Sasa kinakushinda kitu gani?Nataman nihame Tanzania, CCM imenichosha. Na sifurahii kuongozwa na mwanamke. Mwanamke kazi yake ni kupika na kulea watoto.. sio kuongoza wanaume na ndevu zao.. Ni aibu hii
Acha dawa imuingie tena. Mama aendelee kukaza tu, hana jipya Huyo,ashakuwa compromised.Wakati akihojiwa na DW!
Tundu lissu kasema! Hakuna ishara yoyote ya mabadiliko iliyopo katika utawala huu, zaidi anahofia kuna dalili za Umagufuli pasipo Magufuli mwenyewe!
Uachiwe wewe una mchango gani?Huyu mtu ni mpuuzi sana!
Yaye aendelee tu kunogeshwa na amstwrdam huko aliko mambo ya tz atuachie sisi wenyewe.
Kwahiyo unataka na mimi nikimbilie kwa wanaume wenzangu ndio uone mchango wangu?Uachiwe wewe una mchango gani?
Kwani ukienda utatwambia?Kwahiyo unataka na mimi nikimbilie kwa wanaume wenzangu ndio uone mchango wangu?
Endeleeni kupiga vigeregere na makofi..Mtu kutoka chama kile kile zao la mfumo ule ule unategemeaje jambo jipya toka kwake? zaidi ya hotuba za maneno matamu hakuna kingine cha maana waimba mapambio watakachofurahia, baada ya siku kadhaa akili zitawarudia.
Upinzani bado sana kuongoza nchi hii, unataka chama akabidhiwe Mbowe na genge lake? Bado sana, suala la Mzee Mdee tu wanalishindwa, wataweza kuongoza nchi?Mtu kutoka chama kile kile zao la mfumo ule ule unategemeaje jambo jipya toka kwake? zaidi ya hotuba za maneno matamu hakuna kingine cha maana waimba mapambio watakachofurahia, baada ya siku kadhaa akili zitawarudia.
Itanoga nikitangza kama hivi anavyofanya huyo LisuKwani ukienda utatwambia?
Jamaa sometimes hawaeleki wanataka nini, unaweza ukadhani upinzani wa tz ni watu wa system pia, upo kuwafurahisha mabeberu, ila nyuma ya pazia ni CCM damu (Rejea Sakata la Slaa, Lowasa, Sumaye, Zitto CDM na sasa ACT na wengineo wengi)Endeleeni kupiga vigeregere na makofi..
Au mmebadili gia tena?
Hawa jamaa huwa siwaelewiEndeleeni kupiga vigeregere na makofi..
Au mmebadili gia tena?
Kibaka kama wewe unapata wapi uhalali wa kumzuia Lissu 'The Great' kutoa mawazo yake?Acha hasira wewe!
Mwambie huyo mtu wako aendelee kula maisha kwa amsterdam huku hana impact yeyote
Hama tu umetoaa hoja za kipuuzi sanaNataman nihame Tanzania, CCM imenichosha. Na sifurahii kuongozwa na mwanamke. Mwanamke kazi yake ni kupika na kulea watoto.. sio kuongoza wanaume na ndevu zao.. Ni aibu hii
Sema mwana katusua kuwa Houseboy wa Masaki si sawa na wa Buguruni. Hakika kweli wote wanaosha magari na kukatia bustani sema huyu wa Masaki anatumia mashine ya umeme na huyu wa Buguruni anatumia kidumu na fyekeo!Uachiwe wewe una mchango gani?
The great.? My footKibaka kama wewe unapata wapi uhalali wa kumzuia Lissu 'The Great' kutoa mawazo yake?