Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mh Lissu alisema sana bungeni juu ya huu wizi lkn Serikali yetu ilikaa kimya.
Leo hii wabunge wachache wa CCM iwe kwa kupanga au wameamua kujipambanua ndiyo wanaanza kuona huu wizi?
CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wenye akili na kulitetea taifa.
Leo hii wabunge wachache wa CCM iwe kwa kupanga au wameamua kujipambanua ndiyo wanaanza kuona huu wizi?
CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wenye akili na kulitetea taifa.