Mleta hoja anatumia nguvu nyingi Sana kuandika upuuuzi tuVijana wengi na usomi wao watafanya nini kwa uongozi unaoshikiliwa na wenye elimu za mashaka kila watiifu kwa watawala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta hoja anatumia nguvu nyingi Sana kuandika upuuuzi tuVijana wengi na usomi wao watafanya nini kwa uongozi unaoshikiliwa na wenye elimu za mashaka kila watiifu kwa watawala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta hoja anatumia nguvu nyingi Sana kuandika upuuuzi tu
Muogope sana mtu atendaye maovu kwa mgongo wa Mungu,Zamani Kila Mkoa Akienda Alikua Anazungumzia "Bombadia", Siku Hizi Anaongelea "Akashia", Kwani Zile Bombadia Zimepatwa Na Nini?
Kwa mjibu wa twaweza wewe ni kati ya hawa.
Mzee
Mwanamke
Usiye na elimu au unayo ila unatumia kiungo kingine tofauti na kichwa wakati wa kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Bullshit with bulshit.
Tundu Lissu ni katika wanasheria wabovu na wanasiasa wasiokuwa na focus.
Nahisi hajasoma, msomi hafanyi ungedere wa huyu jamaa.
Wakili msomi, mbunge,rais wa TLS.
Bahati mbaya kwangu huyu mtu hafai hata kuwa houseboy.
Khaa,ACT ni wapinzani?
Usalama upo HUKUrekebisha kidogo hapo "vijana wapo nyuma ya Tundu Lissu" kuna usalama ?
Povu lako hili kafulie boksa zako chafu, huna hoja zaidi ya chuki
Ila mkuu wa nchi mstaafu anaweza KUTUKANAccm wanafanya kazi na wapinzani wanaojitambua siyo hawa mburura, style ya chadema ni ileile tangu kipindi cha DR.SLAA hawabadiliki, Zitto kabadili style na Kafulila mpinzani wa kweli anakuja kwenye show .cchadema ni watukanaji hawana staha, huwezi kumtukana mkuu wa nchi bali tafuta njia ya kufikisha ujumbe bila kuumiza upande mwingine. Kama mnajidanganya eti Lissu ana watu hata JPM ana watu nyuma yake.So mnataka nchi isambaratike kwa ujinga wenu.Lazima mkojoleshwe hadi ubungo uwavujie
ccm wanafanya kazi na wapinzani wanaojitambua siyo hawa mburura, style ya chadema ni ileile tangu kipindi cha DR.SLAA hawabadiliki, Zitto kabadili style na Kafulila mpinzani wa kweli anakuja kwenye show .cchadema ni watukanaji hawana staha, huwezi kumtukana mkuu wa nchi bali tafuta njia ya kufikisha ujumbe bila kuumiza upande mwingine. Kama mnajidanganya eti Lissu ana watu hata JPM ana watu nyuma yake.So mnataka nchi isambaratike kwa ujinga wenu.Lazima mkojoleshwe hadi ubungo uwavujie
Lissu yupo vizuri sana ila apunguze kuropoka.
Yupo kundi la wale wanafunzi waliokuwa wakivunja MADIRISHA SHULEUmekula maharage ya wapi?
Kwa kifupi wanaompenda Lissu ni wasomi na wanazuoni.Kama humpendi tunajua upo kundi gani...
Wakiwamo MAWAKILI WA SERIKALIwanaompenda ni wale wapumbavu na malofa(a.k.a nyumbu)
He he he hee,hawa WAPUUZI NI KUWAELIMISHA KWA LUGHA YA PICHA TU.Mkuu naona umeamua kuja kivingine lol! hahahahaha. Imebidi nitabasamu. Ahsante sana Mkuu.
Tumepoteza watanzania takribank 40 ambao hadi sasa hakuna sababu za msingi.Kama una njaa amani is NOTHINGHuyu mtu hana maono kabisa hivyo ni rahisi kutumika na akaivuruga amani ya nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
He he he hee,hawa WAPUUZI NI KUWAELIMISHA KWA LUGHA YA PICHA TU.
May Allah bless Me and You