Lissu: Kwa Sheria Za Ubelgiji, Ninatambulika Kama Mlemavu

commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952


Hii ni kauli ya Lissu Antipasi Tundu!
Akiongea na Clouds 360 television kule Tegeta, Jijini Dar es salaam nyumbani kwake.
..."Kwa sheria za Ubelgiji, mimi ninatambulika kama mlemavu, hivyo hata mambo mengi, ikiwemo nauli na vitu kadhaa, ninapata ahueni, kutokana na hali yangu"....Tundu Lissu.

Je! Kama Ubelgiji anatambulika kama Mlemavu, hapa kwetu anatambulika kama??

Je! Huko Ubelgiji wanamtambua kama mlemavu wa nini?

Je! Ni akili?

Je! Ni viungo?

Tusaidieni Majibu, tusije kuwa tunahangaika na mtu ambae, waliomtibu wanaijua kasoro yake!

Kwa mujibu wa kauli yake mwenyewe Lissu.

Nimeweka video Link, ili tusitukanane bila sababu!
 
Wey need only his brain which is intact so far.

On top of that, mtu anaehitaji kuwa kiongozi wa watu, hupaswa kuwa muwazi wa kiwango hicho kuonyesha jinsi alivyo muadilifu. Bahati mbaya, Afrika hatuna hii culture.
His emotional, mental, psychological and probably social health is probably not OK, and this may put a scar to his dream of becoming a president. Many of the mentioned issues are exemplified by his loose tongue and noe healthy speech.
 
His emotional, mental, psychological and probably social health is probably not OK, and this may put a scar to his dream of becoming a president. Many of the mentioned issues are exemplified by his loose tongue and noe healthy speech.
Angeendela kubaki huko kwa sababu alikuwa akiisha kwa disability allowance na TZ hatuna hiyo.
 
Unaweza kumtanguliza mtu na kifo, badala yake ukajikuta unatangulia wewe.Usimuombe mwenzako na kumuita mlemavu, usije ukajikuta wewe ukawa melemavu zaidi yake,tena wa kulala kitandani
hii nimeiona mala mbili sasa
kwanza Mchungaji Mtikila na Lowasa
Pili Mwendazake na Tundu huyu mwendazake hata tukio lakwanza linamgusa
 
We need only his brain which is intact so far.

On top of that, mtu anaehitaji kuwa kiongozi wa watu, hupaswa kuwa muwazi wa kiwango hicho kuonyesha jinsi alivyo muadilifu. Bahati mbaya, Afrika hatuna hii culture.
Aisee..
 
Hata kwa hapa Tanzania, ni dhahiri ni mlemavu wa miguu. Miguu yake, kutokana na surgery nyingi zilizofanyika na kuondolewa sehemu kadhaa, zimeufanya mguu mmoja kuwa mfupi kuliko mwingine. Lakini ulemavu huo haumzuii kuweza kufanya chochote, tena kwa ustadi mkubwa kama mwanzo.

Ulemavu mbaya kabisa ni wa akili, moyo na dhamira. Na huu upo kwa mataga wengi. Ndiyo maana hawa watu hawana msaada wowote kwa nchi.
 
Unaweza kumtanguliza mtu na kifo, badala yake ukajikuta unatangulia wewe.Usimuombe mwenzako na kumuita mlemavu, usije ukajikuta wewe ukawa melemavu zaidi yake,tena wa kulala kitandani
Kajiita mlemavu yeye mwenyewe,kama huna bundle acha kuchangia,nimeweka video ya mahojiano yote.
 
His emotional, mental, psychological and probably social health is probably not OK, and this may put a scar to his dream of becoming a president. Many of the mentioned issues are exemplified by his loose tongue and noe healthy speech.
You spoke the reality!

But most of his Followers, doesn't want hear about this facts.
 
Usiwabague walemavu.
Hata wewe ni mlemavu mtarajiwa.


Ila akili zako ni ndogo mno.
Kuwa na vijana kama NYIE ni Aibu kwa Taifa.

TANZANIA YANGU.
Fuatilia mahojiano!
Yeye mwenyewe ndie kajiita mlemavu,sio mimi!

Halafu usikimbilie huko,mbona yeye Lissu hana Busara hata kwa waliofariki??
 
Back
Top Bottom