Tundu Lissu ashtakiwa

Tundu Lissu ashtakiwa

Wabongo kwa kupenda vyeo; eti 'mlezi wa mkoa' !!
 
Bila kujali kwamba Lissua ameshtakiwa kwa nani. Swali la kujiuliza ni kwamba amelipa deni la ahadi zake (maana ahadi ni deni)?
Kama ahadi ni deni Kikwete amelipa kiasi gani katika maelfu ya ahadi zake? Je maisha bora kwa kila mtanzania wewe yameshakufikia??
 
Kama kawaida yenu magwanda, mnatetea ujinga. Ukiulizwa mbunge wa CDM amefanya nini wewe unajibu kuwa yeye hana uwezo huo kwasababu yeye ni mwakilishi tu na sio serikali sasa kama yeye sio serikali kwanini anatoa ahadi za kipumbavu?

Kwa upande mwingine mnasema mbunge fulani wa CCM hajafanya chochote kwenye jimbo lake, kwani ubunge unatofautiana? wote si wawakilishi?
 

Nani kashika dola? Acha kuleta upuuzi mkuu,nadhani tuone kwanza JK katimiza nini? zaidi ya kutalii kwenye nchi za watu kama mtalii...
Kama hawezi basi kwanini anatoa ahadi? Au ndio hela za babu wa kihindi ndio zitatumika?
 
Mbunge gani wa upinzani alie weza kutekeleza ahadi zake? Hawa ni domo tu, Lissu yuko busy kwenye maandamano hana muda na jimbo lake.

Kama wabunge wa ccm wangetekeleza ahadi zao hii miaka 50 watoto wetu wasinge kaa chini madarasani wala wake zetu kujifungulia sakafuni. Umeme ungekuwapo watanzania wangeishi kwenye nyumba bora na raisi wetu angenunua suti kwa pesa yake mwenyewe
 
Kweli hao wananchi wa Ikungi ni walevi, inakuwaje wanamshtaki polisi kwa mwizi.... Ilitakiwa wamshtaki huyo mahiza kwa Lissu, au inawezekana ni janja ya magamba kuendelea kutumia neno 'wananchi' vibaya. unaweza kukuta ni jamaa watatu tu lakini wanasema wananchi
 
jimboni kwa lisu alipiga marufuku michango yote ya kijinga..
 
Kama wabunge wa ccm wangetekeleza ahadi zao hii miaka 50 watoto wetu wasinge kaa chini madarasani wala wake zetu kujifungulia sakafuni. Umeme ungekuwapo watanzania wangeishi kwenye nyumba bora na raisi wetu angenunua suti kwa pesa yake mwenyewe
Muulize mzee Mtei, yote haya yametokana na upumbavu wake. Ndio maana nyerere alimfukuza
 
jimboni kwa lisu alipiga marufuku michango yote ya kijinga..
Anapinga kwani yeye serikali? Si wenzako wanasema yeye ni mwakilishi tu, sasa hiyo nguvu ya kupinga mambo ameipatia wapi?
 
Kweli hao wananchi wa Ikungi ni walevi, inakuwaje wanamshtaki polisi kwa mwizi.... Ilitakiwa wamshtaki huyo mahiza kwa Lissu, au inawezekana ni janja ya magamba kuendelea kutumia neno 'wananchi' vibaya. unaweza kukuta ni jamaa watatu tu lakini wanasema wananchi

kabisa inawezekana waliosema ni watatu ikafanywa issue..
 
Mbunge gani wa upinzani alie weza kutekeleza ahadi zake? Hawa ni domo tu, Lissu yuko busy kwenye maandamano hana muda na jimbo lake.

Vp magamba tayari wamesha maliza kutekeleza ahadi walizo ahidi au ndo kutumia uelewa ndogo ya wananchi kuwahadaa. Think twice.
 
"Tundulisu ashtakiwa na wapigakura wa kata ya ikungi kwa aliyekuwa mlezi wa mkoa wa singida ambaye kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa pwani mh Mwatumu Mahiza.kisa tangu achaguliwe hajatimiza ahadi hata moja kazi yake kubeba mafail" Angel Akilimal mtangazaji wa redio ya magamba (uhuru)- status yake ya leo hiyo kenye fb page yake.

Naona magamba sasa wameamua kuwashambulia wabunge wa CDM ambapo ndani ya mwaka mmoja wameanza kuwanyooshea vidole wakati wao nadani ya miaka 50 ya uhuru wameifilisi nchi kwa ufisadi na utawala mbovu wenye kuwagawa watz kwa makundi ya aliyo nacho na asiye nacho.

Tundu Lissu ni Mwanaharakati si Kiongozi hivyo msitegemee chochote Jimboni kwake.
 
Muulize mzee Mtei, yote haya yametokana na upumbavu wake. Ndio maana nyerere alimfukuza

Sasa nimeamini maneno ya crashwise wewe ni Vicky Kamata mgomvi wa Salma. Endelea kutetea ccm na mkulu kwa HALI na mali good lucky!
 
Mbopo bwana he is back to work .Wewe ni mwandishi na kazi yako ni kuwapaa watu habari kwa usawa mbona unahuribiri u CCM humu jamvini vipi utiifu wako kwa kazi yako si ahadi ? Uko wapi sasa ?
 
Mbunge gani wa upinzani alie weza kutekeleza ahadi zake? Hawa ni domo tu, Lissu yuko busy kwenye maandamano hana muda na jimbo lake.

kakaratasi ka ahadi alikaangusha kwenye maandamano arusha..LOL!
 
Wabongo kwa kupenda vyeo; eti 'mlezi wa mkoa' !!

Mwantumu mahiza aliwahindi kuendesha semina ya wakuu wa shule, akasema'' ndg walimu njoo kwangu tuongee nikikubali tunaenda kuliko kuongea na denti'' ushauri mzuri lkn hapohapo kuna w'wake, wazee na vijana, haujui kutoa ushauri kabisa sa sijui analea nn?
 
Back
Top Bottom