Tundu Lissu aeleza kwanini walimchagua Lowassa kugombea Urais

Chadema iliamini Tafiti za Wazungu kuliko Utafiti wao Wenyewe uliwezesha kuzaa List of shame na kuweka kwny Tovuti Rasmi ya Chama

Siku wakiambiwa Siku wakiambiwa Singasinga wa Escrow anazo asilimia 40% ya kura zote basi wote watampitisha
Kama ww unavoamini za wahindi wa twaweza kua magufuli anakubalika asilimia 200.he he hee
 
Katika tafiti ambazo nadhani zilitoa majibu halisi hizi ni miongoni mwazo (bila kujali mimi na wewe tunampenda au tunamchukia Lowasa). Kura za maoni za ccm zilionesha hivyo, alipokuja Chadema/Ukawa hali halisi ilionesha hivyo. Kuna watu walikua wanasema jamaa anahonga but hata akili ya kawaida tu haiwezi amini kama huyu mtu anaweza honga watu wote au makutano yote yale, huyu mtu basi atakua ni Trilionea. Ki ukweli kabisa ushahidi wa mazingira unaonesha JAMAA "Alishinda" mengine tuyaache tu but historia will tell the truth one day.
Ktk Nec alishinda na angeshinda, lkn huu ndo ukweli usopingika, NEC haiwakilishi watanzania wapiga kura wa ndani ya ccm na wa kitanzania wengine. Nje ya Nec jamaa alishabikiwa na Ukawa tu na ccm wachache.

Nalo hili litaleta mjadala? Kwamba ktk kipindi cha kumtafuta mgombea uraisi wa ccm,cdm walikuwa wakimshabikia Lowasa na wangempigia kura hukohuko ccm kama angesimamishwa?
 
Wangapi waliiMba " Tuna imani na Lowassa........" kama unasema ni wachache wa ccm. Mbona floo nzima ilijaza sauti ikiimba hivyo. Hata jk akabutwaa. Wacha woga.
 
Hapana, hapa tuwe wakweli jamani. 2015 kama Chadema iliongeza chochote ni kutoka kwenye washirika wake, cuf na nccr, na unganiko hilo si Lowasa.

Namaanisha hata angesimama Dr. Slaa na kugombea kwa tikiti ya UKAWA, angezifikia zile kura au angezipita kabisa.
... Narudia tena na tena numbers don't lie... Unakumbuka Slaa alipata kura ngapi? Mnyongeni Lowassa mpendavyo but kama alivyosema Lissu mtaji wake kisiasa hata CCM wenyewe hawamsahau. Na kama siyo kumkata Jina kitemi nadhani unajua nini kitengetokea.
 
Tundu Lissu aeleza kwanini waliamua kumchagua Lowassa kugombea Urais

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiliamua kumchukua aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ajiunge na chama hicho baada ya kubaini katika utafiti maalum uliofanywa na shirika moja kutoka nchi za nje kwamba alikuwa na uwezo wa kubeba asilimia 18 ya kura zote katika uchaguzi mkuu kuliko mgombea mwingine wa urais katika uchaguzi mkuu uliopita.


Hayo yalizungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, wakati akihojiwa na Global TV Online ambapo alisema pia Lowassa aliongoza wagombea wote katika utafiti huo.


“Wazungu wakatuambia hivi political personalities zote za Tanzania walimfanyia kila mmoja wao walimfanyia uchunguzi wake, wakatuambia hivi ‘katika wote hao ukimweka huyu na huyu, huyu bwana mkubwa Lowassa huyu yeye peke yake anatembea na asilimia 18 ya Tanzania voters,’ aliyekuwa anamfuata alikuwa na asilimia 11 tu. Kwahiyo Lowassa as Lowassa alikuwa na eighteen percent ya likeability ya kupendwa na hao Watanzania akienda huku anaenda na asilimia 18 ya ziada, akienda huku anaenda na asilimia 18 za ziada nyingine ongezeeni,” alisema Lissu.


“Tukasema hivi, ‘tunataka kushinda uchaguzi eeh tuzungumze na Lowassa’ na Dkt Slaa akasema tuzungumze na Lowassa tukamwambia ‘Dkt una mawasiliano naye’ akasema ‘sina mawasiliano naye, ila kuna mtu ambaye anaweza akawezesha mawasiliano naye ni nani? Askofu Gwajima’ tunaelewana, so this how we got Edward Lowassa.”
Hao wazungu hata wakiwaambia kula mavi mtakula,wakisema inama chini nifanye mambo,mtainama. Idiotic
 
Tundu Lissu aeleza kwanini waliamua kumchagua Lowassa kugombea Urais

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiliamua kumchukua aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ajiunge na chama hicho baada ya kubaini katika utafiti maalum uliofanywa na shirika moja kutoka nchi za nje kwamba alikuwa na uwezo wa kubeba asilimia 18 ya kura zote katika uchaguzi mkuu kuliko mgombea mwingine wa urais katika uchaguzi mkuu uliopita.


Hayo yalizungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, wakati akihojiwa na Global TV Online ambapo alisema pia Lowassa aliongoza wagombea wote katika utafiti huo.


“Wazungu wakatuambia hivi political personalities zote za Tanzania walimfanyia kila mmoja wao walimfanyia uchunguzi wake, wakatuambia hivi ‘katika wote hao ukimweka huyu na huyu, huyu bwana mkubwa Lowassa huyu yeye peke yake anatembea na asilimia 18 ya Tanzania voters,’ aliyekuwa anamfuata alikuwa na asilimia 11 tu. Kwahiyo Lowassa as Lowassa alikuwa na eighteen percent ya likeability ya kupendwa na hao Watanzania akienda huku anaenda na asilimia 18 ya ziada, akienda huku anaenda na asilimia 18 za ziada nyingine ongezeeni,” alisema Lissu.


“Tukasema hivi, ‘tunataka kushinda uchaguzi eeh tuzungumze na Lowassa’ na Dkt Slaa akasema tuzungumze na Lowassa tukamwambia ‘Dkt una mawasiliano naye’ akasema ‘sina mawasiliano naye, ila kuna mtu ambaye anaweza akawezesha mawasiliano naye ni nani? Askofu Gwajima’ tunaelewana, so this how we got Edward Lowassa.”
Wazungu wakawambia ndo maana Africa tutaendelea kutawaliwa cant we see mpaka wazungu wafanye utafiti ndo wakwambie?????

Tena msomi mzima unajinadi wazungu wakatuambia shame on you!?
 
ccm bao la mkono ndiyo lililowasaidia na wote wanajua na dunia inajua....ENL alishinda kwa 62%
 
Umaarufu wa CHADEMA ulitokana na jinsi walivyotuaminisha WaTZ kuwa walikuwa wapingaji wa kikweli wa ufisadi ambapo icon ya ufisadi nchini ni Lowassa. Kiukweli CHADEMA walijiimarisha kwa kutuaminisha kuwa walikuwa wakiupinga ufisadi kutoka moyoni. Kitendo cha kumchukua yule yule Lowassa na kujaribu kumsafisha eti anatembea na 18% ya kura kitawaumiza sana CHADEMA. Sawa waliongeza idadi ya wabunge lakini ikifika 2020 nani atawamini?
Bro hujajua vile watu wanaumia kuongozwa na chama kimoja chenye fikra zile zile zisizo na tija kwa miaka. Watu walitaka kuonja utamu wa demokrasia ya vyama vingi tena kuamisha madaraka kwenda upinzani. Hivyo Lowassa alitumika kama chambo kuwezesha mabadiliko hayo.
 
Kama ww unavoamini za wahindi wa twaweza kua magufuli anakubalika asilimia 200.he he hee
Twaweza wanafahamika...findings zao ukiingia kwny net unazipata..hata kama hukubaliani nazo but they are there to stay! !!!
SWALI NI KWAMBA...NI KAMPUNI GANI YA WAZUNGUNGU IKIYOWAAMINISHA CHAGADEMA KUWA HUYO FISADI ANA 18% ZAIDI? ??? FINDINGS ZAO ZIKOJE BA TUNAZIPATA WAPI?????
Kwa taarifa yako kama ulikuwa hujui Mzungu anayezungumziwa hapo ni KINGUNGE NGOMBALE MWILU....NA YULE TISS MSTAAFU MWANG'ONDA...HAO NDIO WAZUNGU WAKO WALIOWAHAKIKISHIA FISADI LOWA..HASA ATASHINDA
NAWASHAURI:-- DHARAUNI AIBU TU MUMUOMBE RADHI DR SLAA CHAMA KIENDE...PIA OMBENI RADHI WATANZANIA KUWA FOR 8 CLEAR YEARS MLIKOSEA KUMCHAFUA LOWASSA KUWA NI FISADI NA USHAHID MLIODAI KUWA NAO ILIKUWA KICK YA KISIASA...MTAELEWEKA TI
MTU MZIMA AKIVULIWA NGUO HUCHUTAMA!!!!! ACHENI UTOTO
 
... Narudia tena na tena numbers don't lie... Unakumbuka Slaa alipata kura ngapi? Mnyongeni Lowassa mpendavyo but kama alivyosema Lissu mtaji wake kisiasa hata CCM wenyewe hawamsahau. Na kama siyo kumkata Jina kitemi nadhani unajua nini kitengetokea.
Sa we endelea kuamini ndoto za alinacha, na utaendelea kuota hivyo milele. Amekatwa? Na nani sasa? Sa unaingiaje kwenye uchaguzi wa gharama zote zile huku ukiamini kuna posibilite za kukatana? Huu ni wehu ulopitiliza, na kama si wehu coz hakuna kukatana ni ujinga uliofikia kiwango cha upumbavu.

Hamtakuja myaone makosa mnayoyatenda hadi mfe, watu wataongea kuhusu ukanda nanyi hamtaliona hilo, wehu utawaziba fikra, wataongea udini, hamtaliona, mtapofuka na ujinga, wataongea na ufamilia pia hamtayaona hayo, mtapofushwa na umimi. Kushinei. Mnadhani kwa hali ilipofikia Tz now,,, yenu ni ya msingi??!!??!!???

Ukanda, ukabila, udini wenyewe unajifia. Ni kipi mkijengacho xaxa???

Lidumu taifa hili.

Sijawahi na sitakuja kuwaza kuona cdm kuwa chama cha upinzani cha kisiasa tz,na hakitafanikiwa.

Wajinga wanakufa, welevu wanazaliwa daily. Badilini mbinu.
 
Back
Top Bottom