Tundu Lissu afanywa Mtaji na Vijana wa CHADEMA?

Tundu Lissu afanywa Mtaji na Vijana wa CHADEMA?

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,278
Reaction score
13,703
Zimetoka Tshirt zinaonesha picha ya Tundu Lissu na Ujumbe unaohusiana na Kesi yake zinauzwa kila moja TZS. 15,000/= haifahamiki hizo pesa za mauzo zinaenda wapi lakini pia BAVICHA hawana akili ya ku question mambo ambayo ni critical ila wanaweza kuelekeza Matusi ya kila aina kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan.


NB: Nunueni ila tafuteni nchi ya kuzivalia.
IMG_1313.png
 
Zimetoka Tshirt zinaonesha picha ya Tundu Lissu na Ujumbe unaohusiana na Kesi yake zinauzwa kila moja TZS. 15,000/= haifahamiki hizo pesa za mauzo zinaenda wapi lakini pia BAVICHA hawana akili ya ku question mambo ambayo ni critical ila wanaweza kuelekeza Matusi ya kila aina kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan.


NB: Nunueni ila tafuteni nchi ya kuzivalia.
View attachment 3543579
Mbona nyie mmefanya dhahabu kuwa mtaji?
 
Bora hao vijana wanajitafutia kwa halali na kutuma jumbe kwa dunia..Nyie sasa wazee wa lumumba mmfanywa madondocha yaan vijana wa hovyo
 
Uki print tshirt picha ya Samia hata bure ukizigawa kuna ambao watakataa.. kama baiskeli tu watu walizirudisha itakuwa tshirt?

CCM ndio wanatumia ujinga wa baadhi ya Watanzania(ukiwemo wewe) kama mtaji wao, watoto wa viongozi wanaiba matrilioni na kuendesha magari ya kifahari pasipo hata kufanya kazi, unakuja kushangaa kijana anayejituma na anayetengeneza tshirt na kuiuza 15,000 kama sehemu ya kufikisha ujumbe?
 
Back
Top Bottom