Jinamizi la majini Serikalini lilianzia hapa

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Mh Lissu alisema sana bungeni juu ya huu wizi lkn Serikali yetu ilikaa kimya.

Leo hii wabunge wachache wa CCM iwe kwa kupanga au wameamua kujipambanua ndiyo wanaanza kuona huu wizi?

CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wenye akili na kulitetea taifa.

 
Mh Lissu alisema sana bungeni juu ya huu wizi lkn Serikali yetu ilikaa kimya.

Leo hii wabunge wachache wa CCM iwe kwa kupanga au wameamua kujipambanua ndiyo wanaanza kuona huu wizi?

CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wenye akili na kulitetea taifa.

View attachment 2805548
Aisee ndiyo maana alipigwa risasi kama jambazi kumbe alimchafua rais kwa kumzunguka rais JK ili mabilioni yalipwe, dah vitu vingine huwa tunamsingizia JK bure. Nimeamini JK ni mzalendo sana
 
Serikali imejaa vibaka na wezi, ccm ndo mlezi wa hao vibaka na wezi...kwahiyo tusitegemee kuisha kwa wezi ndani ya serikali maana mlezi wao bado yu hai
 
Back
Top Bottom