Watanzania ni maskini sana wa fikra, sasa unapotaja Mloganzila mie mtu wa Mpui Sumbawanga inanihusu nini.Je. Mloganzila pia ilikuwepo?
Talk about the health system. Hiyo ni mbovu sana. Juzi tu Corona imebidi wagonjwa wakimbie Amana hali ilivyo mbaya.
CCM mna dhambi sana.