la mvuto sijui ni wa kimapenzi au vinginevyo, mdeal nalo huko kwenye chama chenu.
CCM ina dhamana ya wananchi na ina wajibu wa kuongoza nchi, kuwatumikia wananchi na kuwaletea waTanzania wote maendeleo na si vinginevyo,
Hakuna kitisho cha usalama tena Tanzania![]()