lisu ni mashine ya kutetea wezi wazunguMimi mwenyewe nina kadi ya chama chetu tawala ila LISU ni mashine nyingine, Kwenye ukweli tukubali.
"Nasikia kuna mtu anataka kugombania urais kwenye hiki chama chenu. Sasa msahau mkimchagua mjue sitateua mtu yeyote kutoka TLS never" , John Pombe MagufuliSijawahi Kuona Mwanasheria Bogus kama Tobo Lissu!
Lissu huwezi kumuelewa ukiwa popomaHakuna anaowatisha ila Tanzania inashangazwa na Vichwa chake kilivyo Debe tupu eti Mtu anakuibia halafu unasema
Mi simwambii wala siendi Popote atanishtaki kudadeki Kama mwanangu natandika Viboko tuu
View attachment 522026
wewe mwenye mahabaha na Lissu haujapanua mawazo yako na kutafakari alichokisema Lissu ungekuwa na uwezo wa kutafakari ungetafakari juu ya taifa lako na sio Lissu .......Huyu huyu unayemshangilia ndio huyu huyu alikuwa namba moja kusema Lowassa ni fisadi lakin leo hii anamuona ni malaika .......Huna unachokielewa kwa Lissu zaidi ya kuwa na mahaba na atakachokisema unaona poa tu .....Fikiria Taifa lako kwanzaUwezo wako wa kutafakari na kuelewa hoja za Lisu uko chini sana. Hauko tofauti na washangiliaji wewe. Maana mshangiliaji hahitaji tafakuri ya kina.
Na si kama maroboti tu, napenda kutumia neno Zombie. Kuna wakati unafikiri tunafanya makusudi.blackT yaani watu wamekaririshwa kama maroboti. Lissu huyu huyu ambaye kwenye lile sakata la Agustine Lyatonga Mrema kudaiwa "mkanda wa video" ya watu wa bulyankulu kufukiwa Mashimoni alisimama pamoja na kina Nshala Lugemaliza kuwatetea wananchi. Na yeye na hao wenzake walishambuliwa sana na CCM kwamba wanatisha "wawekezaji" ambao leo hao hao CCM wanawaita wezi, Ajabu kabisa!!
Wewe leo ndio unakurupuka eti unatetea rasilimali za nchi hii, unafiki mtupu. Ninachokiona kwako ni chuki tu dhidi ya Tundu Lisu au uviziaji wa teuzi mbalimbali na si vinginevyo. Hauna hata haya kujilinganisha na Tundu Lisu katika utetezi wa rasilimali za nchi. Wasiwasi wangu ni kuwa wewe ni zao la shule za kata za miaka ya 2010s usiyejua lolote kuhusu historia ya uwekezaji katika sekta ya madini katika nchi hii. Umevalishwa shati la kijani na kofia yake chini ya U UVCCM kisha unakurupuka eti unajua kutetea maslahi ya nchi kuliko Tindu Lisu kumbe unavizia ulaji tu na si vinginevyo.wewe mwenye mahabaha na Lissu haujapanua mawazo yako na kutafakari alichokisema Lissu ungekuwa na uwezo wa kutafakari ungetafakari juu ya taifa lako na sio Lissu .......Huyu huyu unayemshangilia ndio huyu huyu alikuwa namba moja kusema Lowassa ni fisadi lakin leo hii anamuona ni malaika .......Huna unachokielewa kwa Lissu zaidi ya kuwa na mahaba na atakachokisema unaona poa tu .....Fikiria Taifa lako kwanza
Leo tumesahau alivyojitahidi na wenzake wa upinzani huku wabunge wetu (CCM) wakipiga makofi na vigelegele kuwatetea hao hao unaowaita wazungu. Au unafanya makusudi au ulikuwa bado mtoto miaka hiyo au umejitoa network au ndo unakopatia kibaba cha kila siku.lisu ni mashine ya kutetea wezi wazungu
mambo ya zamani hayatusaidiii...tunazungumzia wakati huuLeo tumesahau alivyojitahidi na wenzake wa upinzani huku wabunge wetu (CCM) wakipiga makofi na vigelegele kuwatetea hao hao unaowaita wazungu. Au unafanya makusudi au ulikuwa bado mtoto miaka hiyo au umejitoa network au ndo unakopatia kibaba cha kila siku.
Kama mambo ya zamani hayatusaidii nyie mambo ya Richmond yametokea jana?mambo ya zamani hayatusaidiii...tunazungumzia wakati huu
Sasa hivi kuna Kasuku wengi sana wanaoimba 'lowasa, lowasa, lowasa', kila kukicha hadi wachinjwewewe mwenye mahabaha na Lissu haujapanua mawazo yako na kutafakari alichokisema Lissu ungekuwa na uwezo wa kutafakari ungetafakari juu ya taifa lako na sio Lissu .......Huyu huyu unayemshangilia ndio huyu huyu alikuwa namba moja kusema Lowassa ni fisadi lakin leo hii anamuona ni malaika .......Huna unachokielewa kwa Lissu zaidi ya kuwa na mahaba na atakachokisema unaona poa tu .....Fikiria Taifa lako kwanza
Huna lolote zaidi ya kuwa na mahaba na Tundu Lissu ndio maana unaona kila anachoongea kwako ni sheria na kiko sawaWewe leo ndio unakurupuka eti unatetea rasilimali za nchi hii, unafiki mtupu. Ninachokiona kwako ni chuki tu dhidi ya Tundu Lisu au uviziaji wa teuzi mbalimbali na si vinginevyo. Hauna hata haya kujilinganisha na Tundu Lisu katika utetezi wa rasilimali za nchi. Wasiwasi wangu ni kuwa wewe ni zao la shule za kata za miaka ya 2010s usiyejua lolote kuhusu historia ya uwekezaji katika sekta ya madini katika nchi hii. Umevalishwa shati la kijani na kofia yake chini ya U UVCCM kisha unakurupuka eti unajua kutetea maslahi ya nchi kuliko Tindu Lisu kumbe unavizia ulaji tu na si vinginevyo.
Wana CCM mara zote maneno yao huashiria kumwaga damu. Huwa siwaelewi kabisa!Sasa hivi kuna Kasuku wengi sana wanaoimba 'lowasa, lowasa, lowasa', kila kukicha hadi wachinjwe
kama ni kuhangaika na mavichwa maji mbona hamuhangaiki na mzee matonya!!!Hakuna anaowatisha ila Tanzania inashangazwa na Vichwa chake kilivyo Debe tupu eti Mtu anakuibia halafu unasema
Mi simwambii wala siendi Popote atanishtaki kudadeki Kama mwanangu natandika Viboko tuu
View attachment 522026
Kama hii Ndiyo tafasili yako kwa kile alichosema Lissu !!! Mungu akusimamie, maana mzigo uliobeba ni mkubwa.Hakuna anaowatisha ila Tanzania inashangazwa na Vichwa chake kilivyo Debe tupu eti Mtu anakuibia halafu unasema
Mi simwambii wala siendi Popote atanishtaki kudadeki Kama mwanangu natandika Viboko tuu
View attachment 522026
Sawa mkuu, tutajadili mpaka kesho lakini ushalishwa yamini ngoja nikuacheKama mambo ya zamani hayatusaidii nyie mambo ya Richmond yametokea jana?
Kila asemacho lisu ukweli unabki palepale. Ninyi mnatoa povu mwanasheria wenu anamkubari ndo maana hajawahi kumkosowaSijawahi Kuona Mwanasheria Bogus kama Tobo Lissu!