Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kuboresha afya, elimu na huduma za jamii sababu familia yake inaishi Ubelgiji

Je. Mloganzila pia ilikuwepo?
Watanzania ni maskini sana wa fikra, sasa unapotaja Mloganzila mie mtu wa Mpui Sumbawanga inanihusu nini.

Talk about the health system. Hiyo ni mbovu sana. Juzi tu Corona imebidi wagonjwa wakimbie Amana hali ilivyo mbaya.

CCM mna dhambi sana.
 
Kamanda wewe unaishi wapi?
Watanzania ni maskini sana wa fikra, sasa unapotaja Mloganzila mie mtu wa Mpui Sumbawanga inanihusu nini.

Talk about the health system. Hiyo ni mbovu sana. Juzi tu Corona imebidi wagonjwa wakimbie Amana hali ilivyo mbaya.

CCM mna dhambi sana.
 
sasa unapotaja Mloganzila mie mtu wa Mpui Sumbawanga inanihusu nini.
Acha ubinafsi uliopindukia. Kwani wanaopelekwa kutibiwa Muloganzila siyo watanzania?

Nchi inadumbukia kwenye ufisadi wa kupindukia kwa sababu ya ubafsi wenu kama huu unouonyesha kwenye maandishi. Mafanikio ya mkoa mmoja, kijiji, kimoja, mtu mmoja ni mafanikio ya taifa, maana mafanikio yake yanasambaa ndani ya nchi kwa namna moja mama nyingine.

Tupende mafanikio ya watanzania wenzetu na tuwaombee watumie mafanikio hayo kwa manufaa mapana kwa nchi! Hivyo ndivyo tutaweza kuifanya Tanzania imara kiuchumi na kijamii.
 
Acha ubinafsi uliopindukia. Kwani wanaopelekwa kutibiwa Muloganzila siyo watanzania?

Nchi inadumbukia kwenye ufisadi wa kupindukia kwa sababu ya ubafsi wenu kama huu unouonyesha kwenye maandishi. Mafanikio ya mkoa mmoja, kijiji, kimoja, mtu mmoja ni mafanikio ya taifa, maana mafanikio yake yanasambaa ndani ya nchi kwa namna moja mama nyingine.

Tupende mafanikio ya watanzania wenzetu na tuwaombee watumie mafanikio hayo kwa manufaa mapana kwa nchi! Hivyo ndivyo tutaweza kuifanya Tanzania imara kiuchumi na kijamii.
Mloganzila ilitakiwa iwepo na Mpui nnakoishi mimi, hayo ndio maendeleo.
 
Nchi inayoendeshwa na mtu mmoja ni itaanza kule sayari ya Mars mwaka 2035.
Kwa sasa nchi inaendeshwa na kodi za wananchi.

Na tena Tundu Lisu amesema kuwa atazipa nguvu Serikali za Mitaa ili zipange mipango yake na vipao Mbele vyake. Hapo ndipo tutakapopata maendeleo yanayotokana watu kwa faida yao wenyewe.

Maendeleo ya sasa ni kwa faida ya watangaza nia ndio maana kuna maendo yametawaliwa na CCM tangu Uhuru lakini maendeleo yake yapo nyuma sana.

Trilion 12 za miradi miwili tuu ukijumlisha na zile zinazoendelea kutolewa kwenye bajeti ya Barabara zingetosha kujenga Barabara za lami nchi nzima mpaka vijijini mana Barabara za vijijini sio pana sana.

Hebu piga picha kama Barabara nchi nzima mpaka vijijini zingekua na Lami ,uchumi wa nchi ungepaa kwa uwiano mkubwa kiasai gani.? Yaani nchi nzima lami bila kubagua maeneo kama ilivyo kwa miaka mingi ya utawala wa CCM . Mpaka leo kuna maeneo mvua zikinyesha Barabara haipitiki huku wakulima wakiwa wanavuna vyakula vya kutosha na kulipa ushuru wa mazao na kodi nyingine ili zikawajengee watu wa Darisalam Fly over na wengine wkatembee Mwanza na Rwanda kwa kutumia ndege na treni.
Tunawakosea sana walipa kodi maskini kwa sababu tu ya madaraka na kuwajali matajiri wanaoishi mijini wenye uwezo wa kusafiri na ndege na wale wa mikoa michache watakaoweza kusafiri na treni ya umeme.

Na hiyo treni ya Mwendokasi ikiweka nauli kidogo ujue ndio itaendeshwa kwa kodi za wote kwa hasara.
 
Tuliza akili kamanda
Acha ubinafsi uliopindukia. Kwani wanaopelekwa kutibiwa Muloganzila siyo watanzania?

Nchi inadumbukia kwenye ufisadi wa kupindukia kwa sababu ya ubafsi wenu kama huu unouonyesha kwenye maandishi. Mafanikio ya mkoa mmoja, kijiji, kimoja, mtu mmoja ni mafanikio ya taifa, maana mafanikio yake yanasambaa ndani ya nchi kwa namna moja mama nyingine.

Tupende mafanikio ya watanzania wenzetu na tuwaombee watumie mafanikio hayo kwa manufaa mapana kwa nchi! Hivyo ndivyo tutaweza kuifanya Tanzania imara kiuchumi na kijamii.
 
Ndugu zangu,

''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.

Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Non sense comments.
 
Ndugu zangu,

''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.

Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Delete ccm Oct 28
 
Ndugu zangu,

''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.

Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Huyu kaja kuvuruga nchi halafu anaondoka, atuache hovyo, Nyalandu na huyu Tundu wote mngewapiga chini kuna walionielewa hapo, Chadema japo siishabikii hata angebaki mbowe tukamzomea tukafanya lolote lakini angalau kidogo tungekuwa naye lakini sio huyu mkimbizi, ndio maana anafanya mambo anavyotaka yeye
 
Benjamin Mkapa Hospital, Mloganzila, Mbeya regional Referral Hospital, JKCI nazo zilikuwepo hata kabla ya uhuru?
Unapoteza muda kwa huyo jamaa maana hajui kwamba katika hizo hospitals kuna za mashirika ya dini yeye anajua majina tu
 
We hujanielewa nilikuwa naongelea miundo mbinu kipindi cha ukoloni haikujengwa kwa manufaa yetu sisi Watanganyika, ingawa tulianza kunufaika nayo baada ya wakoloni kuondoka.

Kuhusu wizi wa rasimali kwa awamu hii huwezi linganisha na awamu iliyopita, wewe mwenyewe ni umeshuhudia swala la mikataba ya madini lilivyoshughulikiwa hadi kampuni ya Accacia kufungasha virago. Awamu hii yote hakuna hata kashifa moja ya ufisadi iliyoibuliwa, mzee anazipangua juu kwa juu.
Huweji jibizana na hawa wafia Chadema ni kama vinyonga ukijibu hili anadai hujasema hiki ni ngumu Sana kujibizana nao
 
It's another rubbish as usual. Kwanza mlisema hawezi kurudi nyumbani, sasa amerudi mnazusha tena mengine.
 
Andika Kiswahili,kizungu hujui
Umeona wivu na mwenzako kuandika Kizungu?

Wewe unajua zaidi,yanini umsimange asiejua kama wewe?Anakutisha nini mpaka unakua uncomfortable?

Plus umekimbilia kizungu badala ya kujibu hoja!

Sisi Watanzania lugha ya Kingereza tunaipenda kupita maelezo lakini unfortunately English haijawahi kutukubali hivyo tunawaonea wivu sana wanaokijua kama Wakenya,Zambians,Ghanaians,etc

Wakudadavua nae ndio wale wale....muoga wa kivuli cha Elephant in the room...ambacho ni Kingereza!

Tanzania na English ni kama maji na mafuta....
 
Back
Top Bottom