Tundu Lissu avurugwa.


Intarahamwe mmevurugwa....
 
Huyu jamaa huwa yule mtu wa iramba akisema kitu, lazima akipaishe humu! Nadhani kuna tatizo sehemu!
 

Dada umenikuna mpaka basi. Unapotumia ubongo kikamilifu katika mambo serious kama haya, hata Mungu anatabasamu na kufeel proud.
 
Hakuna siri Nyerere na Karume ndiyo waliomua Kassim Hanga.

Unajua wewe Ritz na FaizaFoxy mnanikosha kweli leo, unajua vyama visitufanye kuwa watumwa wa kutetea kila kitu hata kama kina madhara kwa binadamu.
Hongera kwa kuwa huru kwa kuusema na kusimamia ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Hongereni kwa ritz na faizafoxy kwakubali ukweli nakutetea ukweli...hongereni sna
 
wewe bibi siku familia yako itakapozikwa hai na wale wazee wa mabwepande ndio utaacha kutetea uovu eti ilimradi tu unalipwa buku sabau pale lumumba!!!!shame on you.
Possibly atakuwa kabaki mwenyewe na hivyo chochote atakachofanya hakitosaidia sana..na mkandamizaji atakuwa na nguvu na uhuru usio na kifani kumuadhibu na kucheza na uhai/utu wake apendavyo.
 
MwanaDiwani,

Mbona hujagusia hoja za akina Kassim Hanga na wenzake aliowataja Tundu Lissu kwa majina? wako wapi?

Habari za kina Hanga?

Yelena Khanga - Wikipedia, the free encyclopedia

pia tafuta kitabu cha Issa bin Nasser- Zanzibar: Kinyang'anyiro na Utumwa, kinaongea vizuri kuhusu kilichowakuta kina Hanga Kassim na wenzao.

pia unaweza kusoma posti hii:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...jua-kuhusu-kassim-hanga-na-othman-sharif.html

Halafu tafuta kitabu cha Dkt. Harith Ghassany-Kwa heri ukoloni , kwa heri uhuru. Tafadhali fuata link hapo chini kudownload:

Free Downloading ya Kitabu | Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!


Hizo zote ni historia hai za Zanzibar, ingawa kizazi cha sasa ni ngumu kuijua. Na wala haiishii Zanzibar. Hata Tanganyika ina mambo mengi ambayo masikio ya wananchi wa kawaida haijawahi kuyasikia! Na kama kuna anayeamini kwenye utakatifu wa viongozi....mimi siyo mmojawao kwani mengine yalitokea nikiwa na akili zangu zote.
 
Hilo si lingeulizwa Baraza La Wawakilishi, au kule kwa Karume.
Amani si bado yupo.
Lissu hana akili sana na ukimfuata unaonekana sawa naye.
Kwanini haulizi Dedan Kimathi kaburi lake liko wapi?
Kwani Dedan Kimathi naye alikuwa Mtanzania?
 
Jaman huyu Mama FaizaFoxy leo ananipa raha sana.
Wale Nyumbu wa lumumba ambao wao kila kwao ni sawa tu so long as CCM Lumumba imesema leo Povu limewaisha kabisa na Mpaka.mtoke damu puani.
Cc MwanaDiwani, Lizaboni MWALLA ifweero, abakorakam
Kabla sijamuelewa Faiza Foxy nilikuwa namchukia sana! nilikuja kujilaumu sana kwamba sikumtendea haki mama huyu. Mama huyu husimamia ukweli daima hata kama unaumiza. Tangu hapo namheshimu sana. Kunasiku aliwahi kuwazukia hata watu wanaojidai ni watetezi wa uislam wakati wamebeba ajenda zao binafsi.
 

Mkuu,
Hata mimi aisee. FaizaFoxy. Tafadhali Mama ninaomba niku PM tuandae kaji date nikupige hata Beer Mbili tatu za Samahan kwa Makwaz yote niliyokukwaza hapa Jukwaan.
Natanguliza shukran
 
Last edited by a moderator:

HAPA NI AKILI NDOGO NDIYO INAYOSUMBUA!

Wakati anayasema haya, Tundu Lisu alinukuu kitabu ambacho kipo mitaani siku nyingi sana. Hivi ndo kusema kitabu hicho walikuwa hawajakiona hadi kumjia juu hivi? Kwa nini huyo mwandishi hakujibiwa mara tu alipotoa chapisho la kitabu hicho?
Huyu anayejiita mtoto wa Hanga kama kweli ana uchungu na mzee Hanga alikuwa wapi siku zote asitoe ufafanuzi huu baada tu ya chapisho la kitabu?
 
Siku nyingine huwa unanifurahisha sana kwa hoja zako zilizotulia dhidi ya chama chenu cha MACCM, natamani ungekuwa hivi kila siku iendayo kwa Muumba wetu ili uhoji mengi sana ambayo ni kero kubwa sana kwa Watanzania walio wengi, hongera zako.


 
Hakuna siri Nyerere na Karume ndiyo waliomua Kassim Hanga.
lazima watu kama lisu wawepo kuchokonoe mambo haya magumu ili ukweli uanikwe,children lost fathers,mothers lost sons!!!halafu wanapigiana upatu wa utakatifu,..binadamu wana mahaba ya ajabu sana kama wewe na magamba...hivi kuna binadamu mtakatifu duniani!!
 
Siku nyingine huwa unanifurahisha sana kwa hoja zako zilizotulia dhidi ya chama chenu cha MACCM, natamani ungekuwa hivi kila siku iendayo kwa Muumba wetu ili uhoji mengi sana ambayo ni kero kubwa sana kwa Watanzania walio wengi, hongera zako.
mkuu reserve your hongeraz,mimi mwenyewe nimekubaliana na hoja zake nyingi humu lakini black widow ukimsoma kwa makini utagundua she has got her revenge,ukitaka kumkata stimu chezea imani yake ndio utajua msimamo wake...apart from that ametetea utu leo lakini sijawahi kuona akitetea rasilimali za taifa(hapa huwa ana-side na ustaadh kikwete hata kwenye makosa)
 
Tatizo lake FF ni Mdini na anasujudu Waarabu. Hapa Muarabu hata awabake watoto wenu, yeye ataendelea kumtetea Muarabu na kuwakandamiza watoto wenu. Atakuja na maneno kama "watoto wenu waliomba kubakwa" au "walivaa nguo fupi" nk nk
Kwa hili tuko naye kwa sababu Nyerere na Karume waliwauwa hawa Waarabu waliouza Mababu zetu utumwani na kututawala. Ila huyu huyu kesho ataanza kumtukana Lissu kwa kuishambulia CCM.


Mkuu,
Hata mimi aisee. FaizaFoxy. Tafadhali Mama ninaomba niku PM tuandae kaji date nikupige hata Beer Mbili tatu za Samahan kwa Makwaz yote niliyokukwaza hapa Jukwaan.
Natanguliza shukran
 
Reactions: BAK
Bak, nisome hapo juu. Huyu Mjane yeye hasira zake ni Nyerere na Karume kuuwa Waarabu, basi.

Akipita aone Muaraabu anampiga mwanao wa miaka 8, ndiyo kwanza atatafuta fimbo aje amuongezee kipigo.

Tupigane kivyetu bila ya kumuhusisha huyu Kikongwe class mate wake Jaji Warioba.

Siku nyingine huwa unanifurahisha sana kwa hoja zako zilizotulia dhidi ya chama chenu cha MACCM, natamani ungekuwa hivi kila siku iendayo kwa Muumba wetu ili uhoji mengi sana ambayo ni kero kubwa sana kwa Watanzania walio wengi, hongera zako.
 
Reactions: BAK

kuweka rekodi sahihi, mkuu ufute msitari wa mwisho , hauna maana kisheria , iyo statement iko vague na inatofautiana kwa kila seti ya kesi...mengine mnaweza kuendelea kubishana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…