Matungiza
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 523
- 335
Amewafunika Lowassa na Mbowe, kawaacha kwa mbali sana. Tatizo lake hatokei kwetu.Halina ubishi hilo Mkuu. Watamtukana, watamkejeli, watamtia lupango kwa makosa ya kubambikiwa lakini huyu yumo ndani ya mioyo ya Watanzania walio wengi nchini. Ni shujaa wetu ni hazina kubwa ya Taifa la Tanzania. Tutaendelea kumpenda daima na kumuunga mkono katika mapambano ya kupinga udikteta uchwara nchini.
[HASHTAG]#lissuthegreat2020[/HASHTAG]
\