ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,040
Hawa ni wanafiki sana, ni wanafiki wenzao tu awezaye kumuunga mkono yeyote kati ya hawa. Ufisadi wa Lowasa wametufichulia wao kwa intelijensia zao, na wao wakazikanusha sijui kwa tafiti za nani, ni wanafiki.