Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kuboresha afya, elimu na huduma za jamii sababu familia yake inaishi Ubelgiji

Mloganzila ilitakiwa iwepo na Mpui nnakoishi mimi, hayo ndio maendeleo.
Ma-Mloganzila yatakuwepo kila mahali hatua kwa hatua. Kumbuka hayawezi kuwepo kila mahali kwa mara moja kama mwanga wa Jua. Serikali itafikisha 'Mloganzila' hata huko Mpui ndugu zetu mnapoishi kadiri uchumi wa nchi utakvyoruhusu. Nia ya serikali ni kila mwananchi anufaike na matunda ama rasilimali za nchi hii kadri inavyowezekana.

Nimeyaeleza hayo hapo juu nikiwa raia wa kawaida ambaye kwa kufuatilia habari hapa JF karibu miaka kumi sasa nimeanza kwa kiasi fulani kuelewa uendeshaji wa serikali. Heko JF!
 
Umeona wivu na mwenzako kuandika Kizungu?

Wewe unajua zaidi,yanini umsimange asiejua kama wewe?Anakutisha nini mpaka unakua uncomfortable?

Plus umekimbilia kizungu badala ya kujibu hoja!

Sisi Watanzania lugha ya Kingereza tunaipenda kupita maelezo lakini unfortunately English haijawahi kutukubali hivyo tunawaonea wivu sana wanaokijua kama Wakenya,Zambians,Ghanaians,etc

Wakudadavua nae ndio wale wale....muoga wa kivuli cha Elephant in the room...ambacho ni Kingereza!

Tanzania na English ni kama maji na mafuta....
Hata hao unaosema tunawaonea wivu wengi wanaoongea hiyo lugha wapo mijini, vijijini huko ndani ni lugha ya asili tu labda wamalawi. Nilikwenda sehemu nikalazimika kuongea Kiswahili na yeye aongee kikwao ili tuelewane, binafsi nawaonea wivu watanzania wenzangu wanaoongea lugha zao za asili basi
 
Ndugu zangu,

''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.

Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Thread ya kipuuzi kabisa pumba grade A.
 
Hata hao unaosema tunawaonea wivu wengi wanaoongea hiyo lugha wapo mijini, vijijini huko ndani ni lugha ya asili tu labda wamalawi. Nilikwenda sehemu nikalazimika kuongea Kiswahili na yeye aongee kikwao ili tuelewane, binafsi nawaonea wivu watanzania wenzangu wanaoongea lugha zao za asili basi
Mkuu

Heri hao wanaoongea lugha zao za asili....

Tanzania lugha za asili zilishakufa...kila mtu kaacha lugha yake ya mababu zake ana assume yeye ni Mswahili 100%..

Kizazi cha kuanzia 1980 kuja mbele hakuna hata mmoja anaejua lugha yake ya asili....

Unachosema kua Watanzania wanaongea lugha za asili Mkuu utakua huna takwimu...

Official estimation ni kwamba lugha za asili Tanzania nzima zitakua extint ndani ya miaka 50 toka year 2000!

Case in point,wewe hapo una kabila lenu,haupo fluency na lugha ya kwenu hata kidogo....Watoto wako ndio sahau kabisa....wajukuu zako ndio hata kabila hawatalijua kabisa!

Lugha za Tanzania haziifadhiwi kwenye vitabu...Tanzania nadhani ni kosa la kwenda mahakamani ukijenga kitabu cha kamusi za lugha ya kienyeji....

Hakuna literature preserved ya hizi lugha...Serikali ime criminalize lugha zetu...

Hatuna lugha,hatuna utamaduni,hatuna chochote....Kiswahili sio chetu kilitoka Mombasa kwa Wagede

We are useless people!
 
Ndugu zangu,

''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya, elimu na malazi kutoka Ubelgiji.

Leo hata huduma ya kisheriaanatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Muongo mkubwa Wewe !!!!!!
 
Mkuu

Heri hao wanaoongea lugha zao za asili....

Tanzania lugha za asili zilishakufa...kila mtu kaacha lugha yake ya mababu zake ana assume yeye ni Mswahili 100%..

Kizazi cha kuanzia 1980 kuja mbele hakuna hata mmoja anaejua lugha yake ya asili....

Unachosema kua Watanzania wanaongea lugha za asili Mkuu utakua huna takwimu...

Official estimation ni kwamba lugha za asili Tanzania nzima zitakua extint ndani ya miaka 50 toka year 2000!

Case in point,wewe hapo una kabila lenu,haupo fluency na lugha ya kwenu hata kidogo....Watoto wako ndio sahau kabisa....wajukuu zako ndio hata kabila hawatalijua kabisa!

Lugha za Tanzania haziifadhiwi kwenye vitabu...Tanzania nadhani ni kosa la kwenda mahakamani ukijenga kitabu cha kamusi za lugha ya kienyeji....

Hakuna literature preserved ya hizi lugha...Serikali ime criminalize lugha zetu...

Hatuna lugha,hatuna utamaduni,hatuna chochote....Kiswahili sio chetu kilitoka Mombasa kwa Wagede

We are useless people!
Huu Ni ukweli mchungu.

Mimi binafsi , asili ya lugha ya kabila langu hata kuombea maji tu sijui.
 
Watanzania ni maskini sana wa fikra, sasa unapotaja Mloganzila mie mtu wa Mpui Sumbawanga inanihusu nini.

Talk about the health system. Hiyo ni mbovu sana. Juzi tu Corona imebidi wagonjwa wakimbie Amana hali ilivyo mbaya.

CCM mna dhambi sana.


Kwa hiyo wewe ndio mwenye fikra. JF haikatishi tamaa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Angalau hatojijengea uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake na hazitopotea 1.5 trl ( ambazo nyingi zaidi kuliko jumla ya kashfa za Rada, Buzwagi, meremeta, richmond kwa moja).
Sasa Kama kapeleka kijijin kwake roho inakuuma Nini Kwan kule hakuna watu...
Dar ambayo kila kitu hupelekwa ina chann kikubwa !!?au watu wake ndo wanastahiri kuliko wa Lindi mtwara,chato na kwingineko... Au Kuna Sehem zinapaswa kuendelea kuliko nyingine
 
Wakudadavuwa,

Wakoloni walitujengea hospitali na miundombinu bora kabisa huku familia zao wakiwa wameziacha kwao Ulaya. Ambacho hawakufanya wakoloni ni kujijengea international airports huko vijijini kwao!
Yaan we ndo zuzu kweli .....walikuja Africa wakajenga vimiundo mbinu lakini unajua kilichokua kinajengwa ulaya au akili huna tu......ulaya ndo kila kitu kikubwa ndo kilikua kinajengwa international airport ,viwanda Sasa unaongea nn
 
Hakii hii nchi inahitaji ukombozi wa kifikra kama bado kuna watu wana mawazo mgando kama wewe kibaya zaidi waweza kuta umesoma na kidiploma unacho nauliza huko shule mwaenda somea ujinga?
Bora hata huyo mawazo yake mgando yanaonekana .....mbona hoja yako nzito ciioni....au ndo ulijaliwa akili za kukosoa af akili za solution huna
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom