Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
====
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
====