Tundu Lissu anawatisha nini CCM?

Ukiona mtu anakimbilia chooni ujue kabanwa na haja...

CCM imebanwa na haja kubwa... iko tayari ijisaidie kichakani kuliko kuadhirika na uharo hadharani.
Hahahaha walidondoshe tu hilo zigo la tumboni
 
Hakuna anaowatisha ila Tanzania inashangazwa na Vichwa chake kilivyo Debe tupu eti Mtu anakuibia halafu unasema

Mi simwambii wala siendi Popote atanishtaki kudadeki Kama mwanangu natandika Viboko tuu
View attachment 522026
Tundu Lissu anasema "Acacia hakuiba bali alipewa bure na CCM halafu hawa wapenzi wawili wakaanza kuiba pamoja".
Lissu hajakosea kitu!
 
Japo ripoti itapokelewa leo,ila macho yote na masikio yote ni kwa Lissu...
Swali kubwa kwenye vichwa vya watu makini ni:"Lissu atajibuje?atasemaje..."!
Can't wait for that!
Lisu kudandia hoja za magu kunamshusha yeye kama lisu na kumuongezea umaarufu wa kisiasa magufuli
 
Back
Top Bottom