Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kuna makosa hata mwaka unakaa ndani wewe!
Usipokuwa tajiri awamu hii....sahau mkuu maana buku saba unazitendea haki..24/7 hrs uko mitandaoni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Washa kibatali utakiona tu
dawa ya deni kulipa,acheni kututia aibu kama taifa wazalendo mafisadiAcha hizo wewe. Huyo jamaa yako ni kibaraka limbukeni.
hivi unaweza kutuambia bwana yule ana uzalendo kwa kutuingiza kwenye hasara za mv dsm na samaki?Akili yako haiko sawa
kazi ya kwanza kabisa baada ya Sisi kuingia ikulu 2020 ni kumpeleka Magufuli Gerezani kwa makosa ya kuvunja katiba na sheria za nchi. chekeleeni hivi sasa lakini mtambue kiama kinakuja.pumbavu sana.Hakuna tabu kama sheria inafatwa jo endelea ilivuo sasa, na pia hakuna haja ya watu kulalamika tuwaachie polisi wafanye kazi yao. Maneno mengi hayasaidii kulaumu laumu huku watu mnaowashabikia wanafikiri kiki zenu ndio zitawakomboa na kuzidi kuvunja sheria kila mara.
Awamu hii mtanyooka tu kwa kujiheshimu na kuogopa sheria kwa kutii.
Mkuu kwa nn hupendi kushirikisha medulla oblongata yako hata kidogo tu uutendee haki ubinadamu wako?????Duh 24/7 mbona unanipendelea kunipaisha hivyo... ha ha haaaaaa
Ukumbuke kupelekea watoto yatima hizo buku 7 unazopokea kwa niaba ya Cocochanel.
We kenge Barabara sio maendeleo!?Masikini ni wewe unayesubiri serikali ikuletee maendeleo. Badili piga kazi mkuu acha udaku haulipi
Kalipe wewe basi na kimbelembele chako tujue moja.dawa ya deni kulipa,acheni kututia aibu kama taifa wazalendo mafisadi
Hata Kenya kuna tume huru lakini wapinzani wako mahakamani kama nyie. Nchi hii haitapewa manyang'au wa upinzani wasio na chembe ya historiaYani ni hovyo kabisa.
Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikulu ya segerea au!!!!!kazi ya kwanza kabisa baada ya Sisi kuingia ikulu 2020 ni kumpeleka Magufuli Gerezani kwa makosa ya kuvunja katiba na sheria za nchi. chekeleeni hivi sasa lakini mtambue kiama kinakuja.pumbavu sana.
Naona umemaliza kunya nenda ukatawaze!!Hakuna tabu kama sheria inafatwa jo endelea ilivuo sasa, na pia hakuna haja ya watu kulalamika tuwaachie polisi wafanye kazi yao. Maneno mengi hayasaidii kulaumu laumu huku watu mnaowashabikia wanafikiri kiki zenu ndio zitawakomboa na kuzidi kuvunja sheria kila mara.
Awamu hii mtanyooka tu kwa kujiheshimu na kuogopa sheria kwa kutii.