only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Kweli watanzania tunayo kazi kubwa ya kuwatoa ujinga watu kama nyie.
Umtoe nani ujinga na elimu yako ya kuungaunga pale magogoni? Kamsaidie Nape kwanza ndio uje kutusaidia great thinkers...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli watanzania tunayo kazi kubwa ya kuwatoa ujinga watu kama nyie.
Bila kujali kwamba Lissua ameshtakiwa kwa nani. Swali la kujiuliza ni kwamba amelipa deni la ahadi zake (maana ahadi ni deni)?
Bwana Green guard, Mbunge wangu wa upinzani kafanya robo ya aliyotuahidi ikiwa na kuanza kuwasomesha watoto wasiojiweza zaidi ya 250, ahadi nyingine ni kujengewa shule ya watoto wenye maisha magumu na sasa zinapigwa mabati,.Magari manne ya ambulance aliyotuahidi yamekuja. Jifunze wingi na umoja pindi unapozungumzia jambo lolote bwana mdogo.Nani ameweza kutekeleza aliyo ahidi? tupe jina kijana
Nani ameweza kutekeleza aliyo ahidi? tupe jina kijana
Ni zipi hizo ahadi alizowaahidi? Maandamano ni haki iliyotolewa kikatiba na usipofanya maandamano hasa kupinga udhalimu wa serilkali za kimafioso utakuwa huitendei wema haki yako kikatiba.Mbunge gani wa upinzani alie weza kutekeleza ahadi zake? Hawa ni domo tu, Lissu yuko busy kwenye maandamano hana muda na jimbo lake.
Kweli watanzania tunayo kazi kubwa ya kuwatoa ujinga watu kama nyie.
Mbunge gani wa upinzani alie weza kutekeleza ahadi zake? Hawa ni domo tu, Lissu yuko busy kwenye maandamano hana muda na jimbo lake.
Ntamaholo na wabunge wa geita wameshtakiwa? Maana nasikia nao ahadi zao hawajatekelezayote tuyasemayo, ni kuwafanya viongozi hawa wawe wajibikaji kwa wananchi walio waajiri. Kama tundu lisu hajarudi hata kusema aksanteni, na kuwa mikakati ya kuwakwamua, bado hajawatendea haki na wanaweza kuamua vinginevyo kumumwaga 2015.
kinachotakiwa tuwasihi hawa wabunge wetu, wasiakae mbali na wapiga kura, wawe na ewgular vist kwao, wakague shughuli za kimaendeleo, watoe miongozo ili wananchi waendelee kuwaamini na waone tofauti ya CCM na vyama vingine hasa CDM.
"Tundulisu ashtakiwa na wapigakura wa kata ya ikungi kwa aliyekuwa mlezi wa mkoa wa singida ambaye kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa pwani mh Mwatumu Mahiza.kisa tangu achaguliwe hajatimiza ahadi hata moja kazi yake kubeba mafail" Angel Akilimal mtangazaji wa redio ya magamba (uhuru)- status yake ya leo hiyo kenye fb page yake.
Naona magamba sasa wameamua kuwashambulia wabunge wa CDM ambapo ndani ya mwaka mmoja wameanza kuwanyooshea vidole wakati wao nadani ya miaka 50 ya uhuru wameifilisi nchi kwa ufisadi na utawala mbovu wenye kuwagawa watz kwa makundi ya aliyo nacho na asiye nacho.
Bila kujali kwamba Lissua ameshtakiwa kwa nani. Swali la kujiuliza ni kwamba amelipa deni la ahadi zake (maana ahadi ni deni)?
Bila kujali kwamba Lissua ameshtakiwa kwa nani. Swali la kujiuliza ni kwamba amelipa deni la ahadi zake (maana ahadi ni deni)?
Kikwete ametimiza ngapi? mbona kigoma ni vichaka ,,dubai ipo wapi? jiji la viwanda tanga? mtwara? acha uzuzu!!!Bila kujali kwamba Lissua ameshtakiwa kwa nani. Swali la kujiuliza ni kwamba amelipa deni la ahadi zake (maana ahadi ni
deni)?
Unajua mtu akiwa mnene sana na uwezo wake wa kufikiri unapungua, sio kosa lake.binafsi nimewahi kukutana na huyu dada Angel na kuchat nae kidogo mambo ya inji hii na wapi tz inaelekea, huyu dada ubongo umeganda kabisaaa...naomba jf member mtafuteni muweze kuongea japo kidogo mambo ya nchi hii,mtashangaa kwa nini ni boc radio uhuru.
Your name suggest ...Mbunge gani wa upinzani alie weza kutekeleza ahadi zake? Hawa ni domo tu, Lissu yuko busy kwenye maandamano hana muda na jimbo lake.