hivi wewe ni Mtanzania?kakaratasi ka ahadi alikaangusha kwenye maandamano arusha..LOL!
hivi wewe ni Mtanzania?kakaratasi ka ahadi alikaangusha kwenye maandamano arusha..LOL!
Hana lolote huyo, alikua kazi kubomu Bia pale Babjo bar singida. Ashukuru mungu alipata ubunge lasivyo watu mangemtafuna kwa kupenda pombe ya bure.Tundu Lissu ni Mwanaharakati si Kiongozi hivyo msitegemee chochote Jimboni kwake.
"Tundulisu ashtakiwa na wapigakura wa kata ya ikungi kwa aliyekuwa mlezi wa mkoa wa singida ambaye kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa pwani mh Mwatumu Mahiza.kisa tangu achaguliwe hajatimiza ahadi hata moja kazi yake kubeba mafail" Angel Akilimal mtangazaji wa redio ya magamba (uhuru)- status yake ya leo hiyo kenye fb page yake.
Naona magamba sasa wameamua kuwashambulia wabunge wa CDM ambapo ndani ya mwaka mmoja wameanza kuwanyooshea vidole wakati wao nadani ya miaka 50 ya uhuru wameifilisi nchi kwa ufisadi na utawala mbovu wenye kuwagawa watz kwa makundi ya aliyo nacho na asiye nacho.
Nani ameweza kutekeleza aliyo ahidi? tupe jina kijana
Unadhani huku JF wamejazana watoto?????
Huyu labda alishatekeleza ahadi ya kusinzia bungeni. Huenda hilo ndilo aliwaahidi wapiga kura wake wa Bunda wakamchagua.Stephen Wassira
ndio maana waliwatoa mavi huko Igunga.Wanaharakati wapo Baa-kwa taa
hivi wewe ni Mtanzania?
ndio maana waliwatoa mavi huko Igunga.
Mbona unatapatapa na majina, amua moja basi.
Sema Hawa Ghasia,naona unaharisha tu hapa JF bila hata aibu,hivi watoto na mke wako wanajua mambo unayoyafanya humu JF au wakati unaandika unajificha chumbani....
wanaharakati wapo baa-kwa taa
kama kawaida yenu, semeni mlichofanya nyie.
Mbona unatapatapa na majina, amua moja basi.
yote tuyasemayo, ni kuwafanya viongozi hawa wawe wajibikaji kwa wananchi walio waajiri. Kama tundu lisu hajarudi hata kusema aksanteni, na kuwa mikakati ya kuwakwamua, bado hajawatendea haki na wanaweza kuamua vinginevyo kumumwaga 2015.
kinachotakiwa tuwasihi hawa wabunge wetu, wasiakae mbali na wapiga kura, wawe na ewgular vist kwao, wakague shughuli za kimaendeleo, watoe miongozo ili wananchi waendelee kuwaamini na waone tofauti ya CCM na vyama vingine hasa CDM.
Stephen Wassira
yote tuyasemayo, ni kuwafanya viongozi hawa wawe wajibikaji kwa wananchi walio waajiri. Kama tundu lisu hajarudi hata kusema aksanteni, na kuwa mikakati ya kuwakwamua, bado hajawatendea haki na wanaweza kuamua vinginevyo kumumwaga 2015.
kinachotakiwa tuwasihi hawa wabunge wetu, wasiakae mbali na wapiga kura, wawe na ewgular vist kwao, wakague shughuli za kimaendeleo, watoe miongozo ili wananchi waendelee kuwaamini na waone tofauti ya CCM na vyama vingine hasa CDM.