NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Wanywa pombe na wavuta sigara hasa walioanza wakiwa vijana.
Unakuta hata makazini huku kwenye circle za wale wa 50+, wanaoongozea kufariki na kupata maradhi ni wale wanywa pombe.
Katika maradhi huwa ni matatizo ya vibofu, maini, kisukari, bp, matatizo ya moyo, mapafu, n.k.
Kundi hili pia ukifatilia ndio hufa mapema zaidi
Na pengine hata kwenye dini zinazokataza pombe, wapo wanaokunywa ila kwa wale wanaume wanaosimamia misingi hii unakuta ni kawaida sana kuishi hadi 80 huko
Unakuta hata makazini huku kwenye circle za wale wa 50+, wanaoongozea kufariki na kupata maradhi ni wale wanywa pombe.
Katika maradhi huwa ni matatizo ya vibofu, maini, kisukari, bp, matatizo ya moyo, mapafu, n.k.
Kundi hili pia ukifatilia ndio hufa mapema zaidi
Na pengine hata kwenye dini zinazokataza pombe, wapo wanaokunywa ila kwa wale wanaume wanaosimamia misingi hii unakuta ni kawaida sana kuishi hadi 80 huko