Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,859
- 7,052
Bahati nzuri hakuwahi kusema hatorudi na siku zote alikuwa akisisitiza akiambiwa na madactari wake sasa upo fiti waweza kwenda nyumbani yeye kesho yake atakuja TANZANİA.
Karibu mheshimiwa huna kosa ulilowatendea watanzania wewe ni mpiganaji na mpambanaji, mjenge hoja mzuri sana karibu TANZANİA ni yetu sote hakuna mwenye mamlaka ya kukuzuia usirejee.
Karibu mheshimiwa huna kosa ulilowatendea watanzania wewe ni mpiganaji na mpambanaji, mjenge hoja mzuri sana karibu TANZANİA ni yetu sote hakuna mwenye mamlaka ya kukuzuia usirejee.