- Thread starter
- #141
Walishafukuzwa chama kitambo wamebaki ni wabunge wa Dr TuliaKwa hiyo Covid 19 ni rukra, au sielewi?
Upande wetu haramu ni haramu tu.
Walishafukuzwa chama kitambo wamebaki ni wabunge wa Dr TuliaKwa hiyo Covid 19 ni rukra, au sielewi?
njaa haina baunsaSo uchaguzi wa 2020 ni halali ama sio halali? Ruzuku inatokana na kina Mdee? So ni wabunge halali?
Hapa kuna ukakasiNdio maana yake
Unauliza ujinga kwa lemaKwahiyo covid-19 wanatambulika na chadema?
Hiyo kauli kama imetoka Kwa Tundu ujue wana tofauti zao huko za hela na mwenyekiti wao, sasa anataka wananchi wajue, ye hajuagi kama chama ni cha familiaMakamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huu uliopita.
Makamu huyo nguli wa sheria na siasa bora Tanzania ametumia nafasi hiyo kuwapongeza watanzania waliokiunga mkono chama hicho kikiwa katika hali ngumu ya kifedha.
"Wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."
===
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kupokea ruzuku waliogoma kuichukua baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Uthibitisho huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu leo Jumapili, Machi 05, 2023 wakati akijibu maswali kwenye hadhara iliyofanyika kwenye mtandao wa Clubhouse.
“Chama (Chadema) kimeanza kupokea ruzuku mwezi huu (Machi) ambayo hatukuichukua tangu ulipofanyika uchaguzi mkuu wa 2020
“Tumepokea sehemu tu ya pesa hizo na kiasi kilichosalia tutapewa siku za usoni. Tumeamua kuichukua kwasababu ya ahadi ya maridhiano yanayoendelea,” alisema Lissu
Hata hivyo mwanasiasa huyo alisema hivi karibuni Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika au Mwenyekiti, Freeman Mbowe atatoa taarifa rasmi.
Chadema iligoma kuchukua ruzuku hiyo inayokadiriwa kuwa ni zaidi ya sh. Milioni 110 baada ya kukataa matokeo ya uchaguzi waliyodai haukuwa uchaguzi bali ulikuwa ni uchafuzi.
Kwenye kauli za chama hicho walisikika wakisema kuwa wanaukataa uchaguzi na mazao yake.
Ikumbukwe chama hicho pia kilikataa kupeleka wabunge wa viti maalum bungeni kwa sababu ya kutoutambua uchaguzi huo.
Hii ni hatua nyingine ya matunda ya maridhiano yanayoendelea baina ya chama hicho na Serikali.
SawaKathibitisha badala kadhibitisha, sasa umefurahi! Pesa zile serikali ilikuwa inataka wazichukue ili watimize lengo lao batili ila Chadema walizikataa, kama sasa wamezichukua hii inatokana na maridhiano na maridhiano si dhambi kwa waungwana na si utashi wa upande mmoja, baada ya maridhiano yaliyopita yamepita huwa hayarejewi.
Mkuu unahitaji kupata elimu ya namna ruzuku inavyopatikana. Japo inawezekana ukweli unaufahamu ila maandishi yako yanalenga kusukuma hoja fulani dhaifuSo uchaguzi wa 2020 ni halali ama sio halali? Ruzuku inatokana na kina Mdee? So ni wabunge halali?
Usiangalie umri wa Jo bado anaviashiria vingi vya kitotoJo unatia aibu kwa kijadili vijineno vya kitoto!