Tundu Lissu aeleza kwanini walimchagua Lowassa kugombea Urais

Ktk Nec alishinda na angeshinda, lkn huu ndo ukweli usopingika, NEC haiwakilishi watanzania wapiga kura wa ndani ya ccm na wa kitanzania wengine. Nje ya Nec jamaa alishabikiwa na Ukawa tu na ccm wachache.

Nalo hili litaleta mjadala? Kwamba ktk kipindi cha kumtafuta mgombea uraisi wa ccm,cdm walikuwa wakimshabikia Lowasa na wangempigia kura hukohuko ccm kama angesimamishwa?
Tunaweza kubishana tu mkuu kwa hili, nadhani hapa yanaongea mahaba na chuki kwa mtu; tukubaliane kuto kukubaliana.
Yaani unambie eti ccm wachache? Ulizisikia zile nyimbo walizoziimba wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm pale ukumbini wakati mwenyekiti anaingia ukumbini mara baada ya kukatwa majina ya wagombea likiwepo na la Lowassa? Nyimbo ambazo zilimkera hadi mwenyekiti mpya na akazizungumza siku anakabidhiwa kijiti?, hivi ile ya uzinduzi wa utia nia wa Arusha nayo unasema walikua ni UKAWA? Unaikumbuka idadi ya wabunge wa ccm waliokwenda Arusha? Unaikumbuka idadi ya wenyeviti wa ccm waliokwenda Arusha? Wakuu wa mikoa na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa ccm? Mimi naweza kua labda nampenda Lowassa (by assumption) na wewe may be unamchukia Lowassa but that does not change the meaning; Lowassa alipendwa sana na wana ccm. Mwisho nakuomba urejee hotuba ya Kikwete wakati anavunja Bunge pale Dodoma, sikiliza wakati Kikwete anawashukuru waliomsaidia, jina la Lowassa lilipofikiwa tu Kikwete ilibidi asimamishe hotuba kupisha ushangiliaji wa wabunge wale wa ccm. Hivi uliisha wahi msikia maremu captain John Komba wewe!? Well, orodha ni ndefu. Naishia hapa.
 
Ushahidi wa mazingira????
Hata HC nae alikua akiongoza kwenye kura za maoni lakini kilichotokea tumeshuhudia wote.
Hapo kwenye bold ndio ambapo kila mtu anaweza akawa na tafsiri yake, wengine wanaamini kilicho tangazwa ndio kitu halisi na wengine wana amini kuna mtu alinyang'anywa so may be ufafanue, wewe ulishuhudia nini? Ukiniuliza nilichoshuhudia mi nitasema yafuatayo.

1. Computer za kujumlishia matokeo za UKAWA na tume ya haki za binadamu zilinyang'anywa na police ili hali zile za ccm hazikuguswa na yoyote.
2. Nilishuhudia pia kiongozi wa waangalizi wa kimataifa wakiongozwa na Obasanjo akisema hivi, "Uchaguzi ulikua huru na wa haki lakini serikali ya Tanzania inatakiwa iziangalie sheria zake upya, hi ya kuto hojiwa matokeo ya urais Mahakamani".
3. Nilishuhudia pia vyombo vya habari vilivyo tuma wawakilishi wake Tanzania hasa VOA ikiponda sana matokeo.

Wewe ulishuhudia nini!?
 
Mkuu kwahiyo hayo aliyoyaongea yanafuta hizo kauli walizokuwa wanazitamka??

Na Je, angebaki CCM wangeendelea kuamini huo utafiti au wangeongea zaidi?
Mkuu, kufanya utafiti ni jambo moja na kutangaza matokeo ya utafiti pia ni jambo lingine. So kuniuliza kwamba eti kama angebaki ccm wangetangaza au wasingetangaza nadhani hilo ni swali la kitoto; ni kama kuniuliza kwamba hivi Nyerere asingekuwepo Tanganyika ingepata uhuru au isingepata.
Anyway, mambo pia ya kutangaza matokeo ya utafiti sometimes yanaweza kukuta yaliomkuta Dr. Mwele John Malecela.
 
Tundu Lissu aeleza kwanini waliamua kumchagua Lowassa kugombea Urais

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiliamua kumchukua aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ajiunge na chama hicho baada ya kubaini katika utafiti maalum uliofanywa na shirika moja kutoka nchi za nje kwamba alikuwa na uwezo wa kubeba asilimia 18 ya kura zote katika uchaguzi mkuu kuliko mgombea mwingine wa urais katika uchaguzi mkuu uliopita.


Hayo yalizungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, wakati akihojiwa na Global TV Online ambapo alisema pia Lowassa aliongoza wagombea wote katika utafiti huo.


“Wazungu wakatuambia hivi political personalities zote za Tanzania walimfanyia kila mmoja wao walimfanyia uchunguzi wake, wakatuambia hivi ‘katika wote hao ukimweka huyu na huyu, huyu bwana mkubwa Lowassa huyu yeye peke yake anatembea na asilimia 18 ya Tanzania voters,’ aliyekuwa anamfuata alikuwa na asilimia 11 tu. Kwahiyo Lowassa as Lowassa alikuwa na eighteen percent ya likeability ya kupendwa na hao Watanzania akienda huku anaenda na asilimia 18 ya ziada, akienda huku anaenda na asilimia 18 za ziada nyingine ongezeeni,” alisema Lissu.


“Tukasema hivi, ‘tunataka kushinda uchaguzi eeh tuzungumze na Lowassa’ na Dkt Slaa akasema tuzungumze na Lowassa tukamwambia ‘Dkt una mawasiliano naye’ akasema ‘sina mawasiliano naye, ila kuna mtu ambaye anaweza akawezesha mawasiliano naye ni nani? Askofu Gwajima’ tunaelewana, so this how we got Edward Lowassa.”


Kwa hiyo Chadema ilikuwa ikitaka tu madaraka kwa faida yao wenyewe na siyo kwa faida ya Watanzania wote. Lowassa asingefanya anayoyafanya Rais Magufuli. Kitu cha kwanza mukataba mubovu wa Mbowe wa kunyakuwa jengo la NHC ugepita bila ya kupingwa, Lowassa angeidhinisha moja kwa moja. Watoto wetu wangeendelea kukaa chini, Muhimbili hospital ingefungwa, watu wachache wenye connection wangetibiwa India, na wale Watanzania first class wangetibiwa nchi za Europe. Lowassa mtoto wake alikamatwa na pesa nyingi za kigeni London Heathrow (money loudening) lakini serikali iliyokuwepo wakati huo, ilimutetea na inasemekana pesa hizo zilitumika kununulia makazi London, sasa niambie Tanzania tungekuwa na hali gani haswa wale watu wako vijijini? Wenye majina na wapiga dili matumbo yangekuwa zaidi, nyumba za mbezi beach na sehemu nyingine nzito zingepanda bei bandia zaidi ya Europe, wanunuwaji wangetumia pesa za wengi uchumi wetu ungekuwa wa bandia zaidi ya muchele wa plastic wa china. Mungu mkubwa katuokoa katuletea Rais Magufuli Amen.
 
Walikuwa wanasema "tunachojali kwa sasa ni kuingia tu ikulu hayo mengine yatafuata badaye"

Wenye hekima wakawajibu kuwa "kuna gharama nyingine huwa hazilipiki je tuko tayari kwa hili?"
Mpaka leo hawajatoa jibu.

Tanzania itakombolewa na raia wake wanaojielewa na wapenda haki sio hawa watawala walioko madarakani au wapinzani wote ni wachumia tumbo.
 
Tunaweza kubishana tu mkuu kwa hili, nadhani hapa yanaongea mahaba na chuki kwa mtu; tukubaliane kuto kukubaliana.
Yaani unambie eti ccm wachache? Ulizisikia zile nyimbo walizoziimba wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm pale ukumbini wakati mwenyekiti anaingia ukumbini mara baada ya kukatwa majina ya wagombea likiwepo na la Lowassa? Nyimbo ambazo zilimkera hadi mwenyekiti mpya na akazizungumza siku anakabidhiwa kijiti?, hivi ile ya uzinduzi wa utia nia wa Arusha nayo unasema walikua ni UKAWA? Unaikumbuka idadi ya wabunge wa ccm waliokwenda Arusha? Unaikumbuka idadi ya wenyeviti wa ccm waliokwenda Arusha? Wakuu wa mikoa na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa ccm? Mimi naweza kua labda nampenda Lowassa (by assumption) na wewe may be unamchukia Lowassa but that does not change the meaning; Lowassa alipendwa sana na wana ccm. Mwisho nakuomba urejee hotuba ya Kikwete wakati anavunja Bunge pale Dodoma, sikiliza wakati Kikwete anawashukuru waliomsaidia, jina la Lowassa lilipofikiwa tu Kikwete ilibidi asimamishe hotuba kupisha ushangiliaji wa wabunge wale wa ccm. Hivi uliisha wahi msikia maremu captain John Komba wewe!? Well, orodha ni ndefu. Naishia hapa.
Mbona kote hukutofautiana nami hata kidogo. Nimesema, nec lowasa alitawala sana,lakini pia nilisema nec haikuwa kiwakilishi cha wanaccm wakawaida na wala cha watz. Hili lilikuwa bayana hata kwa mtazamo tu.

Pia nilisema, cdm walimpigia chapuo lowasa tangu chaguzi za nec ccm yao, na wangempa kura ya uraisi kama nec wangalimpitisha. Hili halina ubishi..,.mi nilikuwa nao tena ndani ya miji mikubwa Tz.

Tofauti iko wapi hapo sasa? Waliokuja Arusha wote walikuwa ni wajumbe wa nec ccm... Tofauti ni nini hapo,? Hukubali kwamba nec si kiwakilishi cha maoni ya ccm taifa au?
 
Tundu Lissu aeleza kwanini waliamua kumchagua Lowassa kugombea Urais

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiliamua kumchukua aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ajiunge na chama hicho baada ya kubaini katika utafiti maalum uliofanywa na shirika moja kutoka nchi za nje kwamba alikuwa na uwezo wa kubeba asilimia 18 ya kura zote katika uchaguzi mkuu kuliko mgombea mwingine wa urais katika uchaguzi mkuu uliopita.


Hayo yalizungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, wakati akihojiwa na Global TV Online ambapo alisema pia Lowassa aliongoza wagombea wote katika utafiti huo.


“Wazungu wakatuambia hivi political personalities zote za Tanzania walimfanyia kila mmoja wao walimfanyia uchunguzi wake, wakatuambia hivi ‘katika wote hao ukimweka huyu na huyu, huyu bwana mkubwa Lowassa huyu yeye peke yake anatembea na asilimia 18 ya Tanzania voters,’ aliyekuwa anamfuata alikuwa na asilimia 11 tu. Kwahiyo Lowassa as Lowassa alikuwa na eighteen percent ya likeability ya kupendwa na hao Watanzania akienda huku anaenda na asilimia 18 ya ziada, akienda huku anaenda na asilimia 18 za ziada nyingine ongezeeni,” alisema Lissu.


“Tukasema hivi, ‘tunataka kushinda uchaguzi eeh tuzungumze na Lowassa’ na Dkt Slaa akasema tuzungumze na Lowassa tukamwambia ‘Dkt una mawasiliano naye’ akasema ‘sina mawasiliano naye, ila kuna mtu ambaye anaweza akawezesha mawasiliano naye ni nani? Askofu Gwajima’ tunaelewana, so this how we got Edward Lowassa.”
Yani tukishasikia2 tafiti za wazungu huo ndo ukweli hata kama ni uongo-ni sahihi kwani ndio asili yetu wafrika na kwa kuwa hatushugulishi vichwa vyetu kutafakari-pamoja na tuhuma zote mlizombebesha huyo mzee, eti mkaona ni muhimu kugombea uraisi-bado tuna safari ndefu sana watz.
 
Kabisa, tunashindwa kujiamin sisi mpaka tukawaamin wazungu ndio tuamue hata katika mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu? Ina maana nia ni kufika ikulu pasipo kujali nani anatakiwa kutuwakilisha
Huo ndo uwezo na fikra za wanasiasa wetu, wasidhani siku zote tutaendelea kuwa wajinga ili watudanganye kiurahisi hivyo.
 
Tundu Lissu aeleza kwanini waliamua kumchagua Lowassa kugombea Urais

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiliamua kumchukua aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ajiunge na chama hicho baada ya kubaini katika utafiti maalum uliofanywa na shirika moja kutoka nchi za nje kwamba alikuwa na uwezo wa kubeba asilimia 18 ya kura zote katika uchaguzi mkuu kuliko mgombea mwingine wa urais katika uchaguzi mkuu uliopita.


Hayo yalizungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, wakati akihojiwa na Global TV Online ambapo alisema pia Lowassa aliongoza wagombea wote katika utafiti huo.


“Wazungu wakatuambia hivi political personalities zote za Tanzania walimfanyia kila mmoja wao walimfanyia uchunguzi wake, wakatuambia hivi ‘katika wote hao ukimweka huyu na huyu, huyu bwana mkubwa Lowassa huyu yeye peke yake anatembea na asilimia 18 ya Tanzania voters,’ aliyekuwa anamfuata alikuwa na asilimia 11 tu. Kwahiyo Lowassa as Lowassa alikuwa na eighteen percent ya likeability ya kupendwa na hao Watanzania akienda huku anaenda na asilimia 18 ya ziada, akienda huku anaenda na asilimia 18 za ziada nyingine ongezeeni,” alisema Lissu.


“Tukasema hivi, ‘tunataka kushinda uchaguzi eeh tuzungumze na Lowassa’ na Dkt Slaa akasema tuzungumze na Lowassa tukamwambia ‘Dkt una mawasiliano naye’ akasema ‘sina mawasiliano naye, ila kuna mtu ambaye anaweza akawezesha mawasiliano naye ni nani? Askofu Gwajima’ tunaelewana, so this how we got Edward Lowassa.”
unaota au

VIVA BABALAI LOWASA FIMBO
YA KUWATANDIKA CCM
 
>>>Wewe kweli ni mwehu....

Kura za Lowasa ni za muungano wa vyama vinne .... Pamoja na mamluki wachache wa cCM.
Sawa kabisa ambazo mlizijua hata kabla ya upigaji wa kura kuwa ccm itashinda kwa milioni nane na ukawa milioni sita,hatu jasahau ndio maana tunawasisitiza muwenakumbukumbu jabla ya kuanika ujinga wenu hapa!!punk ass
 
Kwa hiyo Chadema ilikuwa ikitaka tu madaraka kwa faida yao wenyewe na siyo kwa faida ya Watanzania wote. Lowassa asingefanya anayoyafanya Rais Magufuli. Kitu cha kwanza mukataba mubovu wa Mbowe wa kunyakuwa jengo la NHC ugepita bila ya kupingwa, Lowassa angeidhinisha moja kwa moja. Watoto wetu wangeendelea kukaa chini, Muhimbili hospital ingefungwa, watu wachache wenye connection wangetibiwa India, na wale Watanzania first class wangetibiwa nchi za Europe. Lowassa mtoto wake alikamatwa na pesa nyingi za kigeni London Heathrow (money loudening) lakini serikali iliyokuwepo wakati huo, ilimutetea na inasemekana pesa hizo zilitumika kununulia makazi London, sasa niambie Tanzania tungekuwa na hali gani haswa wale watu wako vijijini? Wenye majina na wapiga dili matumbo yangekuwa zaidi, nyumba za mbezi beach na sehemu nyingine nzito zingepanda bei bandia zaidi ya Europe, wanunuwaji wangetumia pesa za wengi uchumi wetu ungekuwa wa bandia zaidi ya muchele wa plastic wa china. Mungu mkubwa katuokoa katuletea Rais Magufuli Amen.
Umenena vyema, nakubaliana na wewe kabisaa
 
Hili ni neno zito. Kwa sababu waliamua kuwa "wasanii" nakuhakikishia hawawezi wanafanya hilo. Wataishia kuongea juu juu kwamba tafiti ilifanyika.


>>>>>Mbowe aliamua kubadili gia angani baada ya kutangaziwa dau na Lowasa......

Hakuna tafiti wala nini....
 
Kabisa, tunashindwa kujiamin sisi mpaka tukawaamin wazungu ndio tuamue hata katika mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu? Ina maana nia ni kufika ikulu pasipo kujali nani anatakiwa kutuwakilisha
Lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dola, na kuhusu wazungu hakuna namna ya kuwakwepa , ni ukweli kuwa wenzetu wako mbele yetu, mambo tunayoyapitia sisi saivi wao waliyapitia zamani. "hawakwepeki"
 
Lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dola, na kuhusu wazungu hakuna namna ya kuwakwepa , ni ukweli kuwa wenzetu wako mbele yetu, mambo tunayoyapitia sisi saivi wao waliyapitia zamani. "hawakwepeki"
Hatukitaki hicho chama sababu kina upeo finyu.
Tunataka chama kinachotumia mbinu zinazokubalika na wengi kushika dola ili kuleta maendeleo ya watanzania wengi.
Hatukitaki chama chenye lengo la "kushika dola tu" kwa "gharama" yeyote. Bila shaka hicho chama hata kikishika dola tutaingia gharama kubwa ya kukitoa sababu hakitaendana na matakwa ya wengi.
 
FB_IMG_1483889393491.jpg
 
Hapo kwenye bold ndio ambapo kila mtu anaweza akawa na tafsiri yake, wengine wanaamini kilicho tangazwa ndio kitu halisi na wengine wana amini kuna mtu alinyang'anywa so may be ufafanue, wewe ulishuhudia nini? Ukiniuliza nilichoshuhudia mi nitasema yafuatayo.

1. Computer za kujumlishia matokeo za UKAWA na tume ya haki za binadamu zilinyang'anywa na police ili hali zile za ccm hazikuguswa na yoyote.
2. Nilishuhudia pia kiongozi wa waangalizi wa kimataifa wakiongozwa na Obasanjo akisema hivi, "Uchaguzi ulikua huru na wa haki lakini serikali ya Tanzania inatakiwa iziangalie sheria zake upya, hi ya kuto hojiwa matokeo ya urais Mahakamani".
3. Nilishuhudia pia vyombo vya habari vilivyo tuma wawakilishi wake Tanzania hasa VOA ikiponda sana matokeo.

Wewe ulishuhudia nini!?
Mazindu Msambule,
Ulielewa post yangu uliyoquote????
 
Chama cha democrasia na maendeleo chadema kimetoa taarifa yake kwamba kilimchukua lowassa kua mgombea wa urais kwa sababu waliambiwa na wazungu kua lowassa anafaa kua mgombea urais. Hayo yamesemwa na mwanasheria mkuu wa chadema tundu lisu. Wakati tundulisu akiendelea kujibu maswali hayo nikafkili atabadili msimamo huo. Nimeamini chadema wanaakili za kushkiwa yani wakiambiwa na wazungu wao wanaamini kila kitu hata wangeambiwa wale nyoka watakula si wameambiwa na wazungu. Watanzania niwakumbushe mwaka 2008 alikua ni tundulisu na dkt slaa waliotaja mbele ya umma wa watanzania jijini Dar viwanja vya mwembe yanga kua lowassa ni fisadi namba moja nchin. Mala gafla tukakuta chadema wamebadili gia angani na kumchukua lowassa na kumfanya mgombea urais kupitia chadema. Vile vile tundulisu alisema shida kuu ya chadema ilikua ni kushinda urais tu kupitia lowassa. Utagundua kua chadema haina mpango wa kuiletea maendeleo nchi bali kuingia ikulu. Chadema inatakiwa kupingwa na kila mtanzania mwenye nia njema na Tanzânia. Wapinzani hasa chadema ni vigeugeu. Kuwakabidhi nchi chadema sawa na kumkabidhi fisi bucha alinde. Yaani mpaka sasa chadema wanasistiza kua wapo sahihi kumpokea lowsssa kua mwanachadema wakati ni chadema haohao walioiaminisha dunia kua lowassa ni fisadi. Dkt maji marefu.
 
Back
Top Bottom