mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Nimefungua hii thread kutaka kujua Tundu Lissu amesema nini? Cha ajabu nakuta story nyingine kabisa, kulikoni?
Kumbe sikuwa peke yangu.
Nimefungua hii thread kutaka kujua Tundu Lissu amesema nini? Cha ajabu nakuta story nyingine kabisa, kulikoni?
Kweli nimeamini watanzania wanafiki. Wanalalamika serikali dokozi halafu wao wenyewe wanaomba rushwa!!!! Je tutafika. Anzeni wenyewe wapinzani kuwa waadilifu mtapata nguvu ya kuiangusha serikali dokozi. Vyenginevyo mnampigia mbuzi gitaa bure!!!!
Nashauri mmoja wa wabunge wa CHADEMA aanzishe hoja ya kutokuwa na imani na serikali ili tupembue mchele na chuya kutoka wabunge wa CCM kama hasira wanazoonyesha ni za kweli au wanatupiga changa la macho?
Una ushahidi wa hayo mameno yako au unabwabwaja bwabwaja tu hapa. Kila siku ushahidi unapelekwa bungeni na kamati za bunge pamoja na AG kwamba watumishi wa serikali na viongozi wao wanaiba pesa za umma. Wewe ushahidi wako nini? Kajipange upya
katiba mpya itamke wazi siruhusa mwana ccm kugombea cheo chochote ktk jamhuri yetu!miaka 51 hawajafanya lolote
Nimeguswa kwa namna ya pekee na hoja aliyoiwasilisha Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Mhe. Tundu Lissu alipokuwa anachangia hoja Bungeni. Ni kweli, kila kukicha tumekuwa tukisikia ripoti za wizi wa kutisha unaofanywa na serikali yetu dokozi "Creptocrosy Government". Serikali yetu imejipambanua kama serikali dokozi kwa utaratibu wake wa kukumbatia majizi, mafisadi na mahujumu uchumi ya nchi. Ni wizi kila wizara. Je, kwa mfumo huu wa serikali Dokozi tutafika?????Serikali yetu inasifa gani basi ya kutufanya tuendelee nayo????Maendeleo hakuna, Hela haina, wizi kila kukicha, Rasilimali zinaibwa je kazi ya serikali ni nini basi???kwa nini tuendelee nayo ilhali haitunufaishi???jaman kwa serikali hii dokozi 2015 ni mbali sana.
Suala wabunge kulalama badala ya kuisimamia na kuiwajibisha serikali je tutafika????Mimi nadhani ifike mahali wananchi tufanye maamuzi magumu ya kuikomboa nchi yetu. Hii ni nchi yetu sio ya CCM. Kwa kuwa kazi kuu ya Mbunge ni kuwakilisha hoja za wapiga kura wake Bungeni, mimi nadhani tuwaite wabunge wetu majimboni tuwatume wakapige VOTE OF NO CONFIDENCE kwa serikali hii dokozi huko Bungeni. Mbunge atakayekiuka agizo hili la wapiga kura wake basi atafute wapiga kura wa kuwawakilisha huko Bungeni. Hatuwezi tukafika kwa utaratibu huu wa kipumbavu.
Aidha, Katika katiba mpya inabidi wananchi tujipe nguvu ya kuiwajibisha serikali hasa kwenye suala zima la vote of confidence mana naona wabunge katika hili wanatusaliti.
Wewe vipi? hukusikia jana William MAlecela a.ka the mutuz alivokuwa akisema ! inawezekana wapinazni either wametoa rushwa au wamepokea hilo ni wazi ! na yeye akasema haamini ! wewe upo wapi?
Nimefungua hii thread kutaka kujua Tundu Lissu amesema nini? Cha ajabu nakuta story nyingine kabisa, kulikoni?
Nimefungua hii thread kutaka kujua Tundu Lissu amesema nini? Cha ajabu nakuta story nyingine kabisa, kulikoni?
Kweli nimeamini watanzania wanafiki. Wanalalamika serikali dokozi halafu wao wenyewe wanaomba rushwa!!!! Je tutafika. Anzeni wenyewe wapinzani kuwa waadilifu mtapata nguvu ya kuiangusha serikali dokozi. Vyenginevyo mnampigia mbuzi gitaa bure!!!!
Nashauri mmoja wa wabunge wa CHADEMA aanzishe hoja ya kutokuwa na imani na serikali ili tupembue mchele na chuya kutoka wabunge wa CCM kama hasira wanazoonyesha ni za kweli au wanatupiga changa la macho?
endelea kutuletea manews mkuu maana wengine tupo kwenye kupiga box sasa hv