Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kuboresha afya, elimu na huduma za jamii sababu familia yake inaishi Ubelgiji

Kaka

Africa has always been a free market driven continent....Na hii naongelea Before Christ....Africa was full of loca marketplaces and great empires zilizojengwa na free trade between Africans!

Huu upumbavu wa kusema Africa sio capitalist ni socialist ni upumbavu nisioweza uvumilia..

Socialism ni foreign concept to Africans Nyerere na Nkurumah walienda china na USSR wakakopi kama ilivyo na kuja kutuletea upumbavu!

Natural African system ni free market tangu enzi an enzi...mishale ilijengwa na wanakijiji mmoja mmoja na ilikua owned na hao watu na wala sio jamii nzima..

Kila mtu aliwajibika kwenda kuwinda kulisha familia yake....kutoa msaada kwa wenzake ilikua ni jambo muhimu,na kutoa msaada sio socialism get that clear..

Kulikua na masoko ya wananchi wanafanya butter trade tangu enzi na enzi....Empire kubwa kubwa sprung out of nothing in Africa due to free trade,Songhai,Mali,The Great Zimbambwe Empire,etc....

Hazikutokea kwam "sociolism" walizotuletea hawa vichaa akina Nkurumah na mwenzake JKN..

Hawa wehu walienda China na USSR wakakopi huu upumbavu wakatuletea 1960's haikuchukua 20yrz ikafeli badly maana it is not natural African system of living!!!!

Acheni hivi vituko kabisa!
Pure socialism iliishia kipindi cha Nyerere na azimio lake la Arusha, ni kweli aliona socialism inafeli ndo maana akang'atuka mwaka 1985, after that mfumo uliofuata na ambao tunao hadi leo ni mixed economy. Ni mfumo ambao unajaribu kuabsob disadvantages za pure capitalism na Socialism. Ni mfumo ambao unalinda maslahi ya watu wote wafanyabiashara na wakulima wa kawaida vijijini.
 
Changamoto imetokea sababu ya upumbavu wetu kama civilization....

Kenya wali-adopt capitalism tangu 1960's and they are well off than anybody else kwenye elimu!

Privatise everything up and go to sleep!

Serikali ni machine of oppression,everybody is using it to steal from everybody else on his behalf!

Poor people ambao ni karibia 90% ya watu nchini are the most thugs than all.They are giving votes to politicians who agree to give them elimu,matibabu,etc for FREE!

Unfortunately government has no money themselves....they have it by taking it from somebody else!

In this way,politicians will go and steal from the rich who worked so hard to accumulate wealth and give it for FREE to the poor people 90%!

Also on the flip side this rich 10% do crony capitalism with the politicians to get favours to country's resources owned by all 100%!

Everybody is using the government to still from everybody else for themselves!

Cha kufanya ni privatize everything kusiweko na kitu kinaitwa "Mali ya Umma",no such thing....

Serikali ichukue kodi kufanya fauatayo:

1.Kulinda wananchi wote from foreign thugs
2.Kulinda wananchi wote internal thugs
3.Ku-inforce contract among citizens internally and externally
4.Ku-dispence haki among the citizens (judiciary)
5.Kujenga na kusimamia vitu vyote vinavyotumiwa na umma wote na sio makundi ya watu ...
6.Funds for majanga ya kibinadamu kama pandemics,volcanoes,"acts of god",etc

Reli,viwanja vya ndege,umeme,maji,stendi,mbuga za wanyama,migodi,ardhi yote,magereza,etc BINAFSISHA kwa wananchi....

Mengine kila mwanadamu AJITEGEMEE.....

Kama huwezi jitibia kufa.....huna chakula kufa...huna shule unafungwa jela,huna nguo za kufaa unafungwa jela,mlemavu huna familia ya kukuangalia unakufa....etc
una uelewa mdogo sana wa masuala ya nchi
 
Pure socialism iliishia kipindi cha Nyerere na azimio lake la Arusha, ni kweli aliona socialism inafeli ndo maana akang'atuka mwaka 1985, after that mfumo uliofuata na ambao tunao hadi leo ni mixed economy. Ni mfumo ambao unajaribu kuabsob disadvantages za pure capitalism na Socialism. Ni mfumo ambao unalinda maslahi ya watu wote wafanyabiashara na wakulima wa kawaida vijijini.
Mkuu

Unachosema ni sawa..upo sahihi kihistoria..

Mimi nilitaka kukuonesha huu uongo tunafundishwa shule eti Africa ni socialist tangu enzi za mababu ni pure lie!

Tangu enzi za mababu system free market ilikuwepo na ikasaidia empire kubwa kubwa kujengeka Africa,Tanzania zilikuwepo nyingi tu....sababu ya FREE TRADE na sio upumbavu wa socialism!

Socialism ni foreign concept Bwana Nyerere na kichaa mwingine wa Ghana Nkurumah waliekukopi huko Urusi na China wakatuletea utopia za kipumbavu kabisa eti socialism....what a joke!

Tanzania mpaka sasa hatujui tupo mfumo gani......

Mfumo wa socialism hatupo

Mfumo wa capitalism hatupo

Wenye kufanya capitalism kukusanya wealth wananyang'anywa kupitia kodi na outright stealing by the government wanalishwa Watanzania 90% for FREE....

15% ya Watanzania ndio wanalipa kodi....hawa ndio wealthy,upper na hawa middle class kama wewe na mimi...tunalisha the rest of 90% kuanzia Elimu bure,matibabu bure,mabarabara,etc..

Binafsisha kila kitu....kila mwananchi apewe freedom,civil liberties.....kila mtu atumie akili yake yote na nguvu zake zote kujitafutia mali kadiri anavyoweza kwa kufuata sheria za nchi...

Mwanasiasa ameaminisha hawa 90% kwamba serikali can do everything for them for FREE....too bad serikali haina uwezo wa kujenga hela za kuwapa.....

Rules of the game iwe katiba ya nchi...
 
Mbona CCM imeshindwa kuboresha kwa muda wa miaka 60? KCMC, Mhimbili, Bugando, Haydom nk zilikuwepo kabla ya uhuru
Mkuu unaishi wapi wewe muhimbili hii Sasa ni sawa na muhimbili ya miaka ya 1980!?, Au unacomment ili na wewe uonekane umechangia au ubishi wa kijinga ambao hauna maana Kama wa mgombea wako TL.
 
Mbona CCM imeshindwa kuboresha kwa muda wa miaka 60? KCMC, Mhimbili, Bugando, Haydom nk zilikuwepo kabla ya uhuru
Kwani sasa hivi zimekufa au zimedorora, yaani hujaona wala kusikia kuongezeka kwa wataalamu na vitendea kazi au ni imani yako kwamba saccos ni bora zaidi?
 
Kama ndivyo hivyo basi familia Inaishi kwa sababu maalum, za kiulinzi na usalama nafikiri ungelikuwa ni wewe hata usingetia mguu Tanzania, ni lazima kwanza tumsifu Lissu kwa kuamua kurudi na kukanyaga ardhi ya nchi yake.
Mkuu usisumbuke kumpa hoja deep kama hizo hawezi kuelewa labda ungemuuliza kwani huko Ulaya alienda kwa hiyari au pengine walimfanyia vile walivyomfanyia ili kupata hoja za mtindo huu?
 
Hata Obama aliambiwa hivo, mara oooh! ni mkenya, mara oooh! ndugu zake wako kenya. Yanayofanywa na rais si kwa matakwa yake bali ni kwa matakwa ya sera za chama, katiba nk
 
Ndugu zangu,

''ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu,afya, huduma za jamii na miundombinu ya msingi. Hii si bahati mbaya, familia yake inapata huduma za afya,elimu na malazi kutoka Ubelgiji. Leo hata huduma ya kisheria anatumia za mawakili waliopo Ulaya ni dhahiri Lissu hana mpango na Watanzania. Na hata baada ya uchaguzi atatokomea huko huko kuganga njaa.

Tutafakari kwa makini, hoja kwa hoja.
Hayo ni maono yako.
 
Kijana ulishawahi kusikia NHS,Obamacare etc?
Mkuu

Unachosema ni sawa..upo sahihi kihistoria..

Mimi nilitaka kukuonesha huu uongo tunafundishwa shule eti Africa ni socialist tangu enzi za mababu ni pure lie!

Tangu enzi za mababu system free market ilikuwepo na ikasaidia empire kubwa kubwa kujengeka Africa,Tanzania zilikuwepo nyingi tu....sababu ya FREE TRADE na sio upumbavu wa socialism!

Socialism ni foreign concept Bwana Nyerere na kichaa mwingine wa Ghana Nkurumah waliekukopi huko Urusi na China wakatuletea utopia za kipumbavu kabisa eti socialism....what a joke!

Tanzania mpaka sasa hatujui tupo mfumo gani......

Mfumo wa socialism hatupo

Mfumo wa capitalism hatupo

Wenye kufanya capitalism kukusanya wealth wananyang'anywa kupitia kodi na outright stealing by the government wanalishwa Watanzania 90% for FREE....

15% ya Watanzania ndio wanalipa kodi....hawa ndio wealthy,upper na hawa middle class kama wewe na mimi...tunalisha the rest of 90% kuanzia Elimu bure,matibabu bure,mabarabara,etc..

Binafsisha kila kitu....kila mwananchi apewe freedom,civil liberties.....kila mtu atumie akili yake yote na nguvu zake zote kujitafutia mali kadiri anavyoweza kwa kufuata sheria za nchi...

Mwanasiasa ameaminisha hawa 90% kwamba serikali can do everything for them for FREE....too bad serikali haina uwezo wa kujenga hela za kuwapa.....

Rules of the game iwe katiba ya nchi...
 
TAL ni Msindikizaji tu, kwani katika msafara wa Mamba na Kenge huwemo. Kwa hiyo, yeye anasindikiza msafara wa Mamba.
 
Kijana ulishawahi kusikia NHS,Obamacare etc?
Mkuu

Hivi upo dunia gani?

Obamacare is gone!

Mnatuletea communism USA?.....Kitu imepigwa vita mpaka imechomolewa!

Shida hapa ni sera hovyo za Democrats...mnaleta upumbavu wa welfare dependence kweny capitalism!

NHS inapigwa vita na Republicans na Libertarians!

Futilia mbali huu upumbavu wa socialism USA!

Zinapigwa vita na Republicans kila siku...na mimi ni shabiki wao mkubwa!

Tanzania mmeigeuza Welfare State kabisa....

15% inatunza the remaining 75%....what a tragedy!
 
Hujui kitu kijana wangu
Mkuu

Hivi upo dunia gani?

Obamacare is gone!

Mnatuletea communism USA?.....Kitu imepigwa vita mpaka imechomolewa!

Shida hapa ni sera hovyo za Democrats...mnaleta upumbavu wa welfare dependence kweny capitalism!

NHS inapigwa vita na Republicans na Libertarians!

Futilia mbali huu upumbavu wa socialism USA!

Zinapigwa vita na Republicans kila siku...na mimi ni shabiki wao mkubwa!

Tanzania mmeigeuza Welfare State kabisa....

15% inatunza the remaining 75%....what a tragedy!
 
Back
Top Bottom