montana zayumba
JF-Expert Member
- Nov 9, 2014
- 225
- 31
Baada ya upepo wa suala la Escrow account kugeuka na undani wa swala hilo kuanza, kujulikana kwa Watanzania,hasa kwamba Fedha ya Umma nikiasi gani,na uhusiano wa Swala la Escrow na Kujiuzulu kwa Waziri mkuu nk,TUNDU LISU na Timu yake wamepoteza hoja na Muelekeo. (Wameingia katika hadithi ya mfa maji)