Uchaguzi 2020 Tundu A.M. Lissu: Mgombea Urais wa upinzani machachari zaidi kuwahi kutokea katika chaguzi zote chini ya mfumo wa vyama vingi kurudi 1992

Kuna kitu ambacho lazima ukifahamu vizuri, Law is politics. kwa hiyo manasheria mzuri ni rahisi sana kuwa mwanasiasa mzuri.

Jee umewahi kujiuliza kwa nini asilimia karibu 90 ya politicians ni ama Lawyers ama waliochukua Humanities na wala sio Scientists ?

Lakini kwa kutatua tatizo Scientists ni wazuri sana kuliko Lawyers au waliochuku Humanities. Lakini pia wapo ambao wana vipaji vya kutatatua matatatizo. Lakini wengi wao wana lack ability to coherently organise people (leadership).

Kwa kuwa Political (election) campaigns zina endelea , tuta pata muda wa kutosha kuvumbua vipaji vingi sana katika siasa.

..Tundu Lissu siyo mwanasiasa.

..He is a Human Rights activist who happened to be a lawyer and a legislator.

..Hicho ndicho kitu ambacho watu wengi wanao-deal na Tundu Lissu hawakielewi.

..Mtu wa namna hiyo siyo rahisi kumkuta ana makando-kando yanayowaandama wanasiasa.

..Pia siyo rahisi kushindana naye kwasababu harakati za kupigania haki ni kama WITO wa maisha yake.

..Wanaoweza kushindana na Tundu Lissu ni wanaharakati wenzake wa haki za binadamu na utawala wa sheria.
 
Hakika tupongeze vyama vya upinzani na wale wote walioshiriki kuimarisha upinzani tangu 1992 bila kuterereka, Bila kusahau viongozi wa chama kimoja kilichokuwepo kukubali hats kama ni kwa shingo upande.Naona kila mwaka wa uchaguzi kuna hatua kubwa inapigwa, na tunaona sura tofauti na bora zaidi kuanzia Mrema hadi sasa kwa Lisu na wengine, Suala la kuwa na vyama mbadala vyenye sera bora kwenye nchi ni jambo la baraka na la afya kwa taifa lolote lenye kiu ya kupata maendeleo ya haraka na dhabiti .Chama tawala kinapokosa mdadala wake huwa na, kiburi ,kujisahau na kuongoza kwa mazoea, huku kikifanya maamuzi bila kufikiri kwa kina matokea yake. Tunatamani kama taifa kila chama kiwe mdadala wa kingine ,hoja na sera zishindanishwe majukwaani , mwisho sisi tuàmue tunaenda na chama gani kwa miaka 5,kisiwepo chama cheñye uhakika wa kushinda %100 kabla uchaguzi
 
Kuna kitu ambacho lazima ukifahamu vizuri, Law is politics. kwa hiyo manasheria mzuri ni rahisi sana kuwa mwanasiasa mzuri.

Jee umewahi kujiuliza kwa nini asilimia karibu 90 ya politicians ni ama Lawyers ama waliochukua Humanities na wala sio Scientists ?

Lakini kwa kutatua tatizo Scientists ni wazuri sana kuliko Lawyers au waliochuku Humanities. Lakini pia wapo ambao wana vipaji vya kutatatua matatatizo. Lakini wengi wao wana lack ability to coherently organise people (leadership).

Kwa kuwa Political (election) campaigns zina endelea , tuta pata muda wa kutosha kuvumbua vipaji vingi sana katika siasa.

Unalenga kutaka kutoa hoja gani hapa Bwana Magembe?

Kwamba, so long as Magufuli professionally (japo profesheni ina utata na kuhojiwa sana) ni mwalimu - mwanasayansi ya korosho na kemia ni mzuri sana kutatua matatizo kama kiongozi?

Hapa binafsi sikubaliani na wewe kwa ushahidi ulio dhahiri kabisa. Labda awe mwanasayansi mwingine....

Lakini kwa John Pombe Magufuli, ni mwanasiasa mwenye taaluma ya sayansi (japo mashaka juu ya taaluma yake ni makubwa) amesha prove failure kote kitaaluma na kiuongozi....!
 
Hongera kwa chapisho. Ushawishi unaendelea ili wengi wamigie kura ya ndio. Binafsi nimeanza kumpenda alivyoshiriki kuandaa ile list of shame! Na pia jina lake ni lake tu
Tangu kuanza mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na uchaguzi mkuu wa kwanza wa mwaka 1995, Tanzania haijawahi kushuhudia na kupata mgombea wa upinzani machachari na mwenye ufahamu wa hali ya juu wa mambo mbalinbali kitaifa na kimataifa katika nyanja za elimu, siasa, historia, sheria, uchumi nk kama Tundu Lissu (CHADEMA) katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020.

Kina Mrema (1995), Lipumba (2000), Freeman Mbowe na Lipumba (2005), Dr Slaa (2010) na Lowassa (2015) walikuwa wagombea Urais wenye sifa zao za kipekee, lakini Tundu Lissu anawazidi wote kwa kuwa na sifa za ziada na kufanya upekee wake uwe maalumu kama nitakavyojaribu kueleza hapa chini.

Naandika thread hii baada ya kuisikiliza sehemu ya hotuba ya mgombea Urais huyu kwa tiketi ya CHADEMA ya jana tarehe 28/9/2020 akiwa Mugumu - Serengeti mkoa wa Mara.

Ni hotuba ambayo imajaa elimu ya uraia na sheria huku ikifunua UJINGA na UPUMBAVU wa viongozi wengi wa serikali ya CCM ya Magufuli wasiojua sheria, kanuni na taratibu za kusimamia dhamana zao za uongozi kwa ajili ya ustawi wa jamii na amani yetu.

RCO ya Mara, DC na DED wa Serengeti ni mfano mzuri wa viongozi wajinga na wapumbavu. Wapewa dhamana ya uongozi wa mamilioni ya watu, lakini kwa kutojua ama kwa makusudi wao ndiyo wanakuwa wavunjaji wakubwa wa sheria na taratibu.

Ukiacha hili, upekee wa Tundu Lissu ukilinganisha na wagombea wote wa upinzani waliowahi kugombea Urais tangu mwaka 1995 unajitokeza katika maeneo haya;

1. UFAHAMU MKUBWA WA MAMBO:

Huyu bwana amejaliwa kuwa na ufahamu wa hali ya juu wa mambo mengi kuanzia ktk nyanja ya historia, uchumi, jamii, siasa, sheria na utamaduni.

Hii humwongezea ujasiri wa kusimama na kutetea chochote kinachokuja mbele yake na mara zote anakuwa mshindi tu. Hii inatuleta kwenye sifa ya pili.

2. UJASIRI:

Kwa kuwa kajaliwa kuwa na ufahamu mpana wa mambo mbali ya kitaifa na kimataifa karibu katika nyanja zote za maisha, hii imempa hiki kitu kingine yaani - UJASIRI.

Naye sasa anatumia kila njia ku - influence tabia hii ya ujasiri, kutokuwa na hofu ama woga kwa watu wote anaokutana nao. Hapa ndipo hasa ulipo mgogoro wake na watawala. Hili huwatia hofu na woga mkubwa watawala hawa waovu.

Wanajua kuwa watu wakielimishwa, wakatambua WAJIBU na HAKI zao, wataiondoa serikali hii madarakani kufumba tu na kufumbua. Hili linaiogopesha sana CCM na serikali wanayoingoza.

3. NI MSOMAJI SANA WA VITABU HUYU JAMAA:

Ili kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali, sharti utafute maarifa. Sharti usome vitabu na vyanzo vingine mbalimbali vya maarifa.

Huyu ndugu anasoma sana. Simjui na wala sijawahi kukutana naye uso kwa uso karibu. Lakini ninapomtazama kwenye TV akiongea, mtu mdadisi atatumbua hili moja kwa moja.

Ukisikiliza na kutazama hotuba yake ya jana Serengeti utaelewa nikisemacho hapa. Utaelewa kuwa huyu mtu amejaza maarifa kichwani mwake na si matope kama alivyo Polepole ama Cyprian Musiba wa CCM.

4. NI MGOMBEA PEKEE KATI YA WOTE ALIYETOA UHAI WAKE KWA AJILI YA HAKI ZA WENGI:

Hii ni sifa very exceptional. Huyu bwana amepitia njia ngumu mno hadi kufikia hatua hii aliyonayo hapo kwa ajili ya kutetea haki za wananchi wa taifa hili zuri la Tanzania.

Huyu ndugu kwa siku saba achilia mbali miaka miwili na ushee akiuguza majeraha ya risasi kitandani, alikuwa kuzimu. Alionja KIFO na MAUTI lakini kwa sababu anazojua Mungu mwenyewe, alimfufua tena Tundu Lissu. Yuko hai na ndiye huyu ambaye watu wanamuona kama Messiah wao na basically ndivyo ilivyo, ndivyo itakavyokuwa.

5. NI SPEECH GIVER & INFLUENCER MZURI KUPINDUKIA. HUCHOKI KUMSIKILIZA

Wanasiasa wenye kipaji cha namna hii ni wachache mno Tanzania. Huko nje namfahamu mtu mmoja, Martin Luther King Jr, mpigania haki za weusi wa Marekani miaka ile

Hotuba za Tundu Lissu ni za kushawishi, kuhamasisha, kutia morali na kuwaondolea watu hofu, mashaka na woga.

Watu kama hawa siku zote ni HATARI katika serikali zote za kidikteta zinazogandamiza UHURU na HAKI za kiraia.

Huwindwa kama wanyama pori ili kuwaua kama njia pekee ya kuwaondoa maana HOJA ZAO mara zote hazijibiki na Mara zote ni chungu na zinachoma mithili ya mkuki moyoni.

Mara zote watu wa aina hii hugeuziwa kibao na kuitwa wachochezi, wahamasisha vurugu na wahatarisha amani. Hutungiwa hata sheria kwa ajili yao tu.

Hii yote, kosa lao ni moja tu. Kufumbua macho, akili na ufahamu wa watu wa kutambua WAJIBU na HAKI zao dhidi ya serikali na viongozi wao.

6. ANA "SPEAKING SKILLS" YA HALI YA JUU. ANAJUA KUIFUNDISHA NA KUELEKEZA KWA LUGHA NYEPESI NA YENYE KUELEWEKA KWA URAHISI KWA HADHIRA YA RIKA ZOTE:

Licha ya kwamba ana uwezo mzuri ktk kuhutubia, pia ukimlinganisha na wagombea wenzake kama Magufuli ama Prof. Lipumba ama Bernard Membe, Tundu Lissu anajua kuelekeza na kufundisha watu....

Anatumia lugha rahisi na yenye kueleweka kwa rika zote. Anaweza ku - engage vizuri hadhira inayomsikiliza na hapo ndipo ambapo mtu anavutiwa tu kuendelea kumsikliza

Hizi ni "attributes" zinazompa advantage za kuwa kiongozi bora....

7. KILA ANALOSEMA KAMA AHADI, HUMAANISHA KUWA ATALITENDA NA KULITEKELEZA:

Moja ya sifa za wanasiasa ni UONGO. Kusema na kutoa ahadi za uongo kwa wanasiasa ni kama utamaduni na mazoeà yao....

Nimemfutilia Tundu Lissu kwenye mikutano yake ya kampeni, ahadi zake chache kubwa alizokwisha zitoa zinapimika na zinaweza kutekelezeka...

Mfano ahadi ya Katiba mpya, kulipa mishahara nyongeza za mishahara ya wafanyakazi ambazo kwa miaka mitano zimeminywa na serikali ya CCM mpya ya Magufuli zinapimika na kutekelezeka....

Aidha tukumbuke pia alipikuwa uhamishoni Ubelgiji kwa matibabu alianza kuwaahidi watanzania kuwa atarudi Tanzania na atagombea Urais, akatenda sawasawa na maneno yake. Vivyo hivyo katika maeneo mengine. Sikumbuki kutamka jambo halafu asilitende bila sababu za msingi....!

Kwangu mimi huyu ndiye mgombe aliyeni - inspire na kunivutia katika uchaguzi huu. Sina mashaka wala wasiwasi naye. Nafsi yangu ni nyeupe kabisa...

Huyu ndugu kwa hakika ni TUNU YA TAIFA hili. Ni machachari and very unique. Nitampa kura yangu mimi na familia na jamaa na rafiki zangu wote....
 
Ongezea na hii: ....mgombea urais aliyekuja na nuksi ya kuambulia wabunge 4 tu kwa chama chake na kupata kura kiduchu kuwahi kutokea single digit 7% ya kura za urais!

Ongeza na hii: Mgombea aliyefanikisha kuushawishi umma wa watanzania kujitokeza barabarani nchi nzima kudai matokeo halisi ya kuiondoa CCM rasmi madarakani, huku wapambe njaa wa Jiwe wakidondoka kwa pressure na wengi kukamtwa wakijaribu kutorokea nje ya nchi.
 
na anatoa historia ambazo huwa ni mpya masikioni

sikujua Serengeti ilianzishwa mwaka 1951

sikukujua vita ya ujinga, umaskini na maradhani ilianzishwa mwaka 1958

nimesikia jana Serengeti kwa Tundu Lissu
 
V
Tangu kuanza mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na uchaguzi mkuu wa kwanza wa mwaka 1995, Tanzania haijawahi kushuhudia na kupata mgombea wa upinzani machachari na mwenye ufahamu wa hali ya juu wa mambo mbalinbali kitaifa na kimataifa katika nyanja za elimu, siasa, historia, sheria, uchumi nk kama Tundu Lissu (CHADEMA) katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020.

Kina Mrema (1995), Lipumba (2000), Freeman Mbowe na Lipumba (2005), Dr Slaa (2010) na Lowassa (2015) walikuwa wagombea Urais wenye sifa zao za kipekee, lakini Tundu Lissu anawazidi wote kwa kuwa na sifa za ziada na kufanya upekee wake uwe maalumu kama nitakavyojaribu kueleza hapa chini.

Naandika thread hii baada ya kuisikiliza sehemu ya hotuba ya mgombea Urais huyu kwa tiketi ya CHADEMA ya jana tarehe 28/9/2020 akiwa Mugumu - Serengeti mkoa wa Mara.

Ni hotuba ambayo imajaa elimu ya uraia na sheria huku ikifunua UJINGA na UPUMBAVU wa viongozi wengi wa serikali ya CCM ya Magufuli wasiojua sheria, kanuni na taratibu za kusimamia dhamana zao za uongozi kwa ajili ya ustawi wa jamii na amani yetu.

RCO ya Mara, DC na DED wa Serengeti ni mfano mzuri wa viongozi wajinga na wapumbavu. Wapewa dhamana ya uongozi wa mamilioni ya watu, lakini kwa kutojua ama kwa makusudi wao ndiyo wanakuwa wavunjaji wakubwa wa sheria na taratibu.

Ukiacha hili, upekee wa Tundu Lissu ukilinganisha na wagombea wote wa upinzani waliowahi kugombea Urais tangu mwaka 1995 unajitokeza katika maeneo haya;

1. UFAHAMU MKUBWA WA MAMBO:

Huyu bwana amejaliwa kuwa na ufahamu wa hali ya juu wa mambo mengi kuanzia ktk nyanja ya historia, uchumi, jamii, siasa, sheria na utamaduni.

Hii humwongezea ujasiri wa kusimama na kutetea chochote kinachokuja mbele yake na mara zote anakuwa mshindi tu. Hii inatuleta kwenye sifa ya pili.

2. UJASIRI:

Kwa kuwa kajaliwa kuwa na ufahamu mpana wa mambo mbali ya kitaifa na kimataifa karibu katika nyanja zote za maisha, hii imempa hiki kitu kingine yaani - UJASIRI.

Naye sasa anatumia kila njia ku - influence tabia hii ya ujasiri, kutokuwa na hofu ama woga kwa watu wote anaokutana nao. Hapa ndipo hasa ulipo mgogoro wake na watawala. Hili huwatia hofu na woga mkubwa watawala hawa waovu.

Wanajua kuwa watu wakielimishwa, wakatambua WAJIBU na HAKI zao, wataiondoa serikali hii madarakani kufumba tu na kufumbua. Hili linaiogopesha sana CCM na serikali wanayoingoza.

3. NI MSOMAJI SANA WA VITABU HUYU JAMAA:

Ili kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali, sharti utafute maarifa. Sharti usome vitabu na vyanzo vingine mbalimbali vya maarifa.

Huyu ndugu anasoma sana. Simjui na wala sijawahi kukutana naye uso kwa uso karibu. Lakini ninapomtazama kwenye TV akiongea, mtu mdadisi atatumbua hili moja kwa moja.

Ukisikiliza na kutazama hotuba yake ya jana Serengeti utaelewa nikisemacho hapa. Utaelewa kuwa huyu mtu amejaza maarifa kichwani mwake na si matope kama alivyo Polepole ama Cyprian Musiba wa CCM.

4. NI MGOMBEA PEKEE KATI YA WOTE ALIYETOA UHAI WAKE KWA AJILI YA HAKI ZA WENGI:

Hii ni sifa very exceptional. Huyu bwana amepitia njia ngumu mno hadi kufikia hatua hii aliyonayo hapo kwa ajili ya kutetea haki za wananchi wa taifa hili zuri la Tanzania.

Huyu ndugu kwa siku saba achilia mbali miaka miwili na ushee akiuguza majeraha ya risasi kitandani, alikuwa kuzimu. Alionja KIFO na MAUTI lakini kwa sababu anazojua Mungu mwenyewe, alimfufua tena Tundu Lissu. Yuko hai na ndiye huyu ambaye watu wanamuona kama Messiah wao na basically ndivyo ilivyo, ndivyo itakavyokuwa.

5. NI SPEECH GIVER & INFLUENCER MZURI KUPINDUKIA. HUCHOKI KUMSIKILIZA

Wanasiasa wenye kipaji cha namna hii ni wachache mno Tanzania. Huko nje namfahamu mtu mmoja, Martin Luther King Jr, mpigania haki za weusi wa Marekani miaka ile

Hotuba za Tundu Lissu ni za kushawishi, kuhamasisha, kutia morali na kuwaondolea watu hofu, mashaka na woga.

Watu kama hawa siku zote ni HATARI katika serikali zote za kidikteta zinazogandamiza UHURU na HAKI za kiraia.

Huwindwa kama wanyama pori ili kuwaua kama njia pekee ya kuwaondoa maana HOJA ZAO mara zote hazijibiki na Mara zote ni chungu na zinachoma mithili ya mkuki moyoni.

Mara zote watu wa aina hii hugeuziwa kibao na kuitwa wachochezi, wahamasisha vurugu na wahatarisha amani. Hutungiwa hata sheria kwa ajili yao tu.

Hii yote, kosa lao ni moja tu. Kufumbua macho, akili na ufahamu wa watu wa kutambua WAJIBU na HAKI zao dhidi ya serikali na viongozi wao.

6. ANA "SPEAKING SKILLS" YA HALI YA JUU. ANAJUA KUIFUNDISHA NA KUELEKEZA KWA LUGHA NYEPESI NA YENYE KUELEWEKA KWA URAHISI KWA HADHIRA YA RIKA ZOTE:

Licha ya kwamba ana uwezo mzuri ktk kuhutubia, pia ukimlinganisha na wagombea wenzake kama Magufuli ama Prof. Lipumba ama Bernard Membe, Tundu Lissu anajua kuelekeza na kufundisha watu....

Anatumia lugha rahisi na yenye kueleweka kwa rika zote. Anaweza ku - engage vizuri hadhira inayomsikiliza na hapo ndipo ambapo mtu anavutiwa tu kuendelea kumsikliza

Hizi ni "attributes" zinazompa advantage za kuwa kiongozi bora....

7. KILA ANALOSEMA KAMA AHADI, HUMAANISHA KUWA ATALITENDA NA KULITEKELEZA:

Moja ya sifa za wanasiasa ni UONGO. Kusema na kutoa ahadi za uongo kwa wanasiasa ni kama utamaduni na mazoeà yao....

Nimemfutilia Tundu Lissu kwenye mikutano yake ya kampeni, ahadi zake chache kubwa alizokwisha zitoa zinapimika na zinaweza kutekelezeka...

Mfano ahadi ya Katiba mpya, kulipa mishahara nyongeza za mishahara ya wafanyakazi ambazo kwa miaka mitano zimeminywa na serikali ya CCM mpya ya Magufuli zinapimika na kutekelezeka....

Aidha tukumbuke pia alipikuwa uhamishoni Ubelgiji kwa matibabu alianza kuwaahidi watanzania kuwa atarudi Tanzania na atagombea Urais, akatenda sawasawa na maneno yake. Vivyo hivyo katika maeneo mengine. Sikumbuki kutamka jambo halafu asilitende bila sababu za msingi....!

Kwangu mimi huyu ndiye mgombe aliyeni - inspire na kunivutia katika uchaguzi huu. Sina mashaka wala wasiwasi naye. Nafsi yangu ni nyeupe kabisa...

Huyu ndugu kwa hakika ni TUNU YA TAIFA hili. Ni machachari and very unique. Nitampa kura yangu mimi na familia na jamaa na rafiki zangu wote....
Very good analysis.
IMG_20200927_122617.jpg
 
Tangu kuanza mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na uchaguzi mkuu wa kwanza wa mwaka 1995, Tanzania haijawahi kushuhudia na kupata mgombea wa upinzani machachari na mwenye ufahamu wa hali ya juu wa mambo mbalinbali kitaifa na kimataifa katika nyanja za elimu, siasa, historia, sheria, uchumi nk kama Tundu Lissu (CHADEMA) katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020.

Kina Mrema (1995), Lipumba (2000), Freeman Mbowe na Lipumba (2005), Dr Slaa (2010) na Lowassa (2015) walikuwa wagombea Urais wenye sifa zao za kipekee, lakini Tundu Lissu anawazidi wote kwa kuwa na sifa za ziada na kufanya upekee wake uwe maalumu kama nitakavyojaribu kueleza hapa chini.

Naandika thread hii baada ya kuisikiliza sehemu ya hotuba ya mgombea Urais huyu kwa tiketi ya CHADEMA ya jana tarehe 28/9/2020 akiwa Mugumu - Serengeti mkoa wa Mara.

Ni hotuba ambayo imajaa elimu ya uraia na sheria huku ikifunua UJINGA na UPUMBAVU wa viongozi wengi wa serikali ya CCM ya Magufuli wasiojua sheria, kanuni na taratibu za kusimamia dhamana zao za uongozi kwa ajili ya ustawi wa jamii na amani yetu.

RCO ya Mara, DC na DED wa Serengeti ni mfano mzuri wa viongozi wajinga na wapumbavu. Wapewa dhamana ya uongozi wa mamilioni ya watu, lakini kwa kutojua ama kwa makusudi wao ndiyo wanakuwa wavunjaji wakubwa wa sheria na taratibu.

Ukiacha hili, upekee wa Tundu Lissu ukilinganisha na wagombea wote wa upinzani waliowahi kugombea Urais tangu mwaka 1995 unajitokeza katika maeneo haya;

1. UFAHAMU MKUBWA WA MAMBO:

Huyu bwana amejaliwa kuwa na ufahamu wa hali ya juu wa mambo mengi kuanzia ktk nyanja ya historia, uchumi, jamii, siasa, sheria na utamaduni.

Hii humwongezea ujasiri wa kusimama na kutetea chochote kinachokuja mbele yake na mara zote anakuwa mshindi tu. Hii inatuleta kwenye sifa ya pili.

2. UJASIRI:

Kwa kuwa kajaliwa kuwa na ufahamu mpana wa mambo mbali ya kitaifa na kimataifa karibu katika nyanja zote za maisha, hii imempa hiki kitu kingine yaani - UJASIRI.

Naye sasa anatumia kila njia ku - influence tabia hii ya ujasiri, kutokuwa na hofu ama woga kwa watu wote anaokutana nao. Hapa ndipo hasa ulipo mgogoro wake na watawala. Hili huwatia hofu na woga mkubwa watawala hawa waovu.

Wanajua kuwa watu wakielimishwa, wakatambua WAJIBU na HAKI zao, wataiondoa serikali hii madarakani kufumba tu na kufumbua. Hili linaiogopesha sana CCM na serikali wanayoingoza.

3. NI MSOMAJI SANA WA VITABU HUYU JAMAA:

Ili kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali, sharti utafute maarifa. Sharti usome vitabu na vyanzo vingine mbalimbali vya maarifa.

Huyu ndugu anasoma sana. Simjui na wala sijawahi kukutana naye uso kwa uso karibu. Lakini ninapomtazama kwenye TV akiongea, mtu mdadisi atatumbua hili moja kwa moja.

Ukisikiliza na kutazama hotuba yake ya jana Serengeti utaelewa nikisemacho hapa. Utaelewa kuwa huyu mtu amejaza maarifa kichwani mwake na si matope kama alivyo Polepole ama Cyprian Musiba wa CCM.

4. NI MGOMBEA PEKEE KATI YA WOTE ALIYETOA UHAI WAKE KWA AJILI YA HAKI ZA WENGI:

Hii ni sifa very exceptional. Huyu bwana amepitia njia ngumu mno hadi kufikia hatua hii aliyonayo hapo kwa ajili ya kutetea haki za wananchi wa taifa hili zuri la Tanzania.

Huyu ndugu kwa siku saba achilia mbali miaka miwili na ushee akiuguza majeraha ya risasi kitandani, alikuwa kuzimu. Alionja KIFO na MAUTI lakini kwa sababu anazojua Mungu mwenyewe, alimfufua tena Tundu Lissu. Yuko hai na ndiye huyu ambaye watu wanamuona kama Messiah wao na basically ndivyo ilivyo, ndivyo itakavyokuwa.

5. NI SPEECH GIVER & INFLUENCER MZURI KUPINDUKIA. HUCHOKI KUMSIKILIZA

Wanasiasa wenye kipaji cha namna hii ni wachache mno Tanzania. Huko nje namfahamu mtu mmoja, Martin Luther King Jr, mpigania haki za weusi wa Marekani miaka ile

Hotuba za Tundu Lissu ni za kushawishi, kuhamasisha, kutia morali na kuwaondolea watu hofu, mashaka na woga.

Watu kama hawa siku zote ni HATARI katika serikali zote za kidikteta zinazogandamiza UHURU na HAKI za kiraia.

Huwindwa kama wanyama pori ili kuwaua kama njia pekee ya kuwaondoa maana HOJA ZAO mara zote hazijibiki na Mara zote ni chungu na zinachoma mithili ya mkuki moyoni.

Mara zote watu wa aina hii hugeuziwa kibao na kuitwa wachochezi, wahamasisha vurugu na wahatarisha amani. Hutungiwa hata sheria kwa ajili yao tu.

Hii yote, kosa lao ni moja tu. Kufumbua macho, akili na ufahamu wa watu wa kutambua WAJIBU na HAKI zao dhidi ya serikali na viongozi wao.

6. ANA "SPEAKING SKILLS" YA HALI YA JUU. ANAJUA KUIFUNDISHA NA KUELEKEZA KWA LUGHA NYEPESI NA YENYE KUELEWEKA KWA URAHISI KWA HADHIRA YA RIKA ZOTE:

Licha ya kwamba ana uwezo mzuri ktk kuhutubia, pia ukimlinganisha na wagombea wenzake kama Magufuli ama Prof. Lipumba ama Bernard Membe, Tundu Lissu anajua kuelekeza na kufundisha watu....

Anatumia lugha rahisi na yenye kueleweka kwa rika zote. Anaweza ku - engage vizuri hadhira inayomsikiliza na hapo ndipo ambapo mtu anavutiwa tu kuendelea kumsikliza

Hizi ni "attributes" zinazompa advantage za kuwa kiongozi bora....

7. KILA ANALOSEMA KAMA AHADI, HUMAANISHA KUWA ATALITENDA NA KULITEKELEZA:

Moja ya sifa za wanasiasa ni UONGO. Kusema na kutoa ahadi za uongo kwa wanasiasa ni kama utamaduni na mazoeà yao....

Nimemfutilia Tundu Lissu kwenye mikutano yake ya kampeni, ahadi zake chache kubwa alizokwisha zitoa zinapimika na zinaweza kutekelezeka...

Mfano ahadi ya Katiba mpya, kulipa mishahara nyongeza za mishahara ya wafanyakazi ambazo kwa miaka mitano zimeminywa na serikali ya CCM mpya ya Magufuli zinapimika na kutekelezeka....

Aidha tukumbuke pia alipikuwa uhamishoni Ubelgiji kwa matibabu alianza kuwaahidi watanzania kuwa atarudi Tanzania na atagombea Urais, akatenda sawasawa na maneno yake. Vivyo hivyo katika maeneo mengine. Sikumbuki kutamka jambo halafu asilitende bila sababu za msingi....!

Kwangu mimi huyu ndiye mgombe aliyeni - inspire na kunivutia katika uchaguzi huu. Sina mashaka wala wasiwasi naye. Nafsi yangu ni nyeupe kabisa...

Huyu ndugu kwa hakika ni TUNU YA TAIFA hili. Ni machachari and very unique. Nitampa kura yangu mimi na familia na jamaa na rafiki zangu wote....
Kha! Kuna mtu jana kaanza style za makonda za kujilizaliza mbele za watu.
 
na anatoa historia ambazo huwa ni mpya masikioni

sikujua Serengeti ilianzishwa mwaka 1951

sikukujua vita ya ujinga, umaskini na maradhani ilianzishwa mwaka 1958

nimesikia jana Serengeti kwa Tundu Lissu
Ukimsikiliza TL unaweza ukaandika Thesisi yako na maprof wakaipitisha bila kipingamizi. Anatoa Elimu nadra sana.
 
24 Sep 2020
Nabii Mwingira Asema Tundu Lissu Ni Miujiza Ya Mungu



Hotuba hii ya Nabii Josephat Mwingira sio tu inaibua tafakuri kuhusu Tundu Lissu alivyosalimika katika jaribio kubwa kabisa dhidi ya uhai wake, lakini sasa sio tu ni mzima bali pia anawania urais 2020 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , bali pia inawezekana kuwa ishara ya awali ya viongozi wa dini waliokuwa karibu na Magufuli "kumkimbia".

Source : chahali media
 
Mwanasiasa mmoja hata awe mzuri kiasi gani, hawezi kuleta mabadiliko katika li nchi kubwa kama Tanzania.

Wanatakiwa wawepo kina Lissu wengi na karibu kila sehemu ili anayotamka kubadilika yatokee.

Tuendako atapotea kwa kuwa atapoteza jukwaa baada ya uchaguzi na platforms za kuzungumzia zitakua chache sana.

Kwa generation ya elected leaders wa CCM watakao kuja bungeni patawaka moto.

Angekuwa na impact kubwa sana kama angechagua topics mbili au tatu na akasimamia hizo hizo kama alivyokuwa Dr. Slaa kuhusu Ufisadi. Vinginevyo akiwa generality politician atashindwa kusimamia anachokitaka kupandikiza kwa Watanzania.

Kwani hao kina Magufuli wako wangapi. Hivi angekuwa hakandamizi demokrasia na kufumbia macho watu kutekwa ovyo na kuwaongezea watu mishahara kuimarisha sekta binafsi kwa kupunguza kodi zisizo za lazima na kuacha kuwa katili wakati wa maafa, watanzania si wangekuwa wanamfurahia kila anakoenda. Lakini amechagua kuwaumiza watanzania kwakuwa hakuna cha kumfanya inabidi sasa apambane na hali yake mimi kula yangu kwa Lissu
 
29 September 2020
Karatu, Tanzania

Kampeni za Urais TunduLissu2020 leo mjini Karatu

 
Ongezea na hii: ....mgombea urais aliyekuja na nuksi ya kuambulia wabunge 4 tu kwa chama chake na kupata kura kiduchu kuwahi kutokea single digit 7% ya kura za urais!
Mzee baba kwani kura zimeshapigwa na matokeo kutangazwa?😂😂😂
Eti ongezea na hili... Yaani hata kama ni utabiri, umefeli kabisa maana umeshindwa kuhusisha yaliyopita na yaliyopo kupredict yajayo😉
 
29 September 2020
Makuyuni Arusha,
Tanzania

Tundu Lissu azidi kutoa elimu ya uchaguzi ulio Haki na Huru kwa polisi
 
Ukimsikiliza TL unaweza ukaandika Thesisi yako na maprof wakaipitisha bila kipingamizi. Anatoa Elimu nadra sana.

sikujua kabisa kwamba muswada wa matumizi ya sent tano ya serikali ni lazima kwanza upigwe saini na Rais!

yani huwezi kupata kisima cha maji popote nchini cha hela ya kodi bila pendekezo la Rais!
 
sikujua kabisa kwamba muswada wa matumizi ya sent tano ya serikali ni lazima kwanza upigwe saini na Rais!

yani huwezi kupata kisima cha maji popote nchini hela ya kodi bila pendekezo la Rais!
Ndio Maana anasema ukichagua upinzani hupati hata bomba la maji
 
Toka kuanza kwa utaratibu wa vyama vingi mnamo mwaka 1995 Tanzania haijawahi kupata candidate wa uraisi mwenye uwezo mkubwa wa kiakili na maono kama Tundu Lissu. Tukiwa nchi yenye kuchagua candidate na sera za chama CHADEMA ndio direction. Mwalimu wa chemistry Vs Mwanasheria Nguli haiwezi kuwa discussion
 
54 Reactions
Reply
Back
Top Bottom