Iramba Junior
Member
- Apr 2, 2012
- 98
- 26
Hili linatakiwa lifanywe na Zitto atakapohitimisha hoja yake. Aweke motion ya kutokuwa na imani na serikali kisha wabunge wa CDM wasibweteke wasimame kuunga mkono tuone kama magamba wataunga mkono? na wananchi waone nani kweli anawatetea.
Naamini Zitto is one of good members wa hapa jamvini, otherwise, kwa wale wenye contacts zake kama e-mail mobile number etc wamjulishe haraka kuhusu hii idea inawezekana jamaa akawa very busy na isiione hii comment hadi siku ambayo atakuwa anafunga mjadala! Please please wadau this is very importnat kujua nani ni mnafiki na nani mkweli!