masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,408
- 14,113
Kwani Dedan Kimathi alikuwa Mzanzibari?Kwahiyo Dedan Kimathi aliwakomboa wa Zanzibari?
Kwani Dedan Kimathi alikuwa Mzanzibari?Kwahiyo Dedan Kimathi aliwakomboa wa Zanzibari?
kwani na huyu alikuwa anahoji muungano wa tanganyika na zanzibar?Hilo si lingeulizwa Baraza La Wawakilishi, au kule kwa Karume.
Amani si bado yupo.
Lissu hana akili sana na ukimfuata unaonekana sawa naye.
Kwanini haulizi Dedan Kimathi kaburi lake liko wapi?
kuna kabila nyibgi TZ hawajawahi kutoa rais wala waziri mkuu Zanzibar wamepata hiyo nafasi hii sio hoja wana siasa wanakuongopea na wewe unakurupuka tu
Dada kwa hilo hakuna hatakaye jibu,umeuliza vitu vigumu sana.wanaposema Lisu mwongo wajibu hili tujue uongo wake kuhusu akina Kassim Hanga.Ndoyo maana tunasema kuwa Damu ya Mtu ni Nzito na inanena yameibuka ya kina Hanga,watasema upepo utapita ndiyo majibu yao.Sijaona hizo hoja zinazowahusu akina Kassim Hanga kujibiwa, Jee, ni kweli waliuliwa na kuzikwa kwenye handaki moja na Nyerere na Karume?
Itakuwa ni kutetea maovu kama CCM na Serikali haijajibu hoja hizo na kuusema ukweli. Hazifai kupuuzwa hata kidogo.
mkuu ulikuwa na point ila kinachokuaribia ni infiriorty ya udini. ila nikusaidie tu kuwa hizi dini ni (uisilam na ukristo) ni tamaduni za kigeni na kinachomata ni uaminifu wako na unayemwamini tu.
Ushaniharibia siku.
Mwigulu ni jizi,atuambie wapi zipo bilioni 200 yeye kama waziri wa fedha na signatory wa akaunti za selikali. CCM ni ukoo wa panya.
Hili la Billion 200 usichanganye na hili linalojadiliwa hapa. Hilo la fedha limeshatolewa uamuzi bungeni na kinachongojwa ni uchunguzi wa kina wa CAG, PAC na TAKUKURU. Hivyo ni vyombo vitatu na kila kimoja kitakuwa na report yake. Tusiwe wajinga kwa kupoteza muda kuongolea mambo ambayo huwezi kuyapatia ufumbuzi mpaka report za uchunguzi zikamilike.
Tulikuwa tunataka na hili la akina Hanga liundiwe tume huru iubaini ukweli, la sivyo halitaisha hili leo wala kesho na litasababisha maafa makubwa sana siku za usoni likikaliwa kimya, si jambo la kupuuzwa hata kidogo.
Nimewauliza ninyi watu wenye upeo finyu mnijibu, kama na huyo jamaa yuko wapi sasa.kwani na huyu alikuwa anahoji muungano wa tanganyika na zanzibar?
Tatizo ni viongozi wa CCM na uroho wa madaraka wanawasahu viongozi Zanzibarar wanapokuwa wanaliibia taifa hoja za kwa nini Rais au IGP hajatoka wapi ni za watu wachache ili na wao wapate kuliibia taifa, CCM na wapinzania wamekua wanafiki kwenye hili, mwananchi wa kawaida Rais akitokea Z'bar inamsaidia nini? acha ushabiki, Ndani ya muungano wananchi wa kawaida wamenufaika sana,na hasa wa ZanzibarMnaona makosa mnayofanya? Haya ndio haswa yanawaudhi wazanzibari! Yaani kwako zanzibar ni sawa na mkoa tu! Hujui zanzibar ni nchi? Na ina hadhi tofauti kabisa na mikoa ya tanganyika? Mtauteteaje muungano ambao upande mmoja tu ndio una haki ya kutoa viongozi wakubwa huku upande mwingine ukiwa watazamaji? Chochote zanzibar wananchopata katik huu muungano ni kwa hisani tu ya viongozi na wala sio kikatiba. Hivi baada ya mkapa, kikwete, sasa CCM mtadhubutu kuweka rais mwingine kutoka tanganyika kana kwamba zanzibar hakuna mwenye uwezo wa kuwa rais? Hii itadhibitisha kwamba CCM munaangalia zaidi madaraka lakini sio usawa katika muungano!
Hili la Billion 200 usichanganye na hili linalojadiliwa hapa. Hilo la fedha limeshatolewa uamuzi bungeni na kinachongojwa ni uchunguzi wa kina wa CAG, PAC na TAKUKURU. Hivyo ni vyombo vitatu na kila kimoja kitakuwa na report yake. Tusiwe wajinga kwa kupoteza muda kuongolea mambo ambayo huwezi kuyapatia ufumbuzi mpaka report za uchunguzi zikamilike.
Tulikuwa tunataka na hili la akina Hanga liundiwe tume huru iubaini ukweli, la sivyo halitaisha hili leo wala kesho na litasababisha maafa makubwa sana siku za usoni likikaliwa kimya, si jambo la kupuuzwa hata kidogo.
Suala la kuunda tume kuchunguza suala la kuuwawa kimafia watu waliokuwa wanamawazo tofauti juu ya muungano,ni kitu ambacho selikali iliyopo madarakani ije kutoka ndipo kitafanyika!! Selikali yako tukufu haiwezi kulifanya hilo!
Tundu Lisu ni Kichaa, mwendawazimu, Zimwi, Shetani, baladhuri, Kenge, gaidi, ibilisi, Lucifa, Jambazi la kisiasa, mzee wa gubu, mbw mwitu.
Uliona wapi hayo maneno hata wewe ukaiga kuyaandika?
SERIKALI,,haya mama mzazi! lakini kiukweli kabisa suala la tume itakuwa ngumu kwa selikali ya CCM kulifanyia kazi!! Asante kwa usahihi.
Hoja za lissu hazijawahi kujibiwa kamwe na mainterahamwe, zaidi ya kumshambulia yeye binafsi! Lissu bado ni mwiba mkali umagambani na interahamwe kiujumla!
Yale yale.