JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Kuna kitu ambacho lazima ukifahamu vizuri, Law is politics. kwa hiyo manasheria mzuri ni rahisi sana kuwa mwanasiasa mzuri.
Jee umewahi kujiuliza kwa nini asilimia karibu 90 ya politicians ni ama Lawyers ama waliochukua Humanities na wala sio Scientists ?
Lakini kwa kutatua tatizo Scientists ni wazuri sana kuliko Lawyers au waliochuku Humanities. Lakini pia wapo ambao wana vipaji vya kutatatua matatatizo. Lakini wengi wao wana lack ability to coherently organise people (leadership).
Kwa kuwa Political (election) campaigns zina endelea , tuta pata muda wa kutosha kuvumbua vipaji vingi sana katika siasa.
..Tundu Lissu siyo mwanasiasa.
..He is a Human Rights activist who happened to be a lawyer and a legislator.
..Hicho ndicho kitu ambacho watu wengi wanao-deal na Tundu Lissu hawakielewi.
..Mtu wa namna hiyo siyo rahisi kumkuta ana makando-kando yanayowaandama wanasiasa.
..Pia siyo rahisi kushindana naye kwasababu harakati za kupigania haki ni kama WITO wa maisha yake.
..Wanaoweza kushindana na Tundu Lissu ni wanaharakati wenzake wa haki za binadamu na utawala wa sheria.