Chadema itaifanya nchi iwe tajiri?Ulimuona akiramba hiyo miguu??Miaka 55 chini ya CCM Taifa ni masikini kupindukia.Mijitu isiyo na akili inadhani Lissu ndiyo sababu.
Watawala majizi ndiyo yanayopigiwa makofi.
wanakubali kutumiwa na mitawala mijizi,mibovu,kupita kiasi kwa ajili ya kushibisha tumbo.
Siku mijitu kama hii ikipata akili ndipo tutapata maendeleo.
Na alaaniwe yeyote aliyechagua hiki Kituko kututawala
Sent using Jamii Forums mobile app