Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,410
MATAGA bhana, ni dhambi kuishi Ulaya?Ndugu zangu,
''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.
Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.
Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Hao familia zao zinazoishi hapa wamefanya nini?
Lissu alipotua uwanja ndege hata tv ya mwenyekiti wa ccm hapo ushetu ulikosa kuangalia?
Uzalendo ni kuishi nyumbani? Hao wzungu wanaoishi masaki na oysterbay, shanty town Moshi wao si wazalendo?