mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,696
- 105,697
Ujinga wa Watanzania ni huu, KUYAAMINI MAMBO WANAYO YASIKIA BILA KUFANYA UTAFITI.
utazidi kuwa ----, utazidi ishi maisha duni weee kwa kutetea wezi
jiangalie ujirekebishe
Ujinga wa Watanzania ni huu, KUYAAMINI MAMBO WANAYO YASIKIA BILA KUFANYA UTAFITI.
Mtindio wa ubongo!!!
ASHKI MAJNUNI!!!!!!!!!:angry::yell:Baada ya upepo wa suala la Escrow account kugeuka na undani wa swala hilo kuanza, kujulikana kwa Watanzania,hasa kwamba Fedha ya Umma nikiasi gani,na uhusiano wa Swala la Escrow na Kujiuzulu kwa Waziri mkuu nk,TUNDU LISU na Timu yake wamepoteza hoja na Muelekeo. (Wameingia katika hadithi ya mfa maji)
Mtu kama wewe igekua china na uzi wako wa kngese hapa nikunyongwa tu yani unatetea majizi kwa mbwebwe wakati wa tanzania wanapoteza maisha kila kukicha kwa kukosa madawa maospitalin wazee wetu kule kijijini wanakimbizwa kwa ajili ya michango ya mahabari kila kukicha
K##?#@ yaani daah kanuni zinabana humu lkn kwa kifupi kichwan umebeba kinyesi huna adabu kabisa
Ujinga wa Watanzania ni huu, KUYAAMINI MAMBO WANAYO YASIKIA BILA KUFANYA UTAFITI.
Umejiunga JF kutetea wezi wa escrow? Karibu ila acha kutumikia mafisadi kuwa mzalendo.
wewe ni kinda tu huna hoja labda utuambie unafikiri kwa kutumia kiungo gani cha mwili?
utazidi kuwa ----, utazidi ishi maisha duni weee kwa kutetea wezi
jiangalie ujirekebishe
hata kunyamza ni hekma!
Baada ya upepo wa suala la Escrow account kugeuka na undani wa swala hilo kuanza, kujulikana kwa Watanzania,hasa kwamba Fedha ya Umma nikiasi gani,na uhusiano wa Swala la Escrow na Kujiuzulu kwa Waziri mkuu nk,TUNDU LISU na Timu yake wamepoteza hoja na Muelekeo. (Wameingia katika hadithi ya mfa maji)
Hivi mtu anapokuwa anaandika amashirikisha ubongo au inakuwa ni vidole tu? Shame on you! Mlishaambiwa na Werema kichwa kisiwe kwa ajili ya kufugia nywele.
Baada ya upepo wa suala la Escrow account kugeuka na undani wa swala hilo kuanza, kujulikana kwa Watanzania,hasa kwamba Fedha ya Umma nikiasi gani,na uhusiano wa Swala la Escrow na Kujiuzulu kwa Waziri mkuu nk,TUNDU LISU na Timu yake wamepoteza hoja na Muelekeo. (Wameingia katika hadithi ya mfa maji)
Baada ya upepo wa suala la Escrow account kugeuka na undani wa swala hilo kuanza, kujulikana kwa Watanzania,hasa kwamba Fedha ya Umma nikiasi gani,na uhusiano wa Swala la Escrow na Kujiuzulu kwa Waziri mkuu nk,TUNDU LISU na Timu yake wamepoteza hoja na Muelekeo. (Wameingia katika hadithi ya mfa maji)