Ukimsilikiza Tundu kwenye hiyo clip utaelewa kwanini walimwomba Edward agombee, hawakuzingatia mapenzi yao, walizingatia majibu ya UTAFITI uliofanywa na hiyo kampuni walioileta. Majibu yalikua ndio hayo, remember majibu yanaweza kuja kwa form usioitaka as well.
.. Ukishindwa hoja unakimbilia kuita watu wehu... Poor you...>>>Wewe kweli ni mwehu....
Kura za Lowasa ni za muungano wa vyama vinne .... Pamoja na mamluki wachache wa cCM.
>>>Wewe kweli ni mwehu....
Kura za Lowasa ni za muungano wa vyama vinne .... Pamoja na mamluki wachache wa cCM.
Mkuu kwahiyo hayo aliyoyaongea yanafuta hizo kauli walizokuwa wanazitamka??Ukimsilikiza Tundu kwenye hiyo clip utaelewa kwanini walimwomba Edward agombee, hawakuzingatia mapenzi yao, walizingatia majibu ya UTAFITI uliofanywa na hiyo kampuni walioileta. Majibu yalikua ndio hayo, remember majibu yanaweza kuja kwa form usioitaka as well.
Lisu anaongea ujinga tu kujustify tamaa zao.Umaarufu wa CHADEMA ulitokana na jinsi walivyotuaminisha WaTZ kuwa walikuwa wapingaji wa kikweli wa ufisadi ambapo icon ya ufisadi nchini ni Lowassa. Kiukweli CHADEMA walijiimarisha kwa kutuaminisha kuwa walikuwa wakiupinga ufisadi kutoka moyoni. Kitendo cha kumchukua yule yule Lowassa na kujaribu kumsafisha eti anatembea na 18% ya kura kitawaumiza sana CHADEMA. Sawa waliongeza idadi ya wabunge lakini ikifika 2020 nani atawamini?
Jihesabu na wewe ni mateka wa propaganda za uongo!Katika tafiti ambazo nadhani zilitoa majibu halisi hizi ni miongoni mwazo (bila kujali mimi na wewe tunampenda au tunamchukia Lowasa). Kura za maoni za ccm zilionesha hivyo, alipokuja Chadema/Ukawa hali halisi ilionesha hivyo. Kuna watu walikua wanasema jamaa anahonga but hata akili ya kawaida tu haiwezi amini kama huyu mtu anaweza honga watu wote au makutano yote yale, huyu mtu basi atakua ni Trilionea. Ki ukweli kabisa ushahidi wa mazingira unaonesha JAMAA "Alishinda" mengine tuyaache tu but historia will tell the truth one day.
Its pathetic,tafiti ni jambo la wazi,Leo hii waambie wakutolee findings za hiyo tafiti na jina la taasisi iliyofanya uone kama hawajiumi meno.Chadema iliamini Tafiti za Wazungu kuliko Utafiti wao Wenyewe uliwezesha kuzaa List of shame na kuweka kwny Tovuti Rasmi ya Chama
Siku wakiambiwa Siku wakiambiwa Singasinga wa Escrow anazo asilimia 40% ya kura zote basi wote watampitisha
Ushahidi wa mazingira????Katika tafiti ambazo nadhani zilitoa majibu halisi hizi ni miongoni mwazo (bila kujali mimi na wewe tunampenda au tunamchukia Lowasa). Kura za maoni za ccm zilionesha hivyo, alipokuja Chadema/Ukawa hali halisi ilionesha hivyo. Kuna watu walikua wanasema jamaa anahonga but hata akili ya kawaida tu haiwezi amini kama huyu mtu anaweza honga watu wote au makutano yote yale, huyu mtu basi atakua ni Trilionea. Ki ukweli kabisa ushahidi wa mazingira unaonesha JAMAA "Alishinda" mengine tuyaache tu but historia will tell the truth one day.
“Wazungu wakatuambia hivi
Hawa jamaa wanamanisha hata Idd Amin angekuwa hai, na sheria zingeruhusu, na wazungu wangeshauri hivyo, wangemsimamisha agombee tu.Kabisa, tunashindwa kujiamin sisi mpaka tukawaamin wazungu ndio tuamue hata katika mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu? Ina maana nia ni kufika ikulu pasipo kujali nani anatakiwa kutuwakilisha
baba akoHivi aliyeandika ile List of shame ni nani vile?
Hapana, hapa tuwe wakweli jamani. 2015 kama Chadema iliongeza chochote ni kutoka kwenye washirika wake, cuf na nccr, na unganiko hilo si Lowasa.... Nadhani wewe ndiye umejikwaa kwa sababu numbers don't lie... Ndo maana out come of the election, pamoja na figisu zoote, jamaa ameibuka na kura 6 million na wabunge wengi...