Tundu Lissu hakugoma "KUTOKA NJE"

Tundu Lissu hakugoma "KUTOKA NJE"

Wataalamu wa lugha yetu adhimu watuambie maana ya neno "Toka nje"

Mimi nijuavyo "kutoka nje" ni kinyume cha "ingia ndani". Hivyo sikumshangaa Tundu Lissu kumshangaa J. Ndugai alipotamka "...Tundu Lissu toka nje..." Sasa atoke nje aende wapi wakati alikuwa tayari yumo ndani ya ukumbi?Wale askari walivyo ambiwa "Askari mtoeni Tundu Lissu nje" nao bila kuelewa vizuri wakaenda kumshinikiza Lissu aende nje. Wao walitakiwa waulize kama Mh. Lissu anatakiwa atolewe ndani ya ukumbi au la!

Hivyo sioni kosa la Tundu Lissu wala wabunge wa CHADEMA kwenda kuwazuia wale askari wasimtoe ndani na kumpeleka nje, kwani walikuwa wanatekeleza amri ya kiti; Mtoeni nje muingize ndani! Askari walitekeleza kinyume chake! Lol!

Swali: Je kama hatufahamu kiswahili kwa kiasi hiki, kiingereza tutakiweza? Hapa naungana na wale wanaosema kiswahili kiwe ni lugha ya kufundishia mpaka mwisho wa darasa!

Ngoja nikupe darsa la lugha kidogo.
Katika lugha ya kiswahili kuna Uhusiano mbali mbali wa sentensi katika kiwango cha maana. Uhusiano huu waweza kuwa wa Usawe, Utata, Ukinzani, Upotoo nk.
Katika hii sentensi ilyotoka 'toka nje' inahusiana zaidi na utata.
Utata ni ile hali ya Sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Ambao nao umegawanyika katika sehemu mbili kuu. Utata wa Kileksika na Utata wa Kimuundo.
Sentensi tajwa imo katika Utata wa Kimuundo ambao mara nyingi huhusika na mpangilio wa Sentensi.
'Toka nje' sentensi hii ina utata ambao kimuundo waweza pata maana
1. Toka nje uongie ndani
2. Toka ndani uende nje
Ili kupata maana ya tungo hii mtu inatakiwa azingatie muktadha wa kimazungumzo.
*Muktadha maana yake ni mazingira ambayo mazungumzo hufanyika.
Kimuktadha, Tundu alikua ndani na aliambiwa atoke nje. Katika hali halisi ni mtu mkorofi tu ama juha ambaye anaweza kufikiri kwamba ameambiwa atoke nje aingie ndani ilihali muktadha wa kimazungumzo ni ndani.
Hivyo basi, kwa mtu muelewa kama Lissu, hiyo sentensi ilikua haina shida na ilieleweka kabisaaa, labda kama kulikua na sababu nyinginezo.
 
Wataalamu wa lugha yetu adhimu watuambie maana ya neno "Toka nje"

Mimi nijuavyo "kutoka nje" ni kinyume cha "ingia ndani". Hivyo sikumshangaa Tundu Lissu kumshangaa J. Ndugai alipotamka "...Tundu Lissu toka nje..." Sasa atoke nje aende wapi wakati alikuwa tayari yumo ndani ya ukumbi?Wale askari walivyo ambiwa "Askari mtoeni Tundu Lissu nje" nao bila kuelewa vizuri wakaenda kumshinikiza Lissu aende nje. Wao walitakiwa waulize kama Mh. Lissu anatakiwa atolewe ndani ya ukumbi au la!

Hivyo sioni kosa la Tundu Lissu wala wabunge wa CHADEMA kwenda kuwazuia wale askari wasimtoe ndani na kumpeleka nje, kwani walikuwa wanatekeleza amri ya kiti; Mtoeni nje muingize ndani! Askari walitekeleza kinyume chake! Lol!

Swali: Je kama hatufahamu kiswahili kwa kiasi hiki, kiingereza tutakiweza? Hapa naungana na wale wanaosema kiswahili kiwe ni lugha ya kufundishia mpaka mwisho wa darasa!

Hiyo janja ya nyani. Semantic ya std 7
 
Hili ni jukwaa la lugha. Kinyume cha hapo, neno "Toka nje" wote wanalifahamu kama "Go out" ila tukirudi kwenye jukwaa la lugha, hayo ndiyo yanayojitokeza. Hata hivyo, spika kama angejua, asingewatoa nje, kwa kuwa kuwatoa nje wabunge wa upinzani kwao ni kuwapandisha chati, kwa kuwa muda huu wa siku tano sasa wameamua kuzunguka na kujieleza jinsi ambavyo kiti cha spika kisivyotenda haki kwa upinzani, na naamini wananchi wanawaelewa sana. Ki-ufupi, spika anachangia kukiua chama. Wapinzani wangeachwa wakasema wanavyoweza, na mawaziri wakaendelea na hoja zao bila jazba, nadhani wananchi wangefika wakati wakapuuza hoja za wapinzani, na chama kingeendelea kuimarika.
 
HA HA HA HA TOkA NJE! ! ALITAKIWA KUSEMA NENDA NJE YA JENGO LA BUNGE
 
Wataalamu wa lugha yetu adhimu watuambie maana ya neno "Toka nje"

Mimi nijuavyo "kutoka nje" ni kinyume cha "ingia ndani". Hivyo sikumshangaa Tundu Lissu kumshangaa J. Ndugai alipotamka "...Tundu Lissu toka nje..." Sasa atoke nje aende wapi wakati alikuwa tayari yumo ndani ya ukumbi?Wale askari walivyo ambiwa "Askari mtoeni Tundu Lissu nje" nao bila kuelewa vizuri wakaenda kumshinikiza Lissu aende nje. Wao walitakiwa waulize kama Mh. Lissu anatakiwa atolewe ndani ya ukumbi au la!

Hivyo sioni kosa la Tundu Lissu wala wabunge wa CHADEMA kwenda kuwazuia wale askari wasimtoe ndani na kumpeleka nje, kwani walikuwa wanatekeleza amri ya kiti; Mtoeni nje muingize ndani! Askari walitekeleza kinyume chake! Lol!

Swali: Je kama hatufahamu kiswahili kwa kiasi hiki, kiingereza tutakiweza? Hapa naungana na wale wanaosema kiswahili kiwe ni lugha ya kufundishia mpaka mwisho wa darasa!
Aksante sana mkuu kwa kuwakumbusha wale wanaochukulia bora liende kama walivoipotosha jamii kwa kufanya SHIKAMOO ile ni salamu tena ya kuonesha heshima.
 
Ngoja nikupe darsa la lugha kidogo.
Katika lugha ya kiswahili kuna Uhusiano mbali mbali wa sentensi katika kiwango cha maana. Uhusiano huu waweza kuwa wa Usawe, Utata, Ukinzani, Upotoo nk.
Katika hii sentensi ilyotoka 'toka nje' inahusiana zaidi na utata.
Utata ni ile hali ya Sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Ambao nao umegawanyika katika sehemu mbili kuu. Utata wa Kileksika na Utata wa Kimuundo.
Sentensi tajwa imo katika Utata wa Kimuundo ambao mara nyingi huhusika na mpangilio wa Sentensi.
'Toka nje' sentensi hii ina utata ambao kimuundo waweza pata maana
1. Toka nje uongie ndani
2. Toka ndani uende nje
Ili kupata maana ya tungo hii mtu inatakiwa azingatie muktadha wa kimazungumzo.
*Muktadha maana yake ni mazingira ambayo mazungumzo hufanyika.
Kimuktadha, Tundu alikua ndani na aliambiwa atoke nje. Katika hali halisi ni mtu mkorofi tu ama juha ambaye anaweza kufikiri kwamba ameambiwa atoke nje aingie ndani ilihali muktadha wa kimazungumzo ni ndani.
Hivyo basi, kwa mtu muelewa kama Lissu, hiyo sentensi ilikua haina shida na ilieleweka kabisaaa, labda kama kulikua na sababu nyinginezo.

Hawa bado wadogo. Wakikua wataacha. Lissu tangu afiwe na Wambali, akili yake haijakaa sawa na ukichanganya na pschitriac issue aliyona, ndo kabisa.
 
maskini watanzani mbululas waliochagua mambulula watuongoze...kiswahili hawajui,kiingereza matatizo...wanajua nini??2015 campaigns turudishe midahalo ndo tutawakamata wakina nanhi
 
Hawa bado wadogo. Wakikua wataacha. Lissu tangu afiwe na Wambali, akili yake haijakaa sawa na ukichanganya na pschitriac issue aliyona, ndo kabisa.

jadili mada sio mtu? shame on you vichwa kama vyako million ni kichwa cha Dr.Lissu!!!nimemtunukia udaktari wa falsafa!
 
Ngoja nikupe darsa la lugha kidogo.
Katika lugha ya kiswahili kuna Uhusiano mbali mbali wa sentensi katika kiwango cha maana. Uhusiano huu waweza kuwa wa Usawe, Utata, Ukinzani, Upotoo nk.
Katika hii sentensi ilyotoka 'toka nje' inahusiana zaidi na utata.
Utata ni ile hali ya Sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Ambao nao umegawanyika katika sehemu mbili kuu. Utata wa Kileksika na Utata wa Kimuundo.
Sentensi tajwa imo katika Utata wa Kimuundo ambao mara nyingi huhusika na mpangilio wa Sentensi.
'Toka nje' sentensi hii ina utata ambao kimuundo waweza pata maana
1. Toka nje uongie ndani
2. Toka ndani uende nje
Ili kupata maana ya tungo hii mtu inatakiwa azingatie muktadha wa kimazungumzo.
*Muktadha maana yake ni mazingira ambayo mazungumzo hufanyika.
Kimuktadha, Tundu alikua ndani na aliambiwa atoke nje. Katika hali halisi ni mtu mkorofi tu ama juha ambaye anaweza kufikiri kwamba ameambiwa atoke nje aingie ndani ilihali muktadha wa kimazungumzo ni ndani.
Hivyo basi, kwa mtu muelewa kama Lissu, hiyo sentensi ilikua haina shida na ilieleweka kabisaaa, labda kama kulikua na sababu nyinginezo.

Umetumia akili kubwa mno kumsaidia mpuuzi kuelewa, hawa size yao ni Fwaki yuuu ndio akili zinawakaa sawa.
 
Ngoja nikupe darsa la lugha kidogo.
Katika lugha ya kiswahili kuna Uhusiano mbali mbali wa sentensi katika kiwango cha maana. Uhusiano huu waweza kuwa wa Usawe, Utata, Ukinzani, Upotoo nk.
Katika hii sentensi ilyotoka 'toka nje' inahusiana zaidi na utata.
Utata ni ile hali ya Sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Ambao nao umegawanyika katika sehemu mbili kuu. Utata wa Kileksika na Utata wa Kimuundo.
Sentensi tajwa imo katika Utata wa Kimuundo ambao mara nyingi huhusika na mpangilio wa Sentensi.
'Toka nje' sentensi hii ina utata ambao kimuundo waweza pata maana
1. Toka nje uongie ndani
2. Toka ndani uende nje
Ili kupata maana ya tungo hii mtu inatakiwa azingatie muktadha wa kimazungumzo.
*Muktadha maana yake ni mazingira ambayo mazungumzo hufanyika.
Kimuktadha, Tundu alikua ndani na aliambiwa atoke nje. Katika hali halisi ni mtu mkorofi tu ama juha ambaye anaweza kufikiri kwamba ameambiwa atoke nje aingie ndani ilihali muktadha wa kimazungumzo ni ndani.
Hivyo basi, kwa mtu muelewa kama Lissu, hiyo sentensi ilikua haina shida na ilieleweka kabisaaa, labda kama kulikua na sababu nyinginezo.

Kwa hiyo unakubali kuwa ile ni TUNGO TATA..! Hii maana yake kwamba, inategemea na mlengwa atakavyo itafsiri sentesi hiyo! Ukienda kisheria ndugu yangu unaweza kushindwa kesi mapema asubuhi kwa kulazimisha tafsiri isivyo. Kila wakati tunawasikia wanasiasa wakikana kauli zao kwa kusema, "waandishi wameninukuu vibaya au hawakunielewa...!" hii yote ni namna ya kukwepa ukweli wa matamshi yake. Lisu ni Mwanasheria aliyebobea hawezi kuingia mkenge kwa kiswahili mbofu mbofu unayoitoa wewe. Kumbuka kesi ya Uhaini enzi za Mwl. Mwanasheria Lakha aliwatoa knock out wanasheria wa serikali na mkuu wa majeshi kwa sababu kiswahili ilikuwa tabu kwao!
 
Back
Top Bottom