usininukuu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 380
- 44
Vijana tunaotoka ktk majimbo ambayo CCM ilishinda tujipange kuwang'oa kwa kuandaa majembe mengine kama Mh. Lisu.
Huyu jamaa nimeamini kweli ni jembe ndiyo maana wanafanya wawelalo ili watengue ubunge wake.kila mwaka ripoti ni ile ile hakuna anayechukuliwa hatua,kama kweli wabunge wa ccm walio wengi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.
Hawana mamlaka hiyo, ila wanayo ya waziri mkuu....
hakuna mbunge wa ccm atakayepiga hiyo kura kaka,kumbuka hata spika hiyo hoja hataisoma maana wote ni wana ccm,kila wanachofanya pale wanakuwa wameshapanga kwenye chama,yaani ni kitu kisichokuwepo alafu hii tabia ya ccm kumfanya rais awe mwenyekiti wa chama ndio wameharibu kabisa ,maana hata akitoka vitafanyika vikao vya chama kuangalia anayefaa utamjibu nini m/kiti wako?yaani haiwezekani na ni ngumu kama jiweNashauri mmoja wa wabunge wa CHADEMA aanzishe hoja ya kutokuwa na imani na serikali ili tupembue mchele na chuya kutoka wabunge wa CCM kama hasira wanazoonyesha ni za kweli au wanatupiga changa la macho?
Tundu Lissu nilikuwa nammis sana pale mjengoni. Sasa unganisha Tundu Lissu, Zitto na Mnyika... nahisi kama AG atakimbia bungeni